Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu, Nimekuwa nikipata changamoto ya kutambua code ya namba ya simu iliyokupigia au uliyopewa na mtu kwa kuangalia maana zinafanana na kila siku zinakuja mpya. Sasa hii inakua Changamoto kama...
5 Reactions
61 Replies
1K Views
UI ya simu (User Interface) ni muonekano na njia mtu anavyokuwa connected na simu, ikijumuisha unachokiona kwenye screen yako, menus, icons, na animations. Mfano ni One UI ya Samsung, HyperOS ya...
7 Reactions
46 Replies
688 Views
Wakuu salamu. Naombeni msaada namna ya ku verify number kwenye YouTube channel. 🫶
1 Reactions
3 Replies
126 Views
White hat hackers mpo wapi? Cyber security experts let us meet here and exchange different ideas.
13 Reactions
257 Replies
7K Views
Hawa jamaa sijui uwa wanafikiria nini katika muundo wa simu zao . Simu ina camera moja nyuma ila designer anaweka marings matatu ili waonekane kama iPhone macho matatu, na wateja wasiojua...
17 Reactions
35 Replies
1K Views
As of March 25, 2026, Claude AI is experiencing degraded performance across its services, including claude.ai, the API, and console, following recent reports of elevated errors and potential...
0 Reactions
1 Replies
276 Views
Lakini washikaji hawataki kunielewa hapa wananiambia eti nimeacha bunduki nimechukua rungu🥲🥲🥲
22 Reactions
253 Replies
12K Views
Ili kupata uzoefu wa simu za kiwango cha juu (flagship) nchini Tanzania kwa mwaka 2026, Samsung Galaxy S26 Ultra ndiyo chaguo namba moja. Inapatikana madukani kwa makadirio ya TZS 3,500,000 (GB...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakati wa kuzindua iPhone 18 series itatoka na iPhone Fold. Ni iPhone ya kukunja ya kwanza kutoka Apple. Base model ya 256 GB itakua $1,999 wakati ya juu ya 1TB itakua $2,400. Hapo bado ushuru...
9 Reactions
36 Replies
651 Views
Nimeamua kuandika makala hii bbaada ya kuona watu wengi Wanaibiwa , Kupigwa bei kali na kuuziwa simu feki au Bandia. Mpaka wengine wanaogopa kabisa kununua simu used kutoka nje… 1. Hakikisha Iko...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
SIM Swapping Wizi wa Namba ya Simu Bila Kuibiwa Simu Na Jinsi ya Kujilinda Katika dunia ya sasa ya kidigitali, namba yako ya simu imekuwa “kitambulisho” chako mtandaoni. Inatumika kuthibitisha...
7 Reactions
8 Replies
2K Views
Kama unatumia vocha kuongeza salio, basi hii app inakufaa sana! Inaitwa Voucher Master inapatikana Play Store – unatumia kamera ya simu tu kuskani vocha na salio linaingia moja kwa moja bila...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Kwa wale wote wenye kukutana na kesi za ku edit PDF.. Kuweka Sawa PDF au Document za zamani zionekane vizur na kubadirisha baadhi ya picha na style basi hapa ndo Penyewe, Editing Zote Muulize PDF...
2 Reactions
1 Replies
110 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba ushauri ni friji ipi nzuri ya kununua kati ya hizo nilizotaja hapo juu
1 Reactions
4 Replies
210 Views
Moja kwa moja . Nina mpango wa kuvunja kibubu ninunue simu Kali wakuu maana nimechoka kutumia kifaa Cha mawasiliano . Mwaka huu In Shaa Allaah mambo yakiwa mazuri nataka nitenge bajeti ya...
5 Reactions
64 Replies
1K Views
Habari wakuu, Wiki chache nyuma nilikuja jukwaani kuomba msaada wa jinsi ku block users amabo wanapata access ya password, Baada ya kuitumia Router ya Airtel kwa kipindi kirefu sasa imeanza...
7 Reactions
22 Replies
4K Views
Tanzania kila inayo itwa leo watu hutapeliwa ,wengi hupotezea kwa sababu ya udogo wa pesa wanazo tapeliwa …. Fikiria kama ukitapeliwa laki 3,4 au MILLIONI. Ni pesa nyingi eeh…. Kama haupo makini...
7 Reactions
13 Replies
834 Views
Nahitaji mtu wa kinifanyia Config ya DOCKER, PORTAINER, CONTAINERS kama vile Pi hole, Nextcloud, Tailscale-vpn, Paperless ngx, Media automation kama vile SONAAR kwenye NAS SERVER. 0715 240140
0 Reactions
5 Replies
234 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…