Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Ruby ni moja language ipo underrated sana na developer wengi Side project nyingi hasa web development na API mimi huwa natumia ruby, pia nichanguo langu la kwanza Ni mara chache sana unakutana...
1 Reactions
2 Replies
460 Views
Pata Adobe Photoshop 2025 kwa 20,000 Tsh. Napatikana mkoa wa Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
1 Reactions
5 Replies
307 Views
Nimekua nikitumia simu hii kwa muda mrefu tangu mwaka 2019 hadi nilipopata changamoto ya kugoma kuwaka baada ya kuinstal App ya kudownload content mtandaoni ambayo niliitoa nje ya playstore...
0 Reactions
0 Replies
333 Views
Akili Bandia ya Bard ambayo inamilikiwa na Google ili kushindana na Akili Bandia ya ChatGPT imefanya mabadiliko. Google Bard imeongeza upatikanaji wake kwa lugha zaidi ya 40 ikiwemo lugha ya...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
wakuu habari za wakt huu, Nina shida kidgo kwenye PC yangu Jana nilikuwa naangalia movie usiku ilipoisha nikazima nikalala sasa Leo mimeamka nawasha haiwaki kbsa ila port za.usb zote zinafanya...
2 Reactions
12 Replies
448 Views
Hii hapa chat app maoni yenu https://first-app-7c347.web.app/
3 Reactions
19 Replies
1K Views
WAkuu habari zenu. Naimba msaada wa link ya kunisaidia kudownload facebook contact nimehangaika sana nimeshindwa kama kuna mtu ana link naimba msaada wakuu
0 Reactions
8 Replies
626 Views
Ndugu zangu naomba kujua mengi kuhusu hii simu. 1. Ubora wake 2. Upatikanaji wake 3 bei yake. 4. Wapi niipate NB: mimi ni muumini wa simu zenye vioo vikubwa.
0 Reactions
6 Replies
849 Views
China imechukua hatua kwa kupiga marufuku rasmi matumizi ya chips (vipuri vya kielektroniki) kutoka kampuni ya Marekani, NVIDIA. Hatua hii inaonesha wazi kuwa China haiko tena tayari kutegemea...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
M.2 SSD Kile Unachohitaji Kujua Kuhusu Storage inayosifika kuwa na speed ya hali ya Juu kwa Kompyuta yako .... Katika ulimwengu wa teknolojia ya kompyuta, masuala ya kasi ya ufanyaji kazi na...
1 Reactions
0 Replies
340 Views
Huwa nahisi ni hamna haja ya kufuta record permanently kwenye database Ni bora item uka i mark deleted kuliko kuifuta kabisa
2 Reactions
3 Replies
308 Views
Za Weekend Wakuu! Matoleo mapya ya simu tofauti katika miaka ya karibuni imenipa tafakari hii, kwamba hakuna features mpya kulinganisha na miaka ya nyuma kabla ya iOS na Android, na miaka ya...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Data kadhaa za ID vya kuingia hufichua mojawapo ya ukiukaji mkubwa zaidi wa data katika historia, ukiwa na jumla ya ID cha kuingia cha bilioni 16 kilichofichuliwa. Data ina uwezekano mkubwa zaidi...
0 Reactions
2 Replies
322 Views
KWANINI FENI YA KOMPYUTA YAKO INAPIGA KELELE KUPITA KIASI? NA NINI CHA KUFANYA Katika ulimwengu wa teknolojia, kuna tatizo ambalo watumiaji wengi huliona dogo lakini lina athari kubwa kwa...
1 Reactions
0 Replies
470 Views
Watu wana shoot events zao kwa kutumia simu. Duh Biashara ni nzuri ukiwa unasimuliwa
28 Reactions
61 Replies
3K Views
Kwa watumiaji wengi wa vifaa vya Apple, hili halitakuwa tatizo. Hata hivyo, baadhi ya iPhone, iPad, na iPod touch za zamani ambazo haziwezi kusasishwa zaidi ya iOS 15 au iPadOS 15 hazitaweza tena...
0 Reactions
0 Replies
285 Views
In-Depth Investigation of Moving Averages for Trading Systems Introduction: After two decades immersed in the ebb and flow of financial markets, I've seen countless trading strategies rise and...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
As we race toward 2030, one thing is clear: how people make money is going to change dramatically. The rules of work, business, and value creation are being rewritten — and those who don’t adapt...
1 Reactions
2 Replies
10K Views
wakuu nina hii simu Nokia c31 niliiweka bila kuitumia muda kidogo sasa nimesahau password naomba msaada wenu mwenye kufahamu njia ya kufanya,ahsante.
1 Reactions
4 Replies
528 Views
Wakuu naomba maelekezo jinsi ya kutuma salio kwa jamaa mwenye Airtel kwa kutumia USSD code zinazoanza na * (star), kama ilivyo ya tiGo; yaani: *101*number*amount# {kisha send}. Naomba maelekezo...
0 Reactions
5 Replies
68K Views
Back
Top Bottom