Habari wakuu?
Naomba link za kuweza kupakua app ya screenshoot kwenye simu yangu ya nokia e5(symbian).
Kuna kipindi cha nyuma niliweka simu ikakorofisha ikaflashia kwahiyo na ile app...
Wakuu PC yangu amechezea mtoto
Sasa kila nikiweka password inagoma ila hajabadilisha password, bado password ni ileile ya mwanzo ila nikiweka inajibu hivi
The Group Client service failed the...
Wadau nina simu tajwa hapo juu ambayo ni Sony experia c6903, kila nikiweka sim card haisomi wala internet network naombeni msaada. Nimeifanyia factory reset lakini bado.
Nyumbani creative ni kampuni yenye team iliyojitosheleza katika kupokea mawazo yako ya mfumo taarifa (data system) wa kazi zako na kuziweka katika mfumo wa programu za kompyuta (software)...
WAKUU, nahitaji muongozo wa kujifunza mambo ya Networking nijue tu basics ,Kwa wale wabobezi je nianze na kipi mimi ni mgeni kabisa japo Nina ufahamu kiasi Fulani wa computer
Naomba muanze kulinda website yenu. Nimewaonesha milango kadhaa ambayo mtu anaweza itumia kuingia , inatumia teknolojia ya zamani sana hiyo version ya joomla ni ya muda sana fanyeni ku upgrade...
ICT na Teknolojia nchini Marekani imeajiri watu wengi sana na inawalipa vizuri mno kuliko sekta nyingine, hebu cheki hii Makala hapa Tehama! Jawabu lililosahaulika katika swali la ukosefu wa...
Published: 14 October 2016 ID: G00317560
Analyst(s): David W. Cearley | Mike J. Walker | Brian Burke
Order Reprints
You may request paper or digital reprints on the ensuing order form.
Summary...
Naomba msaada wa ku update GBwhatsapp nashindwa maan mda wote inaniletea Mesej upgrade Lakin nikibonyeza kuruhusu ku apgrade nashindwa naambiwa ni download kwa kutumie cloud download Niki click...