Walengwa ni hasa wale tunaonunua laptops zilizotumika lakini pia vyuo vinakaribia kufungua ni kipindi ambacho laptops zinanunulika sana.
Unaponunua Pc ni rahisi kukagua Ram, Hard Disk, Processor...
Habari Wanabodi!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kama wiki tatu zilizopita niliunganishiwa umeme na TANESCO, ila kumekuwa na tatizo la low voltage hasa kuanzia saa moja usiku hadi saa tano au...
Kuna kitu kimekuwa kikinichanganya sana wakati wa kutuma email. To:hapa ni mahali pa kujaza email add ya yule unayemwandikia. Cc: tangu zamani ni sehemu ya kujaza add ya mtumd email. Sasa ,Bcc...
Utaamua ununue Headphones au Gari 😁!!
Sio kwamba tunazungumzi Gari jamani!! Hapana Ni Headphones 🎧 tu nzuri za Hermes headphones ya ngozi iliyounganishwa kwa mikono yenye muundo maridadi wa...
Toleo jipya la iOS 26 inaweza kuja na feature mpya ambayo inatumia Teknolojia ya Apple intelligence yenye kukuonyesha ni asilmia ngapi imebaki kwenye Simu yako ukiwa umechomeka chaji ili kujaa...
Leo nilikuwa napitia uzi flani humu ndani wa kero ya kutambua mitandao kwa namba za simu.
Nikaona nifanye kiproject simple cha kutatua tatizo hili, nikaandika orodha ya namba pamoja na mitandao...
Katika Maendeleo ya Teknolojia Tanzania sasa tutaona Mabadiliko mbalimbali kwenye sekta hiyo ambayo baadhi ya nchi mbalimbali ulimwenguni zimepiga hatua kubwa kwenye uwekezaji wa kutumia Roboti...
Kuna toleo jipya la Samsung One UI 8 beta imeachiwa rasmi lakini ni Beta sio official kwa watu wote isipokuwa watakaotaka kuweka huo mfumo mpya kwenye simu zao.
Toleo ilo jipya linakuja likiwa na...
Kuna toleo jipya la Samsung One UI 8 beta imeachiwa rasmi lakini ni Beta sio official kwa watu wote isipokuwa watakaotaka kuweka huo mfumo mpya kwenye simu zao.
Toleo ilo jipya linakuja likiwa na...
Huwaga ana ni block kisha ana ni un block mwenyewe.
This time around naingia WhatsApp kuna jina nilikuwa na search herufi ya mwanzo ya jina lake inafanana na ya huyu mtu, so likaja jina lake na...
Katika ulimwengu wa kidijitali, biashara nyingi Tanzania zinaanza kuelewa nguvu ya matangazo ya Facebook na Instagram. Lakini si matangazo yote yanayoleta matokeo. Ili matangazo yako yafanye...
Ile dhana kwamba ubora wa picha sio megapixels nazani unakwenda kufa sasa badala ya Apple kunyoosha mikono kwa Samsung na Vivo👐.
Apple iko kwenye Majaribio ya kuweza kuweka resolution kubwa ya...
Kampuni ya Samsung imeanza kutoa update ya mfumo wa One ui 7 ambao una muundo mpya wa android version 15 kwa Watumiaji wa simu za Galaxy A53.
Wamiliki wa Galaxy A53 toka Korea walianza kupokea...
🖥️ Jinsi Rahisi ya Kukagua Utendaji wa Kompyuta Yako kwa Kutumia PowerShell (Windows Experience Index)
By Maleko
🧠 UTANGULIZI
Kabla hujanunua laptop mpya au kubadili kifaa chochote, ni muhimu...
Wadau naomba msaada wa transponder mpya za Azam TV kwa mwenye king'amuzi chake kilichopokea maboresho.
Sipati channel za nyumani kwenye list ya channel zangu.
Kusambaa kwa internet kunabadilisha namna tunavyoishi na kufanya mambo, kwangu mimi imeondoa matumizi ya ving'amuzi(tv decoders) sasa natumia apps kuwatch kila kitu Tv channels, movies, michezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.