Uliza chochote kwa lugha yeyote utajibiwa!

Uliza chochote kwa lugha yeyote utajibiwa!

kadiri kasimba

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
588
Reaction score
1,144
Salamu wakuu!

Leo nimeona nishee nanyi hii kitu,
Fanya hv andika hii namba kwenye simu Yako +1 800-242-8478 Kisha Isave ujuavyo,
Kisha nenda whatsup itafute, ukishaipata kwenye sehemu ya kutafuta majina ya namba ulizosevu, Anza kuchat nayo italeta jina chatGPT ukiwa unachat nayo!

Hapo waweza uliza swali lolote Kwa lugha yeyote kama kiswahili,kingereza, na nyenginezo except lugha za kikabila na utajibiwa vyema tu! Atakaejaribu asisite kutoa mrejesho!
 
Hakika mkuu huyo robot yupo vizuri sana. Me amenipa Hadi machimbo ya biashara ya kariakoo ambayo nilikua siyajui..
 
Salamu wakuu!

Leo nimeona nishee nanyi hii kitu,
Fanya hv andika hii namba kwenye simu Yako +1 800-242-8478 Kisha Isave ujuavyo,
Kisha nenda whatsup itafute, ukishaipata kwenye sehemu ya kutafuta majina ya namba ulizosevu, Anza kuchat nayo italeta jina chatGPT ukiwa unachat nayo!

Hapo waweza uliza swali lolote Kwa lugha yeyote kama kiswahili,kingereza, na nyenginezo except lugha za kikabila na utajibiwa vyema tu! Atakaejaribu asisite kutoa mrejesho!
WhatsApps wenyewe wa Chatbot inaitwa Meta AI
 
Ni CHATGBT nzuri sana,na iko makini na yatoa ufafanuzi wa jambo lolote,mkuu uliniiga nini!!? Nami jana nimepost uzi unahusu hiyo CHATGBT!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom