Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari ndugu zangu. Nashukuru Mungu wangu kwa kuendelea kunitendea yaliyo mema siku zote. Nina gunia nyingi ambazo zimeshavunwa zipo Morogoro za mazao tajwa hapo juu. Nahitaji Mtu mwenye...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi nipo dar es salaam Ningependa kuuliza mambo kadhaa kuhusu kuku wa kienyeji na upatikanaji wake kwa mkoa wa singida kwasababu nmesikia wanapatikana huko kwa bei nzuri. Ila pia hata ikitokea...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu mimi ni mtaalamu na mjasiliamali wa biashara za kimtandao ,Watu wengi wamefaidika na biashara hii unachotakiwa kufanya ni kuwa na blog au website na mimi nitakufungulia account ya google...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Anaandika Dr Christopher Cyrilo Jana nilipata bahati ya kutembelea Malembo Farm na kukutana na rafiki yangu Lucas Malembo. Nimshukuru Malisa GJ kunileta kwenye darasa hili la kilimo na ufugaji...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Uchumi wa viwanda unakuja baada ya kupitia hatua kadhaa wa kadha,uchumi wa viwanda unajengwa kuanzia kwenye mitaala na sera,sera ya elimu zinazohakisi uhalisia wa teknologia ya viwanda. Itakuwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi Ni mtumiaji na muagizaji mzuri wa bidhaa mtandaoni kupitia makumpuni mbalimbali kama Alibaba, AliExpress, Amazon, Rakuten na Kikuu. Nataka niagize mayai na vifaranga wa Mbuni online.. kwa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Hellow, guys Kwa walio mkoa wa Kilimanjaro na wenyeji ni aina gani ya mbogamboga zinahitajika kwa wingi endapo ukiwekeza kwenye mbogamboga.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu hivi mito kam Msimbazi, Mzinga nk, ina samaki? Imewahi kuwa na samaki? Ningependa tu kujua.
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Mambo vipi wadau wa maendeleo, natumai wote Ni wazima wa afya Kama kati yetu kuna mgonjwa naomba Mungu akupe wepes Mambo yawe vizuri. I hope Kila mtu anajua kilimo ndo uti wa mgongo kwa uchumi wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni mzoefu katika ufugaji. Lakini kitu kinachonipa wasiwasi ni kwamba nina jogoo wangu mkubwa tu wa miaka kama miwili hivi. Sasa tangu juzi sauti yake inanipa mashaka anapowika. Ni kama vile...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
1 Teknolojia bora ya kudhibiti saizi ya chembe ya kulisha Matokeo mengi ya utafiti nyumbani na nje ya nchi yanaonyesha kuwa wanyama wa uzao maalum na hatua maalum ya kulisha wana saizi bora ya...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Kwanza kabisa ningependa kumshukuru mungu wangu aliye nipa uhai na afya njema mpaka sasa pia ningependa niende moja kwa moja kwenye mada. Nazi ni kiungo kimoja wapo kinacho...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Wataalamu, Mimi ni mgeni katika kulima nataka kuanza kulima na hasa ni kilimo Cha mapapai, pilipili mbuz au kichaa na maparachichi! Naombeni mawazo je Niko sahihi kama nitapata soko? Je...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
biashara ya duka la pembejeo ili kuanza lazma uwe na vigezo gani na mtaji wa shingapi wa chini kabsa pamoja na faida zake kwa yeyote mwenye ufahamu na hili naomba kujua kutoka kwako
0 Reactions
1 Replies
7K Views
Nimesikia kuna aina mpya za migomba ambayo huzaa mikungu miwili katika mgomba mmoja, kama kuna yeyote mwenye ufahamu juu ya hili anijulishe, inaitwaje na ni wapi naweza kupata miche yake. Sent...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari Wana JF naomba kuuliza Kama ifuatavyo 1. Kilimo Cha UFUTA mbeya kinalimwa wilaya gani 2. Masoko baada ya kuvuna yanapatikanaje hapo wilayani 3. Mtaji wake kuanzia kukodi shamba,kulima na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kitalu ni sehemu ya maandalizi ya mimea au kiumbe kabla ya kuanza kujitegemea. Inawezekana kuwa hili neno limetokana na kilatini cha "Seminarium" ikiwa ni mahala pa kukuza vijana kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wafugaji wenzangu, Mimi kama mdau wa kilimo na ufugaji. Napenda kuwashirikisha jambo moja muhimu sana, pale unapoingia kwenye Tasnia ya ufugaji na kilimo jua kama biashara yoyote ile...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni mfanyabiashara wa Samaki kambale waliobanikwa. Naomba mbinu ya kuwafanya wasiharibike.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada. Kuhusu kilimo cha tango ,, kinachukua muda gani mpaka kuvuna, udongo , hali ya hewa n.k
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Back
Top Bottom