Nahitaji kuifanya Tv yangu iwe kama youtube au Netflix lakini niweze kustream video kutoka kwenye laptop yangu bila bando. Laptop nitakuwa naiacha chumbani, niweze kuchagua video moja kwa moja...
Kuna subwoofer nyingi zime zagaa sasa nashindwa ni ipi ninunue maana sija wahi tumia sijajua ipi ni nzuri maana nisije nikanunua leo kesho imekufa
Naomba mnisaidie mnao fahamu kuhusu hivi vitu...
1. Nimepata hard disk 6 TB kwa shilingi 150,000 used (used ila disc health safi )
2. Nimenunua cpu used kwa elfu 50 ikiwa na hard disk ya GB 80 (Hp Optiplex SFF)
Kwanini ninunua cpu wakati...
💡 Nchi ya China imegundua chanzo Cha nishati mpya isiyo na kikomo inaitwa thorium , imeripotiwa kugundua hifadhi hiyo kubwa ya Thorium katika eneo la uchimbaji wa madini LA bayan Obo huko...
JuZ kat sikuwa na habar kama hizi simu za iphone matoleo ya nyuma wanazizima zisifanye kaz tena.nikiwa sina hili wala lile ghafla simu nikaona haifanyi kaz imejizima...nikajaribu kuiwasha...
Nimekuwa nikifuatilia ubora wa TV za mkulima ila nimebaini TCL na Blackstone naona kama zipo juu, sasa hapa nimeshindwa kufanya uamzi nichukue ipi?
Naomba ushauri wenu, nichukue ipi na bei kwa...
Tulizungumzia hii soundbar kwenye mada: FLAGSHIP SOUNDBARS.
Nakamichi wanadai ni kufuatia maombi kutoka kwa watumiaji wa awali wa hii sound system ambapo 41% waliomba subwoofer ziongezeke uwezo...
Kwa aliyewahi kutumia au Mwenye Ufahamu nazo nataka kununua ya hisense btu 12000
Kwa chumba kimoja
Jf ina watu wengi wanaojua nisanueni changamoto zake na uzuri wake pia.
Geofrey Hinton anajulikana kama "GODFATHER OF AI" anatakumbusha swali la msingi, je tuko tayari kisawa sawa kwa ajili ya AI?
Sijui kama Aliacha kazi kama protest au hofu ya ukuu wa AI ambao...
Habari wana Ndugu,
Nilishawahi Kupotea Dar Nina Pesa Mkononi,Naona Daladala Zinapita Lakini Sijui Nipande Ipi Ili Nifike Ninapokusudia
Ghafla Paap! Naona Mdada Kasimama
Mimi:Mambo Samahani Dada...
Mwaka 2060 watu watakua na uwezo wa kusafiri toka sehemu moja kwenda nyingine kwa kufikiria tu!!
Je utajisikiaje ikifika wakati unatoka Dar Kwenda Dodoma kwa kufumba na kufumbua macho tu kama...
Mfano domain iwe xyz.tz na xyz.co.tz
.tz gharama ni 100,000 kwa mwaka na .co.tz ni 25,000!
Je kuna faida gani ya kutumia .tz domain badala ya .co.tz?
Nataka sajili domain naomba mawazo..
Mafundi mnisaidie flash file la SQ1000, maana yake ya Google ukigonga simu haiwaki.
Ambaye alisave scallter file kwenye miralce crack anitumie pls
Inakuwa na mb 4
Hawa ni Isaac Newton; the Father of Phsics na Nicolas Tesla
ISAAC NEWTON
https://en.wikipedia.org/wiki/Isaac_Newton
NICOLAS TESLA
https://en.wikipedia.org/wiki/Nikola_Tesla
Infinix Imetisha imeleta simu unaweza kuichaji kupitia Mwanga wa Jua
💭 Ebu fikiria unatembea kwa miguu jua Kali na simu yako inakaribia kuzima, au huko kwenye gari mwanga wa Jua unakupiga tu...
Habari wakuu.
Ningependa kushare nanyi ujuzi wangu mdogo katika kutengeneza beat ya trap.
Kwa watakaohitaji FLP yake niunge mkono kwa kusubscribe na niandikie tu katika email hii nami...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.