Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wengi wetu ni wapenzi wa Movies na Series. Streaming services zililetwa kupambana na hali ya watu kutotaka kulipia cable services na pia watu kutumia piracy. Mwanzoni ilikuwa idea nzuri, lakini...
7 Reactions
22 Replies
3K Views
Huwa nikiingia chatgpt kwenye pc naona kuna sehemu ya trial kujaribu kwa mwezi moja bure Ila nikiingiza details za kwenye kadi ya mpesa visa card inakataa Kuna rafiki yangu alitumia vpn ya...
1 Reactions
1 Replies
67 Views
Aman kwetu sote! Kwanza tangu jf ifungiwe nimerud nyuma km 77 kwa taarfa na maarfa. Mana sijawai kosa suluhisho tokea humu. Sasa anayejua mtaalam mtakatifu wa kubadiri pocket wi fi inayosoma yas...
1 Reactions
2 Replies
77 Views
Israel's survival and economic resilience are heavily anchored in its advanced high-tech sector, which contributes over 50% of the country's annual exports and roughly 19% of its GDP. Despite...
2 Reactions
4 Replies
155 Views
Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu... Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshindwa kuupata...
14 Reactions
374 Replies
257K Views
https://youtu.be/PKlxnn1WN68?si=xbESROlkQTJU3OKI Kupitia ALJAZERA Tv Television nimeona mjadala unaohusiana na kauli & Andiko lililotolewa na Pope Leo kuhusiana na ukuaji na kuenea kwa matumizi...
1 Reactions
0 Replies
61 Views
Wakuu ukisikiliza stori za dark web mtandano na mitaani unaweza pagawa. Lakin huko dark web hamna lolote
25 Reactions
374 Replies
28K Views
Habari Wakuu... Huduma ya Halotel ya ku-share (Gawia) MB Leo imenigomea kabisa nimeshindwa kumtumia mtu MB. Shida itakuwa ni nini wakuu?
2 Reactions
31 Replies
671 Views
Angalia hiyo code hapo imeandikwa na Claude AI, ni code ambayo ukiipitia mstari hadi mstari haina shida yoyote na hata ukiirun itafanya kazi vizuri kwa maana lengo la hiyo method litakua linatimia...
3 Reactions
5 Replies
256 Views
Leo tuangazie adui wa maendeleo kwa watu wa rika zote anayejulikana kama aviator na maarufu kwa jina la Kandege. Mchezo huu umegubikwa na siri nyingi sana na ambazo wenye betting sites wamekuwa...
37 Reactions
33 Replies
7K Views
Habari ya wakati Natumaini tuko salama Fanya haya ili subwoofer yako na sound system yako idumu kwa muda mrefu [emoji1314] usichajie simu sehemu ya kuchomeka frash disk Sababu hi imekua ndio...
26 Reactions
59 Replies
7K Views
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-: Latest patch (update...
20 Reactions
1K Replies
174K Views
Mambo vp wadau, Nilikuwa natafuta laptop kwa ajili ya kazi ngumu. Kati ya hizi laptop mbili hipi ni bora zaidi. (a) Lenovo think pad X1 Carbon, yenye 32 GB, generation ya 11. (b) Hp z book...
1 Reactions
7 Replies
193 Views
Anonymous
Shida ni kwamba hizi kampuni ambazo zinajihusisha na services za home internet zinakuwa kwanza hazisemiukweli interms of amount ya data unayopata, mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi...
12 Reactions
19 Replies
647 Views
Wahitimu wanne wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wamefanikiwa kubuni gari inayotumia umeme baada ya kusukumwa na udadisi wa kutatua changamoto za usafiri hususani upande wa uchafuzi wa...
7 Reactions
105 Replies
1K Views
Habari zenu wadau wa jf, naomba kujua kwa mwenye uzoefu wa matumizi ya blender ni ipi nzuri kati ya kenwood na pmc
0 Reactions
2 Replies
134 Views
Habari wakuu ..! Msimu ujao wa sikukuu hizi za wakristu na waislamu hasa pasaka, wauzaji na maduka mengi hasa ya simu huwa yanatoa offer kwa bidhaa zao. Nilikuwa nina mpango wa kuvuta Samsung...
8 Reactions
48 Replies
1K Views
Wakuu katika pita zangu kwenye application ya Vodacom(Mpesa)nimeona kuna ku link account ya PayPal..Sasa naomba kujua kama inapokea..je mpesa wameingia partnership na PayPal???
0 Reactions
0 Replies
172 Views
Katika Uzi huu tujadili printer nzuri za kuprint kwa level za stationery mpaka viwanda vidogo Vidogo au kampuni za kufanya printing. Tujadili na kuuliza maswali kuhusu aina ya printer, ubora ...
4 Reactions
137 Replies
5K Views
Wakuu kama title inavojieleza, tunahitaji Printer itakayoweza Copying, printing colored na Scanning. Sifa iwe na running costs ndogo japo pia matumizi yetu ni madogo labda ku print Karatasi 10-15...
3 Reactions
37 Replies
626 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…