Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kama unatumia iphone au Android leo nakupa tricks 3 za kutoa picha kali kwenye simu yako. kutoa picha kali sio uchawi ni Settings tu unafanya na kuifanya simu yako iweze kutoa picha kali...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
USITUMIE SOFTWARE YA WIZI (CRACKED): Hizi Ndio Hatari 4 Kuu Unazojitafutia Mwenyewe Imeandikwa na MalekoGJ Katika dunia ya sasa ya kidigitali, wengi wetu tumewahi kushawishika kupakua software ya...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ipi ni sahihi..? Kuchaji simu mpya au power bank mpya kabla ya kuitumia AU kuitumia kwanza hadi 0% kisha kuchaji..? Maana Kuna wengine wanatushauri tuanze kwanza kuchaji kabla ya kutumia, wengine...
0 Reactions
3 Replies
274 Views
Teknolojia inazidi kushika kasi watumiaji wa window 11 na window 10 wamewekewa mfumo Rahisi wa kuweza kuingiliana kati ya simu na kompyuta na kuweza kutumika bila shida yoyote. Tunajua wengi...
8 Reactions
19 Replies
2K Views
Karibu Tantech ujipatie huduma mbalimbali kwa bei nafuu kama website,system,application design.,Digital marketing,social media boosting followers tiktok 1k=8000tzs instagram 1k=8000tzs likes...
0 Reactions
1 Replies
248 Views
Huawei imezindua mfumo wake binafsi wa kompyuta na imetoa laptop yake ya kwanza kutumia mfumo wa uendeshaji wa HarmonyOS, baada ya leseni yake ya kutumia Microsoft Windows kumalizika mwezi Machi...
0 Reactions
6 Replies
501 Views
Habari zenu wakuu, nina shida kidogo nahitaji ufumbuzi. Miezi miwili iliopita nilinunua gari toka Japan (2001 Land Cruiser Prado) na kwa sasa limeshafika na nimeanza kulitumia. Tatizo ni kwamba...
2 Reactions
30 Replies
11K Views
Top 10 Hacking Attacks Zilizotikisa Dunia (Kwa Historia, Impact, na Ujanja) --- 1. The Melissa Virus (1999) Iliundwa na David L. Smith Iliambukiza Microsoft Word docs kupitia email Ilienea...
2 Reactions
4 Replies
624 Views
Phishing Link ni Nini? Hivi ushawahi kuona zile link zinakuja WhatsApp zinasema: "Tazama nani anakupenda," "Bonyeza upate GB 50 za bure," au "Tazama nani anakuchukia kwenye group." Zile link...
5 Reactions
1 Replies
476 Views
USHAWAHI ZURURA KWENY SIMU UAKO UKAKUTA NENO "NFC" 🥲 AU WATUMIA 😂 INFINIX okay NFC NI KIFUPI CHA (Near Field Communication) NFC ni teknolojia ya wireless communication inayoruhusu...
2 Reactions
7 Replies
646 Views
Kwa Nini Huwezi Kumuhack Mtu Mwenye Simu Ndogo A.K.A kiswaswadu mfano Tecno T301, Itel i2180 etc. 1. Hazina Operating System ya wazi (kama Android/iOS) Hakuna OS yenye uwezo wa ku-run malware...
1 Reactions
2 Replies
525 Views
IFAHAMU eSIM | LAINI YA KIDIGITALI! Wengi huenda Mmesikia Mahali au wengine mmeona Neno “eSIM” na hamjaelewa nini Maana yake, Karibuni tuifahamu vyema Huduma ya eSIM na maana yake. 🔎 eSIM NI...
0 Reactions
1 Replies
615 Views
USHAWAHI ZURURA KWENY SIMU UAKO UKAKUTA NENO "NFC" 🥲 AU WATUMIA 😂 INFINIX okay NFC NI KIFUPI CHA (Near Field Communication) NFC ni teknolojia ya wireless communication inayoruhusu...
1 Reactions
0 Replies
273 Views
Project hiyo hapo Nachohitaj mtaalamu anidavulie Gharama na nini cha kufanya
1 Reactions
18 Replies
676 Views
A few weeks ago, I made a decision that could shape my future: I started learning front-end development. My focus right now is on HTML, CSS, and CMS platforms like WordPress. It’s exciting...
2 Reactions
6 Replies
671 Views
Habari na poleni na majukumu wanajukwaa, Hivi karibuni nimekuwa nikijihusisha na kutengeneza web applications zinazojumuisha maswala ya malipo. Kwa kipindi hicho chote, nilikuwa natumia APIs za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
HATARI TATU ZA KISIRI KWENYE META UNAZOPASWA KUZIZIMA MARA MOJA! Katika ulimwengu wa kidigitali, kila ‘like’ unayobonyeza, kila kitu unachoangalia, na kila chapisho unachotazama—kinafuatiliwa...
2 Reactions
1 Replies
341 Views
Katika ulimwengu wa leo wenye kelele nyingi, vishawishi kila kona, na presha ya kila siku, kuwa na focus (umakini) na consistency (msimamo) imekuwa kama superpower. Watu wengi wananza vitu vizuri...
4 Reactions
4 Replies
510 Views
Kuna hii tool hasa kwa watumiaji wa linux system Ni moja kati ya software bora sana kwenye password cracking Kama inatumia computer yenye GPU jaribu ku run test uone inavyokua rahisi ku break...
1 Reactions
1 Replies
263 Views
Jifunze kutumia Capcut bure (Free Class) CapCut Course: Beginner to Advanced 🔰 Kozi hii ni kwa ajili ya: Content creators (TikTok, Instagram, YouTube) Wamiliki wa biashara wanaotaka kutengeneza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom