Watumiaji wa simu za Google Pixel pitieni hapa

Benjamin10

JF-Expert Member
Dec 31, 2016
389
553
Habari wakuu,

Nilikua namiliki simu aina ya google pixel 3a nikaamua ku upgrade kwenda kwenye google pixel 4a 5g,

Baada ya kuinunua simu hiyo nikaikuta inatumia plrogram endeshi yaani android 11.. na ilikuwa haina tatizo lolote

baada ya kuitumia kwa muda kidogo ikanilazimu niupgrade kwenda kwenye new version of adroid yaani kwenda kwenye android 14..

Baada ya ku upgrade nikakumbana na matatizo yafuatayo;

1. Pixel Launcher ikawa inafail kila muda inahitaji uiclose, then simu kwenye screen inakua ina blink blink blink kama mara tano then inakaa sawa, tatizo hili limeklua likijirudia rudia mnoo.. mpaka inakera.

2. Simu inapokuwa kwenye chaji unakuwa huwezi kuitumia maana inakuwa nzito mno ule usmooth unakua hamna kwenye kutouch

WAKUU NI NINI HILI TATIZO LINAWEZA TATULIWA?
 
Habari wakuu..
Nilikua namiliki simu aina ya google pixel 3a nikaamua ku upgrade kwenda kwenye google pixel 4a 5g,

Baada ya kuinunua simu hiyo nikaikuta inatumia plrogram endeshi yaani android 11.. na ilikuwa haina tatizo lolote

baada ya kuitumia kwa muda kidogo ikanilazimu niupgrade kwenda kwenye new version of adroid yaani kwenda kwenye android 14..

Baada ya ku upgrade nikakumbana na matatizo yafuatayo;

1.pixel launcher ikawa inafail kila muda inahitaji uiclose, then simu kwenye screen inakua ina blink blink blink kama mara tano then inakaa sawa, tatizo hili limeklua likijirudia rudia mnoo.. mpaka inakera..
2. simu inapokuwa kwenye chaji unakuwa huwezi kuitumia maana inakuwa nzito mno ule usmooth unakua hamna kwenye kutouch

WAKUU NI NINI HILI TATIZO LINAWEZA TATULIWA?
Android 14 bado haijakaa sawa ila kuna series za updates watatuma itakaa sawa tu ila usipende kukimbilia ku update android version hasa kwenye simu zao za pixel ni balaa sana simu ikianza mauza uza tena kwenye simu zao ni stock android yenyewe kabisa wanakupa so uta experience matatizo halisi bila chenga...

Ki kawaida mfano mimi android wakitoa update ya OS version yao huwa sina haraka ya ku update nasubiri mpaka mwaka upite ndiyo na update kwa maana ku update rahisi ila matatizo yakianza ku downgrade kunahitaji muda tena wa kukaa chini na kushughulikia...
 
3a haina tabia ya kupata moto wakati wa matumizi mazito? Na vipi ustahimilivu wa charge?
3a nmetumia.. kwa matumizi average inafaa sio kwa matumizi makubwa aisee ilkua inachemka kiasi na chaji napata masaa 7-8 kwa matumizi mfululizo.. Nlpokua natumia kawaida tu ilikua inakaa asubuhi mpaka usiku ndo na chaji tena...
 
Habari wakuu,

Nilikua namiliki simu aina ya google pixel 3a nikaamua ku upgrade kwenda kwenye google pixel 4a 5g,

Baada ya kuinunua simu hiyo nikaikuta inatumia plrogram endeshi yaani android 11.. na ilikuwa haina tatizo lolote

baada ya kuitumia kwa muda kidogo ikanilazimu niupgrade kwenda kwenye new version of adroid yaani kwenda kwenye android 14..

Baada ya ku upgrade nikakumbana na matatizo yafuatayo;

1. Pixel Launcher ikawa inafail kila muda inahitaji uiclose, then simu kwenye screen inakua ina blink blink blink kama mara tano then inakaa sawa, tatizo hili limeklua likijirudia rudia mnoo.. mpaka inakera.

2. Simu inapokuwa kwenye chaji unakuwa huwezi kuitumia maana inakuwa nzito mno ule usmooth unakua hamna kwenye kutouch

WAKUU NI NINI HILI TATIZO LINAWEZA TATULIWA?
Hakukuwa na haja kuupgrade mzee


Ina pixel ni simu nyie Nina 4xl Unyama mno mungu akijalia nivute 6a
 
Mkuu yaani umenisemea mimi kabisa, mimi matatizo yote hayo yapo pia likajitokeza tatizo lengine yaani sim card haisomi. Ukiweka line inaandika sim card is locked.

Kwasasa nimeiweka kabatini kwanza, ni pixel 4a 5g
 
Back
Top Bottom