Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari, Nina dhumuni na nia thabiti kujiingiza kwenye kilimo biashara! Bado ni mgeni kwenye hii sekta, kwa haraka nimepata wazo la kulima Matikiti Maji. Je, ni zao sahihi na lenye faida kwa...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jinsi ya Kulima matikiti maji Matikiti maji hulimwa kama zao la biashara katika sehemu nyingi duniani zenye hali ya hewa ya joto la wastani. Zao hili lina wapatia watu shughuli za kufanya na hivyo...
5 Reactions
358 Replies
115K Views
Wadau habarini, Naombaen ushaur kwa wazoefu wa kilimo cha VITUNGUU MAJI.Nimeshaanza mradi wa kulima hili zao,ndoto yangu ni kulima Ekari 3. Ila hofu yangu ni uhakika wa SOKO,kwa muda ntakaokuja...
2 Reactions
6 Replies
14K Views
Mkuu wa wilaya ya Arumeru , Jerry C. Muro ametumia saa 18 kusambaratisha mtandao wa wizi wa ng’ombe za wananchi majumbani ambapo mpaka sasa watuhumiwa 5 sugu wa wizi wa ng’ombe tayari wako...
0 Reactions
2 Replies
997 Views
Utafiti mpya unasema wadudu, minyoo, mimea vamizi ya magugu,zinagharimu Afrika zaidi ya $ 3.5tn (£ 2.5tn) kila mwaka. Watafiti walio Ghana, Kenya, Uingereza na Uswizi wameelezea athari mbaya za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Baada ya kijikita kwenye kilimo huku mkoani Mwanza,nimeona fursa ya kilimo cha alizeti kwani uhitaji wa mafuta ni mkubwa sana kwa mfano Lita 20 ya mafuta ya pamba inauzwa hadi elfu...
2 Reactions
10 Replies
7K Views
Naomba kufahamishwa kuhusu tabia hii ya kuku wa kienyeji Nina kuku wangu wa kienyeji pure ametaga kafikisha mayai 10 na ndio mtago wake wa kwanza lakin ameanza tabia ambayo sijaielewa ikifika jion...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Salaam Sana wakuu. Naomba kujua Kama Kuna kampuni inatengeneza chakula Cha ngombe kwa ajili ya kuongeza kiwango Cha chakula Kama kilivyo Cha kuku broiler Au wewe mdau unatumia mbinu gani ?
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu. Naomba kwa mwenye ujuzi jinsi ya kufuga samaki niiyemtaja anipe mwongozo. Pia Kama Kuna mwenye vifaranga vyake tafadhali. Natanguliza shukrani za dhati.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi nahitaji kufanya biashara ya utengenezaji wa soseji kwa mkoani na kuwa mfanyabiashara wa jumla na rejareja plus nembo ya kwangu. nahitaji kujua mahitaji ya msingi na gharama ya...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Msimu wa zabibu Sasa umewadia kutoka makao makuu ya nchi Dodoma.Jipatie zabibu kwa Bei nafuu kutoka Dodoma. Kwa mahitaji ya zabibu kwa ajiri ya biashara tupigie kwa namba 0716175081 Dar es...
4 Reactions
4 Replies
4K Views
Waungwana... Natumaini Mungu anazidi kutupigania kila siku, na maisha yanasonga.. Niende kwenye mada.. 👇 Ninaomba mwenye kufahamu anisaidie maarifa nitoe tongotongo... maana tunatofautiana...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Siku za hivi karibuni kumekuwa na uhamasishaji mkubwa sana juu ya kilimo cha vanilla hapa nchini Tanzania, wahamasishaji wanadai kuwa zao la vanilla ni zao lenye faida na lina utajiri mkubwa sana...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Jamani nimefuatilia sana posts kadha wa kadha kuhusu mashine za kutotolesha vifaranga humu JF na pia kupitia mitandao mingine ya kijamii. Nimegundua kuna nadharia tofauti tofauti kiasi kwamba mtu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
MUHTASARI Kulingana na Kituo cha Utafiti wa Udongo cha Mlingano cha mkoani Tanga chini ya Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi, Tanzania ina jumla ya Kanda Kuu saba (7) za Kiutafiti wa Kilimo. Ndani...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wazee kamwene, jamani mwennu nina ushamba wa matumizi ya hizi mashine za kuangulia mayai, lakini napenda kweli kufuga kuku na mpaka sasa ninao kama hamsini, sasa nikapenda nipige hatua kidogo kwa...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
KAMPUNI zinazo nunua zao la mwani kisiwani Pemba zimelalamikiwa na wakulima wa zao hilo wakidai zinanunua mwani kwa ubaguzi hali inayosababisha mwani kurundikana majumbani kwa kukosa soko. Hayo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MAPARACHICHI YA TANZANIA YANAVYOUZWA NJE YA NCHI KWA KUPEWA URAIA MPYA Tanzania imejizolea umaarufu kwenye nchi za kiarabu kutokana na maparachichi yanayolimwa na kusafirishwa kutoka kwenye Taifa...
7 Reactions
67 Replies
9K Views
Dhahabu ya Kijani (Green Gold) ni zao linalostawi vizuri katika maeneo yenye milima zenye mvua nyingi angalau nusu mwaka. Afrika mashariki linastawi vizuri katika nchi za Tanzania, Uganda Burundi...
5 Reactions
7 Replies
3K Views
Nataka nifanye kilimo cha parachichi, nimeambiwa zinalimwa Njombe na mkoani Mbeya has a wilaya ya Rungwe, swali langu ni wapi rahisi kupata shamba kati ya sehemu hizo, changamoto za maeneo hayo ni...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
Back
Top Bottom