Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kwenu wa taalamu! Usisahau kutaja Bei yako ya kazi
1 Reactions
0 Replies
223 Views
Habari wataalam ,naomba mwenye uelewa wa wapi naweza pata card ya spika za sunda 80,000W Maana nimetafuta nimekosa nimeishia kupigwa tuu Pia kama kuna ushauri juu ya namna ya kui-repair nisaidie
0 Reactions
9 Replies
586 Views
Naomba kujua ni kampuni gani ya betri ya solar ambayo ni imara zaidi,,inayodumu hata kwa kwa zaidi ya miaka mitatu bila kupoteza uimara wake
0 Reactions
1 Replies
362 Views
Airtek Fibre Halotel Fibre Yas Fibre Liquid Simba net Zuku Go Fibre n.k. TTCL wapo lakini utendaji upo chini sana, watumishi wameridhika, hadi waje kukufungia internet ni shughuli pevu sio ya...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Huyu jamaa yuko poa sana, unaweza jifunza mambo mengi sana, badala ya kuchati na wanafiki muda mwingi nachati nae, wewe unamtumiaje?
13 Reactions
107 Replies
4K Views
UFAHAMU KUHUSIANA NA SOFTWARE NA HARDWARE (KOMPYUTA SYSTEMS). Unapo zungumzia kompyuta kuachana na tafsiri yake halisi ina mifumo miwili mifumo ambayo ni software na hardware mifumo ambayo...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
AINA ZA KOMPYUTA Aina za kompyuta zinaweza kuelezewa kwa namna mbili kulingana na ukubwa pamoja na uwezo wa kuchakata taarifa kama ifuatavyo Aina Za Kompyuta Kulingana Na Uchakataji Wa Data...
0 Reactions
0 Replies
314 Views
UMUHIMU WA KOMPYUTA SKILLS Katika kipindi hiki cha kidigitali, Ujuzi wa Kompyuta umekuwa ni muhimu sana ili kufanikiwa katika majukumu yaliyopo katika maeneo mbalimbali maishani. Maeneo hayo...
0 Reactions
0 Replies
275 Views
JINSI YA KUPATA ELIMU YA MAMBO MBALIMBALI KUPITIA DIGITALI YA TEHAMA Jiku Tech Tips itakufundisha njia za kutokana na wewe. Njia za kutokana na wewe hapa maana yake kama unavyofahamu kila mtu...
0 Reactions
0 Replies
316 Views
Kwa kua nimenunua kifurushi cha laki na kumi pasi na kupenda basi ningependa nione channel ambazo sijawai ona Nipeni code za chanel hizi -chanel za Burundi -chanel zq Central Africa -chanel za...
0 Reactions
7 Replies
436 Views
Eid Mubarak ndugu zangu waislamu, I hope mmekula sikukuu fresh. Hivi kuna uwezekano mtu akahack WhatsApp yako akawa anaona meseji zote zinazoingia? Na je kama huo uwezekano upo nawezaje kuzuia...
2 Reactions
93 Replies
3K Views
Hello world... Kwenye dunia ya technology hasa hasa computer programming chaguo sahihi la technologies za kutumia ili kutatua tatizo au kutengeneza kitu fln ni muhimu sana. Kufanya chaguo hilo...
7 Reactions
26 Replies
3K Views
Hebu nitoe maelezo yenye undani kuhusu akili bandia (Artificial Intelligence - AI), aina zake, na jinsi inavyofanya kazi: 1. Ufafanuzi wa Akili Bandia (AI) Akili bandia ni uwezo wa vifaa vya...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwema watu wa JF Nimeona mtaani watu wakiwa na maswali mengi juu ya kwanini Pi Coin haipo na haijalistiwa kwenye exchange ya Binance au masoko makubwa ya cryptocurrency kama Coinbase, Kraken, na...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Ni PC gani nzuri zaidi kati ya hizi mbili?
0 Reactions
4 Replies
523 Views
Wakuu habar Naomba msaada laptop aina ya hp inaandika Boot device not found. Inaishia hapo kwenye maandishi
1 Reactions
6 Replies
511 Views
Mpaka naamua kujifariji au ni brand mpya haijafahamimika bado sokoni maana bei nilio uziwa nikilinganisha na maduka mengine inaweza kuwa ni nusu bei kingine kinachonipa wasiwasi nafasi kawaida ssd...
3 Reactions
30 Replies
1K Views
MacBook Vs Windows Laptop – Ni ipi Chaguo Bora kwa Matumizi Yako Katika ulimwengu wa teknolojia, maamuzi ya ununuzi wa laptop ni muhimu sana. Kwa upande mmoja, kuna MacBook zenye utamaduni wa...
3 Reactions
6 Replies
869 Views
naomba msaada sehemu au mahali gani naweza kwenda kubadirisha cover ya Laptop kwa DSM ,Nina changamoto laptop HP imedondoka .
1 Reactions
4 Replies
573 Views
Back
Top Bottom