Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari za muda huu wakuu wa JF! Najua hapa JF kuna vichwa vyenye akili kali na ujuzi wa kila aina, lakini leo nimekuja na swali moja nyeti je, kuna mtu humu anayeweza kuhack WiFi? Sio kwamba ni...
8 Reactions
56 Replies
3K Views
Habari Wakuu, Nimeshawishika sana kuichukua Google pixel 8 pro mpya kutokana na features zake, na Shughuli zangu nnazozifanya naona itanifaa sana, Nahofia kitu kimoja, mwaka jana nlinunua Google...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Website 10 Bora za Kujifunza Digital Skills Mwaka 2025 Katika dunia ya leo, kujifunza ujuzi wa kidigitali si chaguo tena; ni hitaji. Kama unataka kujiendeleza kitaaluma au kuanza safari ya...
1 Reactions
2 Replies
936 Views
MIPANGILIO (SETTINGS)6 HATARISHI UNAYOPASWA KUZIMA KWENYE SIMU YAKO MARA MOJA! Simu yako inaweza kuwa inakufuatilia, inakusikiliza, na hata inakusanya taarifa zako bila wewe kujua! Ili kulinda...
9 Reactions
2 Replies
935 Views
Wakuu, nahitaji letter head. Alie tayari kunitengenezea aje tafadhali
1 Reactions
4 Replies
286 Views
Nina SMART UPS C (APC) Hii ni kama back up ya umeme kama unatumia umeme ukakata kama ukiconnect hii desktop haizimi ni mpya kabisa Tatizo sijajua kuiunganisha ili desktop ichukue moto. Mwenye...
1 Reactions
5 Replies
405 Views
Mwaka 2022 Xiaomi walizindua tablet ambayo inakwenda kwa jina rahisi tu "Redmi Pad" ... yaani Xiaomi Redmi Pad. Ambayo bei yake ni kama shilingi laki nne hivi za kitanzania. Tablet hii inakioo cha...
5 Reactions
36 Replies
6K Views
Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2. Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama...
30 Reactions
5K Replies
394K Views
Wakuu salamu za usiku. Naombe munijuze kuhusu tablet za atoch ambazo naona zimeenea sana. Hasa spidi katika matumizi na uimara pia. Asante
0 Reactions
3 Replies
794 Views
Pia kwa ambae anatumia faili la KANE MASTER anielekeze namna ya kuilipia, najaribu kulipia kupitia Airtel nakwama. Nitangulize shukurani
1 Reactions
27 Replies
993 Views
Natumia simu flan Samsung sasa bana nina tabia ya ku install app mbalimbali. Kurekodi sauti, nk Sasa kuna app moja sijui ni ya Samsung ama nimeiwekaa bana nika ipa permit iwe on.. Simu imenitesa...
2 Reactions
7 Replies
630 Views
Habari wanajamii, naomba kufahamu ni app ipi unaweza kudownload videos na zikahifadhiwa moja kwa moja kwenye sd card.
1 Reactions
11 Replies
844 Views
Naona kama kwa sasa limeingia wimbi la kutangaza na kuuza Rooters za WIFI kwa makampuni ya simu nchini. Kila mmoja anavutia kwake kwa vifurushi vya Mbps 10, 20 na 30 ambavyo ni kwa 4G na 5G...
12 Reactions
132 Replies
30K Views
Samahani wadao, naomba kuuliza Nilinunua mifi ya Airtel, sasa kuna kazi nataka kuitumia haiitaji data sana, ile lain iliopo ndani nikaitoa nikaunga bundle la kawaidia GB 1 ila ikakataa kuzitumia...
0 Reactions
1 Replies
371 Views
Issue ya virus kwenye windows inaweza sababisha ukapoteza document muhimu Sana hasa unapokuwa umezihifahi kwenye flash disk yako halafu ukaenda kuprint kwenye hizi stationeries ambazo wengi wao...
0 Reactions
10 Replies
708 Views
Wakuu naomba msaada wa software ya Nitro pro Na APK ya WPS premium Ahsante
0 Reactions
2 Replies
338 Views
Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote; Hamna hela Hamna viewer Hamna comment Hamna faida yeyote Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker. Naambulia kulipia...
22 Reactions
114 Replies
6K Views
Katika dunia ambako wanadamu na mashine waliishi pamoja, mawasiliano yalikuwa changamoto. Watu walizungumza lugha nyingi, huku kompyuta zikielewa tu namba. Hali hii ilileta mgawanyiko mkubwa, na...
1 Reactions
7 Replies
538 Views
#Mwanakidigitali utajisikiaje umetoa pesa yako kununua simu kisha ukauziwa simu yenye matatizo kibao. Moja kati ya hofu ya Wateja wengi kutoka Tanzania wanapotaka kununua simu / Laptop used...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kawaida hope mko poa Mimi napenda sana programming na nina baadhi ya projects nimesha zi develop Za desktop, mobile, na web based systems. Nimesoma chuo ila nilikua based on...
11 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom