Umeshawahi kucheza game ya God of War ? ☣️
Miaka 20 iliyopita Game pendwa ulimwenguni iliyokuwa inaongoza kuharibu Pad 😃, God of War iliweza kuachiwa.
God of War ni. Game la mapigano la...
Hii nimejaribu Mara nyingi napotumia sim Mb huwa zinaenda kawaida tu Ila nikitumia PC( iwe laptop au desktop) Mb zinakimbia ni balaa.
Sababu ya kitaalam ni ipi? Site nazotembelea ni zile zile tu...
Jinsi ya Kutengeneza Pesa na YouTube — Mwongozo wa Kuanza
YouTube ni moja ya njia bora za kutengeneza pesa mtandaoni, lakini wengi hawajui pa kuanzia. Kama unatafuta njia ya kuanza kutengeneza...
Dunia sasa inaenda kasi, ili jamii forums izidi kuwa bora na kubadilika kuendana na teknolojia ya wakati uliopo na ujao.
Inabidi waboreshe sana hii application ikiwa ni pamoja na kubuni akili...
Nataka kulog in ila nimesahau pasword .. wanatuma code kwenye namba ya simu .. bado wanatuma verfication code kwenye gmail iyo iyo ambayo nataka kulog in
..
Mwishon nikibofya use other way...
Hello JF community, Hope mnaendelea poa nimekuwa napost thread humu ya vitu ninavyofanya na kwa lengo la kuelimisha vijana wengine wajifunze pia kitu ninachofanya leo nimekuja na hii thread ya...
Utangulizi
Canva ni zana yenye nguvu sana kwa wale wanaopenda ubunifu. Ukiwa na kipaji cha kubuni, unaweza kutumia Canva kama chanzo cha mapato. Iwe unatafuta biashara ya pembeni au njia ya...
Wenye hili game tupeane mbinu na maujanja ya jinsi ya kutumia silaha na kuibuka mshindi wa vita katika pambano maana sasa hivi nakula sana za kichwa kwenye Ranked
Tengeneza Zaidi ya $300 Kwa Mwezi na YouTube Channel za Hadithi
Unahitaji simu na internet Tu ! Soma Mpaka Mwisho ( UZI )
YouTube ni Moja Kati Ya Jukwaa Ambalo Linalipa Content Creators (...
Miaka kadhaa iliyopita, developer mmoja alifanikiwa kuunda mini app ndani ya siku mbili pekee wakati wa mapumziko yake kutoka kazi kuu. Bila msaada wa team au marketing budgetalihusika moja kwa...
Wadau Kwa wanaoona Kanye west ni chizi basi jifikirieni mara mbili, mana Kuna ukweli kwenye analolisema.
Kanye west anadai scammers wa crypto walimfuata na kumwambia apost kwenye x crypto yao...
Jumapili ya leo nataka niangalie hii muvi pamoja na watoto
nimeshindwa kuipata, nakuja kwenu wataalam wa kuyajua machimbo ya links na torrents nawaomba mnisaidie
#mwanakidigitali hii utaipenda …
WhatsApp wamefanya mabadiliko makubwa kwenye Ststus zake na sasa unaweza kuweka muziki wowote unaotaka unapo post picha kupitia WhatsApp status 📌
Ona...
WanaJF,
Poleni na majukumu.
Kama mada inavyosomeka kwenye kichwa cha habari TV ya Hisense imeacha kuonyesha picha na ninahisi kwamba kama bulb zake zimeungua.
Msaada tafadhali kwa mafundi...
Habar wakuu, Najua wengi hamko Interested na Facebook ila kwangu mimi ndio furaha yangu ilipo.
Nilikuwa nimeset "Two factor auntontification" kutokana na usalama wa account yangu dhidhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.