Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

😮 🙃 😳 😱😲
4 Reactions
27 Replies
998 Views
Naombeni msaada wa kujua App gani inayoweza kunisaidia kusoma messages ambazo aidha namba niliblock kwa bahati mbaya.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama inavyojieleza hapo juu, naombeni msaada wa mawazo yenu wakuu
0 Reactions
7 Replies
510 Views
Walengwa ni hasa wale tunaonunua laptops zilizotumika lakini pia vyuo vinakaribia kufungua ni kipindi ambacho laptops zinanunulika sana. Unaponunua Pc ni rahisi kukagua Ram, Hard Disk, Processor...
21 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari Wanabodi! Niende moja kwa moja kwenye mada. Kama wiki tatu zilizopita niliunganishiwa umeme na TANESCO, ila kumekuwa na tatizo la low voltage hasa kuanzia saa moja usiku hadi saa tano au...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Kuna kitu kimekuwa kikinichanganya sana wakati wa kutuma email. To:hapa ni mahali pa kujaza email add ya yule unayemwandikia. Cc: tangu zamani ni sehemu ya kujaza add ya mtumd email. Sasa ,Bcc...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Utaamua ununue Headphones au Gari 😁!! Sio kwamba tunazungumzi Gari jamani!! Hapana Ni Headphones 🎧 tu nzuri za Hermes headphones ya ngozi iliyounganishwa kwa mikono yenye muundo maridadi wa...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Toleo jipya la iOS 26 inaweza kuja na feature mpya ambayo inatumia Teknolojia ya Apple intelligence yenye kukuonyesha ni asilmia ngapi imebaki kwenye Simu yako ukiwa umechomeka chaji ili kujaa...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Leo nilikuwa napitia uzi flani humu ndani wa kero ya kutambua mitandao kwa namba za simu. Nikaona nifanye kiproject simple cha kutatua tatizo hili, nikaandika orodha ya namba pamoja na mitandao...
7 Reactions
43 Replies
2K Views
Katika Maendeleo ya Teknolojia Tanzania sasa tutaona Mabadiliko mbalimbali kwenye sekta hiyo ambayo baadhi ya nchi mbalimbali ulimwenguni zimepiga hatua kubwa kwenye uwekezaji wa kutumia Roboti...
9 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna toleo jipya la Samsung One UI 8 beta imeachiwa rasmi lakini ni Beta sio official kwa watu wote isipokuwa watakaotaka kuweka huo mfumo mpya kwenye simu zao. Toleo ilo jipya linakuja likiwa na...
2 Reactions
2 Replies
493 Views
Kuna toleo jipya la Samsung One UI 8 beta imeachiwa rasmi lakini ni Beta sio official kwa watu wote isipokuwa watakaotaka kuweka huo mfumo mpya kwenye simu zao. Toleo ilo jipya linakuja likiwa na...
1 Reactions
0 Replies
350 Views
Huwaga ana ni block kisha ana ni un block mwenyewe. This time around naingia WhatsApp kuna jina nilikuwa na search herufi ya mwanzo ya jina lake inafanana na ya huyu mtu, so likaja jina lake na...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Katika ulimwengu wa kidijitali, biashara nyingi Tanzania zinaanza kuelewa nguvu ya matangazo ya Facebook na Instagram. Lakini si matangazo yote yanayoleta matokeo. Ili matangazo yako yafanye...
3 Reactions
1 Replies
899 Views
Ile dhana kwamba ubora wa picha sio megapixels nazani unakwenda kufa sasa badala ya Apple kunyoosha mikono kwa Samsung na Vivo👐. Apple iko kwenye Majaribio ya kuweza kuweka resolution kubwa ya...
0 Reactions
6 Replies
509 Views
Kampuni ya Samsung imeanza kutoa update ya mfumo wa One ui 7 ambao una muundo mpya wa android version 15 kwa Watumiaji wa simu za Galaxy A53. Wamiliki wa Galaxy A53 toka Korea walianza kupokea...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
🖥️ Jinsi Rahisi ya Kukagua Utendaji wa Kompyuta Yako kwa Kutumia PowerShell (Windows Experience Index) By Maleko 🧠 UTANGULIZI Kabla hujanunua laptop mpya au kubadili kifaa chochote, ni muhimu...
2 Reactions
4 Replies
523 Views
Wadau naomba msaada wa transponder mpya za Azam TV kwa mwenye king'amuzi chake kilichopokea maboresho. Sipati channel za nyumani kwenye list ya channel zangu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kusambaa kwa internet kunabadilisha namna tunavyoishi na kufanya mambo, kwangu mimi imeondoa matumizi ya ving'amuzi(tv decoders) sasa natumia apps kuwatch kila kitu Tv channels, movies, michezo...
8 Reactions
12 Replies
5K Views
Leo tecno wamezindua simu ya tecno phantom 6 na tecno phantom 6 plus ya mp 21camera ya mbele
9 Reactions
206 Replies
27K Views
Back
Top Bottom