moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Wakili maarufu Uganda, Male Mabirizi amemfikisha Mwanasheria Mkuu kwenye Mahakama ya Kikatiba, kuhusu Mbunge @HEBobiwine kushitakiwa Mahakama ya Kijeshi badala ya ile ya Kiraia. Pia amefungua Kesi ya Katiba kwa andiko la kurasa 30696, kupinga kufutwa ukomo umri wa kugombea Urais.
Source : Swahili times
Sent using Jamii Forums mobile app
Source : Swahili times
Sent using Jamii Forums mobile app