Wakuu naomba maelekezo jinsi ya kutuma salio kwa jamaa mwenye Airtel kwa kutumia USSD code zinazoanza na * (star), kama ilivyo ya tiGo; yaani: *101*number*amount# {kisha send}.
Naomba maelekezo...
CPU NI NINI?
Yote Unayopaswa Kujua Kuhusu “Central Processing Unit”
Na MALEKOGJ
CPU ni nini?
CPU ni kifupi cha “Central Processing Unit” – ambacho kwa lugha rahisi ni ubongo wa kompyuta.
Kazi...
The ic on that big heat sink is shorting can not find the ic thus looking for the power control board
Ic ambayo Iko kwenye hilo bati kubwa, (heat sink), imeungua nimeshindwa kuipata hiyo ic ndiyo...
No 5v on 5v out put there is a short circuit, take note the 5v regulator is ok 7805
Volti 5 hazipo na ukipima kwenye voltage regulator ya volti 5V, kuna shoti, nimejaribi kuvipima vipuli...
Leo nataka nizungumzie Namna 10 unazoweza kujihusisha nazo kwenye Blockchain Technology & CRYPTOs na ukapiga pesa.
TAHADHARI: Mimi sio mshauri wa mambo yako ya kifedha. Mambo yote niliyoandika...
Watumiaji wa Whatsapp muda sio mrefu mtaanza kukutana na mabadiliko mapya kwenye program ya Whatsapp baada ya ripoti mpya toka Wabetainfo kuwa Watumiaji wa Whatsapp wataanza kupokea matangazo...
JE, PC YAKO INAWEZA KUAMBUKIZWA VIRUS KWA KUCHOMEKA USB?
“Free USB = Free Headache.”
Katika ulimwengu wa leo wa teknolojia, USB ports zimekuwa kama milango ya mtaa wa Kariakoo – kila mtu...
Utajisikiaje unachaji kifaa chako mara moja tu kwa miaka 5,700 uchawi sio 🤣!! 𝗪𝗮𝘇𝘂𝗻𝗴𝘂 𝘄𝗮𝗻𝗮𝘀𝗲𝗺𝗮 " 𝗜𝘁'𝘀 𝗻𝗼𝘁 𝘀𝗰𝗶𝗲𝗻𝗰𝗲 𝗳𝗶𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻 𝗶𝘁'𝘀 𝘁𝗵𝗲 𝗳𝘂𝘁𝘂𝗿𝗲 𝗼𝗳 𝗲𝗻𝗲𝗿𝗴𝘆", Wakiwa na maana kuwa hii sio Hadithi za...
Kwa mfano nina Laini ya Airtel Tanzania niliyokuwa Naitumia nikiwa Tanzania, ila naambiwa kuwa nikirejea Tanzania haitokuwa inatumika (na Ninunue Laini mpya) kwani itakuwa Imeshafungiwa kwani sasa...
Familia ya Donald Trump imezindua mtandao wao wa simu, unaitwa Trump mobile pamoja na simu yenye rangi ya dhahabu ikiwa na Nembo ya Trump, T1 ambayo wanadai imetengenezwa amerika itauzwa dola...
Habarini wakuu
Naomba msaada wenu, nahitaji kupata OS ya Kali Linux au toleo lingine la Linux kwa ajili ya PC yangu. Ningependa nijifunze zaidi kuhusu cybersecurity na command line tools, lakini...
Habari zenu wakuu!!
Nimeanzisha uzi huu tusaidiane kwenye matatizo yoyote yanayohusiana na technology kwa ujumla, kwa mtu yeyote ambae ana tatizo na ambaye anaweza kumsaidia mtu tatizo LOLOTE...
Kampuni zinapofanya modifications kwenye logo zao nakuzitumia, kunakuwaga na mawazo tofauti, lakini hili la vodacom litaleta mitizamo tofauti hasa kwa tusiosupport LGBTQ.
Hii ni account ya X...
China imeanza uzalishaji kwa wingi wa chipu za kisasa za akili bandia (AI) zinazotumia mfumo usio wa jadi wa “non-binary” — yaani hazifanyi kazi kwa mfumo wa kawaida wa tarakimu mbili (binary) wa...
Habari zenu wadau,
Naomba kujuzwa bei ya laptop na desktop bora na imara za kisasa na Kama kuna mtu anaweza kunielekeza utofauti na ubora wake nasikiliza.
Toleo jipya la ios 26 imekuja ikiwa na feature mbalimbali zenye kuipendezesha iphone lakini asilimia kubwa Feature nyingi zilizopo kwenye toleo jipya la iOs 26 zimetolewa kwenye android miaka 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.