Bila shaka mko salama,
Nina miaka 7 nalima viazi mviringo uku nyanda za juu kusini mkoa wa Iringa. Kwa miaka yote bei ya shambani ilikua inacheza sh 5000_8000 kwa debe shambani.
Lakini ilipofika mwezi wa tano mwaka huu bei ilibadilika Sana na kufikia 15000. Wanunuzi wanatafuta kiazi mviringo kwa gharama ya 15000 na kuendelea kwa debe. Kama mkulima moyo wangu umemwagiliwa furaha kwani misimu mingine ilikua ni masikitiko na maumivu kutokana na wanunuzi kujipangia bei.
Niliyobaini kama mkulima hadi bei ya kiazi kupaa juu ni
1: Pembejeo zilikua juu Sana msimu wa kilimo watu wengi hawakulima kiazi ( mbolea)
2: Mvua zilikata mapema wale waliopanda kwa Mara ya pili mwezi wa tatu viazi vilikosa mvua ya kutosha
Vipi hapo ulipo kiazi mviringo ni shilingi ngapi kwa kilo, debe, roba?
Nina miaka 7 nalima viazi mviringo uku nyanda za juu kusini mkoa wa Iringa. Kwa miaka yote bei ya shambani ilikua inacheza sh 5000_8000 kwa debe shambani.
Lakini ilipofika mwezi wa tano mwaka huu bei ilibadilika Sana na kufikia 15000. Wanunuzi wanatafuta kiazi mviringo kwa gharama ya 15000 na kuendelea kwa debe. Kama mkulima moyo wangu umemwagiliwa furaha kwani misimu mingine ilikua ni masikitiko na maumivu kutokana na wanunuzi kujipangia bei.
Niliyobaini kama mkulima hadi bei ya kiazi kupaa juu ni
1: Pembejeo zilikua juu Sana msimu wa kilimo watu wengi hawakulima kiazi ( mbolea)
2: Mvua zilikata mapema wale waliopanda kwa Mara ya pili mwezi wa tatu viazi vilikosa mvua ya kutosha
Vipi hapo ulipo kiazi mviringo ni shilingi ngapi kwa kilo, debe, roba?