Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Utitiri ni wadudu wadogo sana weupe hutokea kwenye mabanda ya kuku. Unapookota mayai au kufagia banda wanakurukia. Sijafahamu wanatokana na nini lakini huwa wanakera sana. Ukitokea msiba...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Wandugu nataka kulima maboga. Nahitaji kujua zaidi kuhusu Kilimo hichi wakuu.
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari za majukumu! Jamani naomba kujua ni sehemu gani( mkoa au wilaya) ambayo ni nzuri kwa kilimo chochote iwe mahindi,mpunga,karanga,alizeti nk. Nataka nijikite rasmi kwenye kilimo ila kabla...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Niko kwenye majaribio ya kilimo cha papai,aina ya malkia F1, nilinunua packet moja ya mbegu, ambayo ina mbegu 80, hatua ya kwanza niliziloweka kwenye chombo chenye maji safi kwa muda wa suku 5 na...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari za asubuhi wakulima wenzangu wa tumbaku. Mimi ni mkulima na pia nafanya biashara ya mazao yatokanayo na tumbaku Mkoa Tabora na Mpanda. Kwa Sasa tupo kwenye msimu wa soko la tumbaku Kama...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Tunaomba mwenye document ya bajeti ya Wizara ya Kilimo aitupie hapa tuichambue na kuijadili kwa mustakabali mzima wa Kilimo hapa nchini
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Twende kwenye mada moja kwa moja. Mwenye uzoefu na kilimo cha iliki naomba afanye kushea na sisi hapa jukwaani maana naona kina bei kubwa Sana kwa kilo sokoni Kati ya sh.15,000 hadi 20,000/kg...
1 Reactions
34 Replies
13K Views
Halo wakubwa Naomba msaada nguruwe wangu kadumaa. Je, nimlishe nini au nifanyeje arudi kwenye hali yake kawaida.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
JE, BANDA LA UKUBWA GANI LINATOSHA KUKU WANGU? Hili ni swali rahisi sana lakini cha kushangaza, limekuwa linasumbua sana wafugaji wengi. Watu wanajijengea mabanda kiholela na kuishia kuwa na...
4 Reactions
5 Replies
8K Views
Naam mm ni mkulima ambae nimekua nikilima mihogo sana, sasa naona ardhi yangu inaanza kupunguza uzalishaji. Nimewahi kuskia nikilima mihogo pamoja na mazao mengine yanayoendana yataongeza rotuba...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mada tajwa hapo juu Wakuu mwenye ujuzi hapo au uzoefu wa dawa nzuri ya hawa wadudu anisaidie. Wananipa kipigo kitakatifu mno
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Haya matunda huwa watu wanayachukulia poa sana, haya matunda ni ghari sana kwa nchi za ulaya hasa Scandnavia countries na yanatoka South America hasa Colombia ambako ndo wazalishaji wakuu wa...
3 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wadau, Ninatarajia kupata 20m na nahitaji inizalishie minimum 10m ndani ya mwaka mmoja kupitia kilimo. Je, nilime au nijihusishe na nini ili nifikie lengo langu kupitia kilimo au ufugaji...
6 Reactions
48 Replies
9K Views
Kilimo cha parachichi kimekua n fursa sana kwa vijana kulingana na uhalisia wa soko kubwa lililopo ndan na nje ya nchi. Unaweza kutengeneza pesa kwa kuuza miche ulio iandaa au kuiotesha wewe...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Uzi huu Ni maalumu kwa wakulima kutoka sehemu mbali mbali pia tupeane connection za kilimo pamoja na mazao Kwa waliofanikiwa kupitia kilimo nivyema mpite hapa na kutushauri mengi kuhusu kilimo...
3 Reactions
15 Replies
3K Views
Salama wa kuu? Sina hakika kama tittle yangu km imekaa vzr, but ntajaribu kuielezea hapa. Ni kwamba nimekua nikijiuliza hili swali kwamba je, nguvu za ngo'ombe wa maksai zinaweza kutumika kuvuta...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Bei za kusafirisha mazao kutoka sokoni (mikoani) mpaka sokoni Dar/ Masasi mwezi May 2022 zikoje hapo ulipo
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wadau, poleni na majukumu. Kwa wanaoijua hii miti/maua hapo, anaweza kunijulisha kwa kiswahili yanaitwaje na wapi napoweza kuipata? Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
0 Replies
539 Views
Wadau, mimi mfugaji wa Bata nahitaji Mashine za kutotolesha mayai (Incubators), lakini iwe na uwezo wa kutumia umeme na Solar na Unaweza kuwa ya mayai 50-90+. Yeyote mwenye kujua aina nzuri kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakulima wa nyanya mkoani songwe mbozi naomba tupeane ujuz
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom