Umati wa waumini wa kikatoliki wamejazana kwenye misa ya kumuombea Mwanasiasa wa kizazi kipya anayeteswa na kikongwe Museveni na vikaragosi vyake.
Miongoni mwa waumini yupo Kiongozi mwenye...
Maandamano yameanzia 10 Downing Street( Makazi ya Waziri Mkuu) yanaelekea Trafalgar Square eneo maarufu kwa ajili ya wanaoandamana.
Ubalozi wa Uganda(Uganda House) IPO opposite na Square hiyo...
MLIOSAMBAZA PICHA FAKE YA BOB WINE AKIWA NA MAJERAHA USONI KOMENI KUWA MNASAMBAZA VITU MSIVYOKUWA NA UHAKIKA NAVYO. MBONA LEO MAHAKAMANI HATUJAMUONA NA JERAHA LOLOTE USONI ,NA ISITOSHE LEO NDO...
Mbunge wa Kyadondo nchini Uganda Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amekamatwa muda mfupi baada ya mahakama ya kijeshi kumuondolea mashtaka ya umiliki haramu wa silaha nchini.
Muda mfupi baada...
Mbunge ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki nchini Uganda Robert Kyagulanyi jina maarufu Bobi Wine leo anatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Gulu kaskazini mwa Uganda.
Taarifa hiyo...
Mnaodhani kuwa mkiwa madarakani basi mnaweza kufanya kila mnalolitaka mmekosea sana kwani sasa ni rasmi kwamba Mitandao ya Kijamii ndiyo kimbilio pekee la upatikanaji wa Haki hapa duniani ambapo...
Mwanzoni mwa wiki hii waandamanaji waliingia katika mitaa ya Kampala kudai kuachiliwa kwa mbunge Bobi Wine.
Jeshi la Uganda limeomba msamaha ambao ni nadra sana kutokea baada ya askari wake...
Hii ndio habari inayozunguka hivi sasa huko BBC , hapa kuna malengo mawili moja ni kuongeza nguvu ya mawakili waliopo ili kuishinda serikali ya Uganda pamoja na dikteta Museveni Mahakamani ...
-Jamaa wa familia yake walieleza kuwa hawajui anayewatumia vitisho hivyo
-Walisema kuwa hawatatishwa na vitisho vyenyewe na kuwa wataendelea kupigania uhuru wake
-Walikariri kuwa Bobi alihitaji...
Meneja wa hoteli akana Bobi Wine kuwa na silaha
Mwanamuziki Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine.
Kwa ufupi
Meneja huyo ambaye pia ndiye mmiliki wa hoteli hiyo alisema wageni wanaoingia...
Mahakama kuu ya Uganda imeridhia mabadilio ya Katiba kuondoa ukomo wa umri wa rais kuwania madaraka ikimaanisha sasa Museveni kutawala maisha maana Tume ya Uganda haina tofauti na bongo wote...
Ugandan Women Fight Lazy Husbands With $6 'Sex Tax'
Ugandan women are demanding that their lazy, irresponsible husbands either change or pay up for sex.
By Godfrey Olukya
The Daily Dose JUL...
Mawakili 24 wameungana kumtetea Mbunge wa Kyadondo, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, huku wakimtaka Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu nchini humo, Med Kaggwa kutumia vyema haki ya kikatiba ili...
Polisi nchini Uganda imewatawanya waandamanaji kwa kupiga risasi hewani na mabomu ya machozi katika Barabara ya Bombo, Kisekka na Old Kampala. Maandamano hayo yanapinga na kulaani kukamatwa kwa...
Bobi wine
Today we spent the whole day in Gulu. Bobi Wine was produced before the military court and charged with three counts of illegal possession of firearms. No one else was permitted to see...
Wakili maarufu Uganda, Male Mabirizi amemfikisha Mwanasheria Mkuu kwenye Mahakama ya Kikatiba, kuhusu Mbunge @HEBobiwine kushitakiwa Mahakama ya Kijeshi badala ya ile ya Kiraia. Pia amefungua Kesi...
Madaktari wa Uganda wamelaani vikali kuteswa kwa watuhumiwa wakiwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Kufuatia tukio la kukamatwa Mbunge Bobi Wine na kuteswa na vyombo vya usalama, Madaktari hao...
Hayawi hayawi yamekuwa....!!
Tunaweza kusema ni kitendo cha kishujaa kwa mwanamama mke wa Bobi Wine kumpigia simu Rais wa Marekani ili kumshtaki Rais M-7 katika juhudi za kunusuru maisha ya mume...
Imeripotiwa kuwa msanii na Mbunge wa Uganda Bob Wine kwa sasa hawezi kutembea wala kuzungumza baada ya kupigwa sana na vikosi vya usalama, Mbunge huyo alifikishwa jana Mahakamani kwa tuhuma za...
Kupitia Radio famer ya Uganda Buddo,
Mwanasheria amesema kwamba Bobi wine amewekewa injection ya dawa fulani mwilini ambako hajitambui mpaka muda huu, hata wanaomtembelea hawatambui, wala uso...