Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naomba msaada please Bwana Mdogo anahitaji kubuild workstation but budget ya kuanzia anasema ana tsh 500,000. But kila after two weeks atakuwa anapata tsh 500,000. Je aanze na nini kwa hii tsh...
1 Reactions
6 Replies
162 Views
Nilikuwa natumia Xiaomi 12T Pro Kwa muda sasa ila majuzi usiku hapa Mbeya wahuni walinikaba na kunipora kila nilichonacho including my phone. Uzuri sikuwa na hela nyingi mfukoni kwa hiyo kitu cha...
17 Reactions
59 Replies
1K Views
Wakuu . Kama kichwa kinavyojieleza Nahitaji kuchukua wi-fi lengo kubwa ni kuona namna Gani naweza kusave Hela ambayo ningeitumia kununua vocha za Kila siku Na nimepata hiyo hapo Pocket rout ya...
7 Reactions
33 Replies
791 Views
Tupitie pamoja flagship soundbars. 1. Nakamichi Dragon 11.4.6 : Description:Hii soundbar ina channels 21 katika configuration ya 11.4.6. Pia ni soundbar ya kwanza kusapoti DTS:X Pro ambayo ni...
7 Reactions
45 Replies
3K Views
Je kuna offline audio player nzuri kushinda hizo hapo juu zenye user face nzuri na quality nzuri ya muziki kushinda poweramp player...kama zipi basi unaweza kuzitaja hapo chini....Kwangu Poweramp...
4 Reactions
13 Replies
535 Views
Sticker nyekundu hizo husaida kufunika lens ili isifanikiwe kuchukua picha endapo pale atakapopiga picha kimakosa hasa nakala nyeti na za usiri ukubwa. Endapo hata simu yake itakapokuwa hacked na...
6 Reactions
18 Replies
452 Views
China's Robots Are No Longer Just Working, They're Performing on Stage Like Pro Dancers This wasn't a sci-fi movie. It was a live concert. At Leehom Wang's Chengdu show, 6 Unitree robots...
2 Reactions
5 Replies
294 Views
  • Question Question
Msaada namna ya ku- unlock banned Facebook account Wakuu salamu. Kama heading inavyojieleza hapo juu, account yangu ya Facebook imefungiwa kutokana na kuhisiwa kuwa mimi ni hacker kitu ambacho...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna watu wengi sana wanapenda kufanya biashara, kuandika mitandaoni, kufundisha, au kutangaza huduma zao… lakini wanakwama sehemu moja: “Sijui design.” Zamani ilibidi ujifunze Photoshop kwa...
2 Reactions
1 Replies
311 Views
Je, ulijua kwamba ukiwa na akaunti moja ya Gmail, kwa kweli una uwezo wa kuwa na anuani za barua pepe zisizo na kikomo? Mbinu hii inaweza kuwa na matumizi mengi muhimu sana. Unaweza kufanya hivyo...
3 Reactions
2 Replies
336 Views
NATAFUTA TEAM (PART-TIME) – YOUTUBE CHANNEL Natafuta vijana wenye ujuzi wa: 🎨 Graphic Design 🎞️ Video Editing ✍️ Script Writing 🎙️ Narration Kwa ajili ya YouTube Channel Interested? Tuma: Jina...
3 Reactions
3 Replies
195 Views
Wakuu, natumaini hamjambo. Kama kichwa cha habari kinavyoonekana, nina hiyo router ya CPE 5s; ila tatizo inatumia tu laini moja. Je, kuna mtu anaweza unlock ili iweze kusoma laini tofauti?
1 Reactions
0 Replies
108 Views
Mambo mengi yanafanyika kwa haraka kuliko zamani. Watu wanajifunza, wanafanya biashara mtandaoni, wanatafuta kazi mtandaoni na kuwasiliana kupitia mtandao kila siku. Moja ya uvumbuzi mkubwa...
5 Reactions
4 Replies
381 Views
  • Redirect
Ni hivi wakuu ninataka kununua kakifaa fulani kakuscania magari. Japo hakasomi kwenye gari za Asia chini ya mwaka 2008. Hivyo ninahitaji kujua gari nyingi hapa Bongo ni za miaka gani.
2 Reactions
Replies
Views
Hello programmers, Tujuane kwa: • Skills zetu • Tech stack • Years of experience • Fursa zilizopo hasa hapa bongo. 🫴🫴Uwanja ni wetu.
2 Reactions
11 Replies
214 Views
Wadau Halotel wali lunch 5G katika mikoa yote 26 lakini imejaribu ku swich on Line yao tuu siipati hiyo 5G kama walivyotangaza. Nakusudia kuwaburuza Mahakamani. Tigo Vodacom ndo naona zinapandisha...
1 Reactions
20 Replies
468 Views
Nimekuwa nikikutana na changamoto ya kupata internet. Account iko paid, connection zote zipo sawa. Nikipiga simu naambiwa ni tatizo la kiufundi. Naomba kujua kama na nyie mnakutana na...
4 Reactions
11 Replies
333 Views
Naomba kujua namna naweza kutrack taasisi yoyote ya mikopo iliyo linked na namba ya nida!
1 Reactions
0 Replies
115 Views
Habari wakuu Kiukweli nahitaji kuongeza uelewa kuhusu mambo mifumo ya sim na mambo ya computer like androids, OS, Linux, bypassing and other like that. Hivo nilipendelea sasa kisaidiwa kupata...
1 Reactions
8 Replies
302 Views
FUMO WA ESS KWA SIMU
1 Reactions
3 Replies
172 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…