WHAT EXACTLY HAPPENED IN ARUA? MY STORY!
Fellow Ugandans, friends and well-wishers from around the world,
I am sorry, I have taken a bit long to write to you about the trials and tribulations...
Kwamba media zote za Afrika sasa zinaripoti kuwa Buganda kuna udikteta na kwamba Mu7 ni dikteta nguli?
Lakini Dikteta Mu7 anayelaumiwa sana kimataifa hajazuia watu kutoa maoni yao kupitia forum...
By Monitor Reporter
The Kyadondo East MP Robert Kyagulanyi aka Bobi Wine on Thursday appeared before Gulu Magistrates Court where he was charged with treason.
He was then remanded to Gulu prison...
Mbunge wa Upinzani nchini Uganda ambaye pia ni mwanamuziki, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine ambaye anadaiwa kupigwa na kuteswa baada ya kukamatwa mapema mwezi huu, inasemekana amezuiwa...
Bobi Wine ameachiwa huru leo na inadaiwa ni kutokana na shinikizo toka Ubalozi wa Marekani nchini Uganda,
Hana kesi ya kujibu.
Chanzo: City Radio Uganda
=======
Taarifa za hivi punde kutoka...
Spika wa Bunge Rebecca Kadaga amemwandikia barua Rais Yoweri Museveni akimtaka achukue hatua za haraka za kukamatwa na kushtakiwa maofisa usalama waliohusika kuwatesa wabunge na wanahabari siku ya...
Mwanamuziki mwanasiasa Bobi Wine ambaye amekuwa akizuiliwa kwa karibu wiki mbili nchini Uganda ameachiliwa huru kwa dhamana na Mahakama Kuu mjini Gulu, kaskazini mwa nchi hiyo.
Mbunge huyo wa...
Mwanamuziki maarufu nchini Uganda ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kyadondo, Bobi Wine ameachiwa huru kwa dhamana leo Agosti 27, 2018 na Mahakama Kuu mjini Gulu.
Bobi Wine
Robert Kyagulanyi a.k.a...
Mwanamuziki maarufu nchini Uganda ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kyadondo, Bobi Wine ameachiwa huru kwa dhamana leo Agosti 27, 2018 na Mahakama Kuu mjini Gulu.
Bobi Wine
Robert Kyagulanyi...
hebu angalia,polisi wote hao,wanalipwa pesa za walipakodi halafu cheki kazi wanayofanya,hivi sisi waafrika tumelaaniwa ama?
cheki video hii polisi wanachofanya nje ya nyumba ya besigye,ila...
habari, Dunia na waganda kwa ujumla wamechoka na jina la Mseven kuwa katika madaraka, hii ishu ya Bobi wine itampeleka pabaya naona western media wameikomalia na hapa wana target yao (museven must...
Dereva wa MP Sentamu Kyagulani Robert aka Bobi Wine ameuawa akiwa ndani ya gari huko Arua.
Tukio hilo limetokea wakati viongozi wa upinzani wakiwa kwenye kampeni wakimsapoti mgombea huru Kassiano...
Mbunge Robert Kyagulanyi Sentamu, hapa alilazimika kulala maskani yake ya zamani na washikaji zake baada ya kujua kuna Mpango wa kumkamata asizuie mswada bungeni wa kumuondolea Mseven umri wa kugombea
Hali sio shwari huko Uganda, na kwavile hao ni marafiki zetu kwani M7 alishatuonesha kuwa tutakuwa na biashara ya bomba LA mafuta nasi tutauza gas huko.
Jee tumejiuliza hali inayoendelea huko ya...
Museveni baada ya kuona kwamba moja ya vijana wanaokuja juu anakubalika na wenda ana ushwawishi mkubwa amemfanyia jambo la kinyama bwana Chagulanyi Sentamu.
Leo Dakota anasisitiza kwamba Figo...
Jitihata za Wakenya na jamii ya kimataifa zimezaa matunda baada ya Museveni kuamua kumuachia jamaa, na akafutiwa kesi kabisa. Lakini hapo hapo ameamua kumkomesha Kizza Besigye ambaye amekamatwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.