Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kampuni ya Elon Musk inayoitwa xAI, imeishitaki jimbo la Minnesota (Marekani) kufuatia sheria mpya inayopiga marufuku teknolojia ya "nudification." Teknolojia hii inatumia Akili Bandia (AI)...
0 Reactions
5 Replies
195 Views
Wadau habar ya jioni. Leo nimenunua simu tajwa hapo juu. Nombeni mwenye uzoefu aweze kunmbia ubira na changamoto ya hii simu
6 Reactions
24 Replies
313 Views
Kwa hii Redmi hapa Wamepitiliza Aiseeh ๐Ÿ‘‹ Kuna simu mpya ya Redmi inakuja lakini uwezo wake sasa ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ, inaweza kuifanya iwe moja ya simu zenye battery kubwa zaidi kwenye flagship za mwaka huu...
4 Reactions
7 Replies
107 Views
Anonymous
Wadau, Nimekuwa nikifuatilia mashindano ya MAKISATU 2026 yaliyoendeshwa na COSTECH. Ninashangaa kwamba wavumbuzi wengi wachanga wanaojituma peke yao hawapati nafasi. MAKISATU inaeleza kuwa...
1 Reactions
2 Replies
61 Views
Kama wewe ni mtumiaji wa ChatGPT Free, kuna habari kubwa inakuja! ๐Ÿ”ฅ Kuanzia wiki ijayo, OpenAI inatarajiwa kuondoa kikomo cha kawaida cha text chats kwa watumiaji wa Free kwenye GPT-5.6 Luna. ๐Ÿค–๐Ÿ”ฅ...
7 Reactions
12 Replies
203 Views
Mara ya kwanza nilidhania router yangu mbovu. Mara ya pili nikajua mawingu na mvua iyo week. Ila sasa nimeconfirm. Kama ni mtumiaji wa router za Airtel, ikivuka 500GB wana limit speed. Mfano...
10 Reactions
61 Replies
2K Views
Wakuu naombeni ushauri wa ipi laptop nzuri kwa coding ambayo ipo portable na slim, kwa budget ya laki tano,
1 Reactions
10 Replies
96 Views
Pata nambari ya IMEI ya kifaa chako (*#06#) Nambari ya IMEI au Nambari ya Kitambulisho cha Vifaa vya Simu ya Kimataifa ni nambari ya kitambulisho cha kipekee chenye tarakimu 15 kinachotolewa kwa...
4 Reactions
7 Replies
17K Views
Blogging sio kazi yangu, naweza kusema ni kama aina ya mti nilioupanda mimi navuna tu, nina shughuli zingine Watu wengi wanapofungua blog wazo linalowajia, ngoja nifanye kama blogger flani...
11 Reactions
17 Replies
1K Views
  • Solved
Ikiwa inakusumbua,ikiwa unataka kufahamu chochote kinachokutatiza. Karibu Nieleze kidogo kuhusu subwoofer Je, unataka kununua, basi zingatia haya. Zipo za aina mbili old model na digital. Siyo...
53 Reactions
4K Replies
399K Views
Nilikuwa natumia Xiaomi 12T Pro Kwa muda sasa ila majuzi usiku hapa Mbeya wahuni walinikaba na kunipora kila nilichonacho including my phone. Uzuri sikuwa na hela nyingi mfukoni kwa hiyo kitu cha...
19 Reactions
60 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu NImefuatilia utendaji wa facebook hasa kwa wajasiriamali na mwinga ukisponsor ads ,hupati traffic na leads za kutosha kama miaka nilipoanza kusponsor mwka 2016 hadi 2020. Pia...
3 Reactions
28 Replies
524 Views
IT iliwahi kuwa kozi yenye dili sana lakini sikuhizi imekuwa haipewi kipaumbele, ajira nyingi wana prefer kushortlist computer rngineering na computer science
2 Reactions
11 Replies
1K Views
1/ Katika kipindi hiki cha maendeleo ya kiteknolojia, tunahitaji kujadili kwa kina: Ni chuo gani nchini Tanzania kinachofanya vizuri zaidi katika kufundisha IT kwa vitendo na kuzalisha vijana...
2 Reactions
84 Replies
5K Views
Wadau msaada Je, kati ya IT(Information Technology) na Computer Science je ni kozi ipi Ina fursa zaidi na inaongoza kwa watu wengi waliofanikiwa?
2 Reactions
40 Replies
4K Views
Router ya Voda imeandikwa 5G na niliichukua Vodashop. Lakini ajabu ni kwamba, panel yake inasoma 4G na spidi (Mbps) haifiki hata 25 kwa kifurushi cha Tsh. 110,000. Hii imekaaje? Yaani unanunua...
3 Reactions
21 Replies
391 Views
Habari wakuu, Samsung Note 10 yangu, mwaka jana ilianza kutokaa na chaji. Mafundi walinishauri nibadili betri. Nikabadilisha pale Kariakoo nikimshuhudia fundi hatua kwa hatua. Ghafla haikai na...
3 Reactions
18 Replies
401 Views
Niliwahi kuandika humu kuhusu biashara ya WIFI kwenye jukwaa la story of change lakini watu walipokea kitofauti kwenye jukwaa lakini kiuhalisia iligusa wengi na watu wanajipatia kipato. Biashara...
4 Reactions
7 Replies
539 Views
Kwa sasa inapotokea umepoteza simu na ukahama kuingia simu nyingine hautaweza kuunganishwa tena na App ya tigo pesa. Tofauti na App za bank au mitandao mingine Tigo Pesa au Mixx by Ass utalazimika...
4 Reactions
7 Replies
282 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