Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu habarini
Nimenunua eneo kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe , kuku na mbuzi. Tayari nimeshajenga banda la nguruwe kwa kutumia matofali ya kuchoma yaliyojengwa na cement na kuezeka kwa mabati yaliyotumika. Nimeshanunua nguruwe 10 wenye umri wa miezi 4. Hili limekamilika kwa 100%.
Kwa issue ya ufugaji wa kuku, nimeshanunua wavu (BRC) tu. Bado mabati used na mambo mengine , kuku bado sijawanunua.
Nimekwama mtaji /hela ya kusonga mbele ili kukamilisha yote hayo.
Ni wapi naweza kupata mkopo wa kama 1.5 mil?
Asanteni
Nimenunua eneo kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe , kuku na mbuzi. Tayari nimeshajenga banda la nguruwe kwa kutumia matofali ya kuchoma yaliyojengwa na cement na kuezeka kwa mabati yaliyotumika. Nimeshanunua nguruwe 10 wenye umri wa miezi 4. Hili limekamilika kwa 100%.
Kwa issue ya ufugaji wa kuku, nimeshanunua wavu (BRC) tu. Bado mabati used na mambo mengine , kuku bado sijawanunua.
Nimekwama mtaji /hela ya kusonga mbele ili kukamilisha yote hayo.
Ni wapi naweza kupata mkopo wa kama 1.5 mil?
Asanteni