Wataalamu,
Mimi ni mgeni katika kulima nataka kuanza kulima na hasa ni kilimo Cha mapapai, pilipili mbuz au kichaa na maparachichi! Naombeni mawazo je Niko sahihi kama nitapata soko? Je, changamoto ni zipi?
Au unanishauri ni lime nini ambacho Kiko kwenye soko?
Mimi ni mgeni katika kulima nataka kuanza kulima na hasa ni kilimo Cha mapapai, pilipili mbuz au kichaa na maparachichi! Naombeni mawazo je Niko sahihi kama nitapata soko? Je, changamoto ni zipi?
Au unanishauri ni lime nini ambacho Kiko kwenye soko?