Kumekucha Uganda: Mke wa MB Bobi Wine amshtaki Museven kwa Rais Trump

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
6,697
9,048
Hayawi hayawi yamekuwa....!!

Tunaweza kusema ni kitendo cha kishujaa kwa mwanamama mke wa Bobi Wine kumpigia simu Rais wa Marekani ili kumshtaki Rais M-7 katika juhudi za kunusuru maisha ya mume wake.

Mke wa Bobi Wiine ameanika Unyama wa Rais Museveni aliomtendea Mbunge Machachari wa Uganda Kyagulanyi Ssentama a.k.a Bobi Wine kwa Rais Trump wa Marekani akimwomba Rais huyo wa Taifa kubwa la Marekani aingilie kati ili kusaidi kuokoa maisha ya mume wake.

Stay tuned.
 
Back
Top Bottom