Uzi maalum kwa ajili ya simu za tecno. Matatizo yake, maujanja na matengenezo

Aventus

JF-Expert Member
Mar 8, 2013
1,914
1,977
Habar Za midaa Hii wana jamvii???

Huu ni uzi maalum kwa ajili ya tecno kama heading inavojieleza. Wengi wetu humu tunatumia tecno wereva.
Basi tushirikishane kwenye uzuri, ubovu na matatizo ya hizi simu zetu pendwa.

Kwa mfano mimi natumia tecno C9. Toka nimenunua iko na mwaka, mwanzo ilikua tamu sana ila kwa sasa imekua nzito(slow), camera imepungua uwezo picha zinatoka na chenga chenga pia SMS notification haziondoki hata kama SMS nshaisoma na kui delete. Kuna kitu inaitwa screen overlay inazingua mazima.

Karibuni

Screen.JPG
 
sitakuja kuponda wala kukashifu kwa wale wanotunia tecno ila kwa kifupi ni bora nisitumie smart kuliko kutumia hizi brand za tecno....siku zote najiuliza hili swali "hawa waingizaji wa simu mbona hawatuletei simu kama
xiaomi
one plus
oppo
gionee
meizu
nubia
ZTE na nyinginezo? Kama hizi simu zingekuwa zinapatika hapa bongo leo nani angenunua tecno,infinity,i tel,viwa
 
Habar Za midaa Hii wana jamvii???

Huu ni uzi maalum kwa ajili ya tecno kama heading inavojieleza.Wengi wetu humu tunatumia tecno wereva.
Basi tushirikishane kwenye uzuri,ubovu na matatizo ya hizi simu zetu pendwa.

Kwa mfano mimi natumia tecno c9.Toka nimenunua iko na mwaka.mwanzo ilikua tamu sana ila kwa sasa imekua nzito(slow),camera umepungua uwezo picha zinatoka na chenga chenga,Pia sms notification haziondok hata kama sms nshaisoma na kui delete.kuna kitu inaitwa screen overlay inazngua mazima.


Karibun
1092be477026be91e5b81ab91380c9ae.jpg
356a59eec2df40f7867c05ab6c085cc3.jpg
hiyo screen overlay inatokea hata kwenye simu mpya....ikiwa una apps ambazo zinafanya kazi.juu ya zingine
 
sitakuja kuponda wala kukashifu kwa wale wanotunia tecno ila kwa kifupi ni bora nisitumie smart kuliko kutumia hizi brand za tecno....siku zote najiuliza hili swali "hawa waingizaji wa simu mbona hawatuletei simu kama
xiaomi
one plus
oppo
gionee
meizu
nubia
ZTE na nyinginezo? Kama hizi simu zingekuwa zinapatika hapa bongo leo nani angenunua tecno,infinity,i tel,viwa
Mahaba yote ya Watanzania Yako kwenye tecno.tunapenda vya bei chee
TECNO zinasumbua ukijaza apps nyingi
Hata ukiweka App chache bado inazngua
hiyo screen overlay inatokea hata kwenye simu mpya....ikiwa una apps ambazo zinafanya kazi.juu ya zingine
Mfano App Gan Mkuu?
 
Tecno wanatumia Processors (CPU) chips za MediaTek au kifupi MTK ambazo ni very weak CPUs na ni very cheaper than others like Qualcomm, Snapdragon, SPD na nyingnezo....Ndio maana sim au devices nyingi zenye chip ya MTK mfano sim za Tecno huwa zinakua na laggs, malwares attacks kwa sana, slow speed kwenye ku process data due to it's weakness na ndio maana zinauzwa bei ndogo sana ukilinganisha na product zingne za simu... Na hii ina loopholes nyingi ndio maana ma virusi mengi sana, ikienda sambamba na OS ya Android ya Google ambapo kuna OS nyingne tena inaitwa AOSP(Android Open Source Project) ambayo huwa pia ya Google lakini ni kama third party OS ambayo inaweza kufanyiwa modifications nyingi na madevelopers wa simu wenyewe ndio maana huwezi kukuta Android OS ya Tecno inafanana na ya Samsung muundo wa firmwares or ROMs.... pia hii OS ya AOSP huwaga haina Google play store ndo utakuta kuna baadhi ya sim mpaka playstore ni ya kudownload huwezi kuikuta nayo pindi uinunuapo na pia inakua na app nyingi sana za kichina na inatumika uko uchina na korea....

Sasa tuje kwenye upande wa viruses kwa sim za Android znazokua na MTK cpu ikiwemo na Tecno baba lao.... Kwakua kuna io third party OS ya Google ambayo ni AOSP so developers wengi huifanyia modifications nyingi nyingi sana na kuichezea watakavyo thus why inakua na loopholes kibao na ni simple kua attacked na viruses na ukikuta sim inatumia chip ya MTK ndio basi tena sim ina jam tu masaa yote..... Tofauti na OS nyingne kama Apple ambayo iko stable na haina third party OS kwa ajili ya developers kui modify, thus why security ya Apple ni kubwa sana kuliko android OS hasa ukija na kwenye swala zima la iCloud ndo basi tena ni janga la ulimwengu mpaka sasa na ni kiboko ya wezi wa sim duniani kote.....

Haya ndio mawazo yang.... wataalam zaidi watakuja kujazia minofu...
 
Tecno wanatumia Processors (CPU) chips za MediaTek au kifupi MTK ambazo ni very weak CPUs na ni very cheaper than others like Qualcomm, Snapdragon, SPD na nyingnezo....Ndio maana sim au devices nyingi zenye chip ya MTK mfano sim za Tecno huwa zinakua na laggs, malwares attacks kwa sana, slow speed kwenye ku process data due to it's weakness na ndio maana zinauzwa bei ndogo sana ukilinganisha na product zingne za simu... Na hii ina loopholes nyingi ndio maana ma virusi mengi sana, ikienda sambamba na OS ya Android ya Google ambapo kuna OS nyingne tena inaitwa AOSP(Android Open Source Project) ambayo huwa pia ya Google lakini ni kama third party OS ambayo inaweza kufanyiwa modifications nyingi na madevelopers wa simu wenyewe ndio maana huwezi kukuta Android OS ya Tecno inafanana na ya Samsung muundo wa firmwares or ROMs.... pia hii OS ya AOSP huwaga haina Google play store ndo utakuta kuna baadhi ya sim mpaka playstore ni ya kudownload huwezi kuikuta nayo pindi uinunuapo na pia inakua na app nyingi sana za kichina na inatumika uko uchina na korea....

Sasa tuje kwenye upande wa viruses kwa sim za Android znazokua na MTK cpu ikiwemo na Tecno baba lao.... Kwakua kuna io third party OS ya Google ambayo ni AOSP so developers wengi huifanyia modifications nyingi nyingi sana na kuichezea watakavyo thus why inakua na loopholes kibao na ni simple kua attacked na viruses na ukikuta sim inatumia chip ya MTK ndio basi tena sim ina jam tu masaa yote..... Tofauti na OS nyingne kama Apple ambayo iko stable na haina third party OS kwa ajili ya developers kui modify, thus why security ya Apple ni kubwa sana kuliko android OS hasa ukija na kwenye swala zima la iCloud ndo basi tena ni janga la ulimwengu mpaka sasa na ni kiboko ya wezi wa sim duniani kote.....

Haya ndio mawazo yang.... wataalam zaidi watakuja kujazia minofu...
sio tecno zote mtk, kua w3 moja nimekutana nayo ni spd chip
 
Tecno wanatumia Processors (CPU) chips za MediaTek au kifupi MTK ambazo ni very weak CPUs na ni very cheaper than others like Qualcomm, Snapdragon, SPD na nyingnezo....Ndio maana sim au devices nyingi zenye chip ya MTK mfano sim za Tecno huwa zinakua na laggs, malwares attacks kwa sana, slow speed kwenye ku process data due to it's weakness na ndio maana zinauzwa bei ndogo sana ukilinganisha na product zingne za simu... Na hii ina loopholes nyingi ndio maana ma virusi mengi sana, ikienda sambamba na OS ya Android ya Google ambapo kuna OS nyingne tena inaitwa AOSP(Android Open Source Project) ambayo huwa pia ya Google lakini ni kama third party OS ambayo inaweza kufanyiwa modifications nyingi na madevelopers wa simu wenyewe ndio maana huwezi kukuta Android OS ya Tecno inafanana na ya Samsung muundo wa firmwares or ROMs.... pia hii OS ya AOSP huwaga haina Google play store ndo utakuta kuna baadhi ya sim mpaka playstore ni ya kudownload huwezi kuikuta nayo pindi uinunuapo na pia inakua na app nyingi sana za kichina na inatumika uko uchina na korea....

