Kwa wale wanaohitaji huduma ya PayPal #unataka KUTUMA au KUPOKEA pesa kupitia PayPal nipo hapa kukurahishia kazi, ni DM tu .
TRUST.. 💯✅
Hii ni kwa wale ambao hawana kabisa akaunti PayPal na...
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (Tcra) imetoa mwongozo mpya itakayoweza kubadilisha namna ambavyo Watanzania wanavyopata huduma za simu.
🗯️ Mwongozo mpya utoaji wa mawasiliano ya moja kwa moja...
Kweli muda unakimbia sana 🕦, kutoka Kuwa movie mpaka maisha Halisi watu watakua na uwezo wa kufunga ndoa na maroboti wa Ai, na Roboti zitakua na uwezo wa kubeba Mimba.
China iko kwenye mpango wa...
Wakuu habari za wakati huu? Moja kwa moja niende kwenye mada. Kwa dunia ya sasa internet imekuwa ni moja kati ya basic needs kama ilivyo chakula, mavazi na malazi. Lakini changamoto kubwa hasa kwa...
The (unofficial) hub for #teampixel and #madebygoogle fans on Jamiiforums. Find support, discover the latest updates, and connect with others in the dedicated sub-jamiiforums community for google...
Tatizo la SHG03 – Simu Haioneshi Network Baada ya Kutumika na Mtu Mwingine
Maelezo:
Habari wenzangu,
Nina tatizo na simu yangu ya Sharp Aquos SHG03. Nilikuwa nikiitumia kwa Vodacom/Tigo, kisha...
Technical Report: Large-Scale Display Systems for Exhibitions and Church Services
Executive Summary
Large-scale display systems used in outdoor exhibitions and church services primarily utilize...
HOW TO FIND PROFITABLE BLOG NICHES
INTRODUCTION
starting a blog is exciting, but choosing the right niche is what determines your success. a profitable niche helps you attract traffic and make...
Vijana waliohitimu dip na degree za computer almaarufu "ma IT" wapo wengi sana mtaani bila ramani ya kueleweka.
Nashangaa sana kwasababu kuna mitandao mingi sana ya kupiga dola online, sehemu...
#mwanakidigitali najua pengine kuna muda unakuwa unapesa yako lakini unapatwa na kigugumizi sana hasa unapo fikiria simu gani unataka kununua na itakayo kufaa . Leo nitakutajia listi ya simu aina...
Wadau naomba anayejua zile code za kuactivate namba isipatikane hewani hata kama umewasha simu...
Kuna uzi niliwahi uona humu miaka ya nyuma nimeshindwa kuupata...
🗯️ Simu ya Google pixel 9 pro ni moja wapo ya simu Nzuri Toka Google kwa matoleo ya flagship smartphone,
Ikiendeshwa na Teknolojia kubwa ya AI, nzuri kwa wale wapenzi wa photography bila kusahau...
Katika dunia ya sasa, Artificial Intelligence (AI) imeleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya teknolojia, hasa kwenye coding na software engineering. Kwa kutumia AI, tunaweza sasa kuandika...
Kiufupi tu gpt5 haiko vizuri kama gpt4o, gpt4o ilikuwa imenyooka sana kwa zile "human-like responses" ila hii gpt5 ni kama overworked secretary 😄 Wasiposhtuka watapoteza umiliki walionao sokoni.
Mfumo wa GPS (Global Positioning System) ni huduma ya bure kwa watumiaji wa kawaida duniani, lakini uendeshaji na matengenezo yake si bure kabisa. Mfumo huu unamilikiwa na serikali ya Marekani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.