Wengi wetu ni wapenzi wa Movies na Series. Streaming services zililetwa kupambana na hali ya watu kutotaka kulipia cable services na pia watu kutumia piracy.
Mwanzoni ilikuwa idea nzuri, lakini...
Huwa nikiingia chatgpt kwenye pc naona kuna sehemu ya trial kujaribu kwa mwezi moja bure
Ila nikiingiza details za kwenye kadi ya mpesa visa card inakataa
Kuna rafiki yangu alitumia vpn ya...
Aman kwetu sote!
Kwanza tangu jf ifungiwe nimerud nyuma km 77 kwa taarfa na maarfa.
Mana sijawai kosa suluhisho tokea humu.
Sasa anayejua mtaalam mtakatifu wa kubadiri pocket wi fi inayosoma yas...
Israel's survival and economic resilience are heavily anchored in its advanced high-tech sector, which contributes over 50% of the country's annual exports and roughly 19% of its GDP. Despite...
Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshindwa kuupata...
https://youtu.be/PKlxnn1WN68?si=xbESROlkQTJU3OKI
Kupitia ALJAZERA Tv Television nimeona mjadala unaohusiana na kauli & Andiko lililotolewa na Pope Leo kuhusiana na ukuaji na kuenea kwa matumizi...
Angalia hiyo code hapo imeandikwa na Claude AI, ni code ambayo ukiipitia mstari hadi mstari haina shida yoyote na hata ukiirun itafanya kazi vizuri kwa maana lengo la hiyo method litakua linatimia...
Leo tuangazie adui wa maendeleo kwa watu wa rika zote anayejulikana kama aviator na maarufu kwa jina la Kandege. Mchezo huu umegubikwa na siri nyingi sana na ambazo wenye betting sites wamekuwa...
Habari ya wakati
Natumaini tuko salama
Fanya haya ili subwoofer yako na sound system yako idumu kwa muda mrefu
[emoji1314] usichajie simu sehemu ya kuchomeka frash disk
Sababu hi imekua ndio...
Kwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-:
Latest patch (update...
Mambo vp wadau,
Nilikuwa natafuta laptop kwa ajili ya kazi ngumu. Kati ya hizi laptop mbili hipi ni bora zaidi.
(a) Lenovo think pad X1 Carbon, yenye 32 GB, generation ya 11.
(b) Hp z book...
Shida ni kwamba hizi kampuni ambazo zinajihusisha na services za home internet zinakuwa kwanza hazisemiukweli interms of amount ya data unayopata, mfano unaweza kulipa unlimited kwa speed kiasi...
Wahitimu wanne wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wamefanikiwa kubuni gari inayotumia umeme baada ya kusukumwa na udadisi wa kutatua changamoto za usafiri hususani upande wa uchafuzi wa...
Habari wakuu ..!
Msimu ujao wa sikukuu hizi za wakristu na waislamu hasa pasaka, wauzaji na maduka mengi hasa ya simu huwa yanatoa offer kwa bidhaa zao.
Nilikuwa nina mpango wa kuvuta Samsung...
Wakuu katika pita zangu kwenye application ya Vodacom(Mpesa)nimeona kuna ku link account ya PayPal..Sasa naomba kujua kama inapokea..je mpesa wameingia partnership na PayPal???
Katika Uzi huu tujadili printer nzuri za kuprint kwa level za stationery mpaka viwanda vidogo
Vidogo au kampuni za kufanya printing.
Tujadili na kuuliza maswali kuhusu aina ya printer, ubora ...
Wakuu kama title inavojieleza, tunahitaji Printer itakayoweza Copying, printing colored na Scanning. Sifa iwe na running costs ndogo japo pia matumizi yetu ni madogo labda ku print Karatasi 10-15...