Sasa tuje kwenye upande wa viruses kwa sim za Android znazokua na MTK cpu ikiwemo na Tecno baba lao.... Kwakua kuna io third party OS ya Google ambayo ni AOSP so developers wengi huifanyia modifications nyingi nyingi sana na kuichezea watakavyo thus why inakua na loopholes kibao na ni simple kua attacked na viruses na ukikuta sim inatumia chip ya MTK ndio basi tena sim ina jam tu masaa yote..... Tofauti na OS nyingne kama Apple ambayo iko stable na haina third party OS kwa ajili ya developers kui modify, thus why security ya Apple ni kubwa sana kuliko android OS hasa ukija na kwenye swala zima la iCloud ndo basi tena ni janga la ulimwengu mpaka sasa na ni kiboko ya wezi wa sim duniani kote.....

Haya ndio mawazo yang.... wataalam zaidi watakuja kujazia minofu...
Msaada cm yangu Tecno p3 Android version 4.0.4 inakataa kabisa Ku install WhatsApp tokea nifute, Na kwenye play store ina nambia not comprictable with my device, msaada wenu wapi nita download maana nikidownload kwa 9app ina install lakini kabla ata ya option ya kuweka no inaitaji ku update.
 
Kikubwa ni kuwa China Bara (Mainland China) hakuna simu za TECHNO madukani kwani zinatengenezwa maalum kwa.Afrika. Simu unazopata madukani ni Huawei, Xi (xiaomi), Oppo, Honor, etc.

Kwanini ununue simu ambayo Wachina wenyewe hawaijui wala kuitumia?
 
Kikubwa ni kuwa China Bara (Mainland China) hakuna simu za TECHNO madukani kwani zinatengenezwa maalum kwa.Afrika. Simu unazopata madukani ni Huawei, Xi (xiaomi), Oppo, Honor, etc.

Kwanini ununue simu ambayo Wachina wenyewe hawaijui wala kuitumia?
hivi hii ishu ni kweli kuwa simu za tecno huwezi kuzikuta zinauzwa china?
sasa hizi zinazouzwa hapa bongo zinaokotwa wapi
 
Msaada cm yangu Tecno p3 Android version 4.0.4 inakataa kabisa Ku install WhatsApp tokea nifute, Na kwenye play store ina nambia not comprictable with my device, msaada wenu wapi nita download maana nikidownload kwa 9app ina install lakini kabla ata ya option ya kuweka no inaitaji ku update.
Kama imekataa usitumie play store, nenda Google andika WhatsApp vpk kisha ukiisearch utapata link unadownload nyingine itakubali tu
 
Msaada cm yangu Tecno p3 Android version 4.0.4 inakataa kabisa Ku install WhatsApp tokea nifute, Na kwenye play store ina nambia not comprictable with my device, msaada wenu wapi nita download maana nikidownload kwa 9app ina install lakini kabla ata ya option ya kuweka no inaitaji ku update.
Jaribu kwenda google mkuu download whatsap APK then install kwenye simu
 
Poleni sana wakuu na majanga ya kidigital.

Tujaribu kuweka app chache ambazo ni muhimu kwenye vimeo vyetu ili kuepuka majanga yanayoweza kusababishwa na app nyingi.

Mimi pia mdau wa TECNO, nipo na kimeo changu hapa kina mwaka mmoja na ushee ivi kinazidi kuchanja mbuga tu mwendo wa bampa to bampa hakijawahi kunisumbua hata kidogo na speed ipo poa sana.

Naona wengine wanatuponda na vitecno vyetu eti ni vya bei chee, ok haina mbaya but mimi ni damu damu haijalishi mziponde kiasi gani mimi ili mradi nipo pamoja kwenye digital na mbwembe zote haunipiti.

Tuendelee kujuzana matatizo tofauti tofauti ili tuweze kujua namna ya kuyaepuka, maana mengine ni rahisi kutatulika lakini kama hujui ni janga sana ambalo unaweza kujikuta unajilipua mkwanja mwingine kufuata kimeo kipya ilihali tatizo lilikuwa simple kabisa kutatulika.
 
Back
Top Bottom