Mnaodhani kuwa mkiwa madarakani basi mnaweza kufanya kila mnalolitaka mmekosea sana kwani sasa ni rasmi kwamba Mitandao ya Kijamii ndiyo kimbilio pekee la upatikanaji wa Haki hapa duniani ambapo...
Mwanzoni mwa wiki hii waandamanaji waliingia katika mitaa ya Kampala kudai kuachiliwa kwa mbunge Bobi Wine.
Jeshi la Uganda limeomba msamaha ambao ni nadra sana kutokea baada ya askari wake...
Hii ndio habari inayozunguka hivi sasa huko BBC , hapa kuna malengo mawili moja ni kuongeza nguvu ya mawakili waliopo ili kuishinda serikali ya Uganda pamoja na dikteta Museveni Mahakamani ...
-Jamaa wa familia yake walieleza kuwa hawajui anayewatumia vitisho hivyo
-Walisema kuwa hawatatishwa na vitisho vyenyewe na kuwa wataendelea kupigania uhuru wake
-Walikariri kuwa Bobi alihitaji...
Meneja wa hoteli akana Bobi Wine kuwa na silaha
Mwanamuziki Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine.
Kwa ufupi
Meneja huyo ambaye pia ndiye mmiliki wa hoteli hiyo alisema wageni wanaoingia...
Mahakama kuu ya Uganda imeridhia mabadilio ya Katiba kuondoa ukomo wa umri wa rais kuwania madaraka ikimaanisha sasa Museveni kutawala maisha maana Tume ya Uganda haina tofauti na bongo wote...
Ugandan Women Fight Lazy Husbands With $6 'Sex Tax'
Ugandan women are demanding that their lazy, irresponsible husbands either change or pay up for sex.
By Godfrey Olukya
The Daily Dose JUL...
Mawakili 24 wameungana kumtetea Mbunge wa Kyadondo, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine, huku wakimtaka Mkuu wa Tume ya Haki za Binadamu nchini humo, Med Kaggwa kutumia vyema haki ya kikatiba ili...
Polisi nchini Uganda imewatawanya waandamanaji kwa kupiga risasi hewani na mabomu ya machozi katika Barabara ya Bombo, Kisekka na Old Kampala. Maandamano hayo yanapinga na kulaani kukamatwa kwa...
Bobi wine
Today we spent the whole day in Gulu. Bobi Wine was produced before the military court and charged with three counts of illegal possession of firearms. No one else was permitted to see...
Wakili maarufu Uganda, Male Mabirizi amemfikisha Mwanasheria Mkuu kwenye Mahakama ya Kikatiba, kuhusu Mbunge @HEBobiwine kushitakiwa Mahakama ya Kijeshi badala ya ile ya Kiraia. Pia amefungua Kesi...
Madaktari wa Uganda wamelaani vikali kuteswa kwa watuhumiwa wakiwa mikononi mwa vyombo vya usalama.
Kufuatia tukio la kukamatwa Mbunge Bobi Wine na kuteswa na vyombo vya usalama, Madaktari hao...
Hayawi hayawi yamekuwa....!!
Tunaweza kusema ni kitendo cha kishujaa kwa mwanamama mke wa Bobi Wine kumpigia simu Rais wa Marekani ili kumshtaki Rais M-7 katika juhudi za kunusuru maisha ya mume...
Imeripotiwa kuwa msanii na Mbunge wa Uganda Bob Wine kwa sasa hawezi kutembea wala kuzungumza baada ya kupigwa sana na vikosi vya usalama, Mbunge huyo alifikishwa jana Mahakamani kwa tuhuma za...
Kupitia Radio famer ya Uganda Buddo,
Mwanasheria amesema kwamba Bobi wine amewekewa injection ya dawa fulani mwilini ambako hajitambui mpaka muda huu, hata wanaomtembelea hawatambui, wala uso...
Umoja wa ma Dj nchini Uganda wameafikiana kupiga nyimbo za mwanamuziki BOBI WINE kwenye kila dakika 15 za baada ya kamili ya saa kushinikizwa kuachiwa kwake
Source:
Ukurasa wa television ya Nbs...
Mchungaji Abel Ayinza Raia wa Uganda anayefanyia kazi zake nchini Marekani amejiua baada ya kuona picha za Mke wake aliyemuacha nyumbani mwezi mmoja uliopita nchini Uganda akiwa anachumbiwa na...
Opposition supporters in Uganda on Monday evening stoned one of the vehicles in President Yoweri Museveni’s convoy as the Arua Municipality by-election campaigns hot up.
“President Museveni’s...
Meet the Contestants of Miss Uganda 2018
Uganda is ready to once more, crown the most beautiful lady in her care. The woman who will represent the pearl of Africa, in beauty, intelligence, and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.