Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari zenu, Naombeni msaada ,Ni njia gani za kufanya ili niweze kufuga KANGA kwenye banda la kuku ?? Na nitarajie changamoto gani na ninazikabili vipi ?? Wadau karibuni kwa majibu.....
1 Reactions
7 Replies
14K Views
Wa ndugu, Kati ya samaki wenye mpaka soko la nje ni dagaa na ufugaji wenye uhakika wa soko. Naona watu wanafuga sato na kambale na wale samaki wa mapambo ila bado sijaona wanao fuga dagaa...
3 Reactions
33 Replies
13K Views
SULUHISHO LA KUKU KUPUNGUZA KUTAGA 1. Wakague kuku wako na ukiwakuta wana utitiri au viroboto waogeshe kwa FIPROFARM AU TUMIA AKHERI POWDER 2. waongezee GLP katika chakula chao na Tumia LAYVITA...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
@farmersdesk_tanzania KABLA UJANZA KUFUGA KUKU TAMBUA MBEGU BORA YA KUFUGA🐓 MBEGU BORA YA KUKU KABLA hujaanzisha mradi wa ufugaji kuku, ni lazima utafute aina ya mbegu bora itakayo kuongezea...
11 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wafugaji!!watu wengi wameuliza kuhusu tatizo la kuku kukudoana.kuku kudonoana husababishwa na vitu vingi sana kwa uchache kwa kuvitaja ni hivi. 1. Kuku kubanana au banda kua dogo...
3 Reactions
1 Replies
3K Views
MADHARA YA KUCHANGANYA KUKU WASIO LINGANA UMRI ............................................. Kuchanganya kuku wasio lingana umuri kuanzia siku 30 za mwanzo ni kudumaza kuku hao na kuwafanya...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
HATUA ZA KUFUATA ILI KUANZISHA MRADI WA KUKU: 👆Kutokana na wengi sana kunitafuta kuomba ushauri, hasa wafugaji wageni au wapya wanao anza kwamba waanzaje mradi wa kuku 👇Zifuatazo ni hatua sahihi...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
* MATUMIZI YA CHANJO KWA KUKU* 👉Kwanza Kabisa ifahamike chanjo Kwa kuku sio chaguo ni lazima kwa usalama wa KUKU wako 👉Pia kuchanja kuku sio Kwa vile unavojiskia Ila Kwa Ratiba maalumu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukijaribu kutembea watu wengi utakuta wana mabanda ambayo yanaonekana yalisha wahi kutumiwa kwa ajili ya kulaza kuku. Wengi unakuta wamebadili matumizi au wameyaacha yako tu yamekaa na hadinsasa...
27 Reactions
45 Replies
13K Views
Habarini wana Jamvi, Mimi ni mfugaji. Nataka kuanzisha mpango kutengeneza chakula cha mifugo (kuku) cha kwangu mwenyewe; niachane na kununuwa. Hivyo nataka mchango wa ushauri: Ni mashine ipi...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habar zenu, Nmeleta ufugaji huu wenye tija katika kupata hela ya haraka. Panya anamatumizi mengi sana 1.scientific reseach, Ambapo chuo kama sua kuna kitengo maalum kuwatrain panya hivyò hapa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Linapokuja suala la kilimo cha umwagiliaji, kuna mbinu nyingi hutumika. Leo naomba kushea nanyi drip irrigation. Sasa ili maji yasambae shambani yanatakiwa yawe na pressure nziri. Watu wengine...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wadau, naomba msaada wa tiba kwa vifaranga wangu (SASSO) ambao kesho watatimiza mwezi tangu niwachukue. Mwanzoni walikuwa wanaendelea vizuri lakini baada ya wiki mbili walianza...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. Mimi ni mkulima wa maharage ila changamoto kubwa sana ninayokutana nayo ni uharibifu mkubwa unaofanywa na ndege wanaoshabulia majani ya mimea wakati ikiwa michanga. Hawa ndege...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari za wakati huu wanajamvi, Kutokana na kasi ya muheshimiwa mkuu wa nchi sasa naona mji wa Dar haunifai tena nataka kwenda kujishughurisha rasmi kwenye kilimo moja kwa moja. Sasa nina...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenye kujua huu ugonjwa naomba msaada nimpatie tiba kuku wangu
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Kama kichwa kinavyojieleza, nimelima shamba la mahindi kama ekari mbili maeneo ya Mufindi Iringa , mahindi yako kwenye hatua ya kuanza kuchanua. Sasa Leo nimeenda kuangalia nimekuta jana...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Mimi ni mkazi wa iringa. Nina mpango wakufuga kuku wa kienyeji lakini nahitaji kufahamu ukuaji wake, yani huchukuwa mda gani kwanzia kifaranga. Pia kama upo Iringa mjini na unakuku njoo DM...
4 Reactions
5 Replies
7K Views
Naomba kujua incubator ya mayai 30 inauzwa shilingi ngapi dukani na maduka gani yanayouza incubator?
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wapendwa wa mungu! Mimi nikijana niko Bariadi nataka kufanya biashara ya maharage sasa waungwana naomba kufahamishwa palipo na maharage kwa wingi na yanauzwaje?
2 Reactions
18 Replies
6K Views
Back
Top Bottom