Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Naangalia mpira hapa kwenye hisense smart tv ila kuna matangazo yanajitokeza mara kwa mara yanakera sana kwa sababu yanaziba baadhi ya sehemu ya uwanja. Naomba mnieleweshe namna ya kuyaondoa
0 Reactions
1 Replies
204 Views
kampuni ya Tigo siku ya jana imeanzisha huduma ya SME huduma hii haina tofauti ya na ile ya Airtel changamkien fursa huko kitaan kwenu mm sina access ila kitaan kwa mawakala imeanza + na Tigo...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Jinsi Sauti za AI Zinavyobadilisha Sekta ya Utangazaji Utangulizi Katika miaka ya hivi karibuni, teknolojia ya Sauti za Akili Bandia (AI) imepiga hatua kubwa. Leo hii, kompyuta zinaweza kusoma...
2 Reactions
2 Replies
396 Views
Lengo: Kupokea sauti kutoka redio ya FM, kuichuja matangazo, kubadilisha sauti iliyobaki kuwa maandishi, kufupisha maandishi, na kutuma taarifa muhimu kwenye kundi la WhatsApp. --- ### Sehemu ya...
2 Reactions
6 Replies
690 Views
In addition, we see many traits of A.I,reflected in the future age that will prevail. Its main characteristic will be independence, and everything else will follow. Marriage and family as...
2 Reactions
0 Replies
495 Views
Kuna aina nyingi za simu , baadhi zinafanya vizuri sokoni na nyingine hazifanyi vizuri na zikiwa na sababu tofauti . Makala hii itaangazia aina za simu zenye matatizo makubwa ambapo sikushauri...
26 Reactions
71 Replies
13K Views
Tabia 7 Zinazoiharibu Kompyuta Yako Bila Wewe Kujua Na MALEKOGJ Kama muuzaji na mtaalamu wa kompyuta, kila siku napokea simu, ujumbe na laptop zilizokufa ghafla. Na mara nyingi si kwa sababu ya...
2 Reactions
2 Replies
393 Views
Jinsi ya Kuongeza Muda wa Betri ya Laptop Yako Betri ya laptop mara nyingi huwa changamoto, hasa pale unapokuwa safarini au mbali na umeme. Habari njema ni kwamba kuna njia rahisi za kuongeza muda...
0 Reactions
0 Replies
337 Views
Jinsi ya Kuongeza Muda wa Betri ya Laptop Yako Betri ya laptop mara nyingi huwa changamoto kubwa, hasa pale unapokuwa safarini au mbali na chanzo cha umeme. Habari njema ni kwamba kuna njia rahisi...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Salama wakuu, Habari za jioni wakuu? Naomba niende straight kwenye point, Nimemnunulia mtoto wangu tablet aina ya Atouch ambayo inatumia android version 13. Sasa bwana hii tablet changamoto kubwa...
0 Reactions
5 Replies
468 Views
Habari. Msaada nawezaje kujiondoa kwenye smartphone niliyounganishwa na mwenza wangu?? Meseji, Voice note zote anazipata kwenye simu yake.Nitajiondoaje Ili asipate taarifa zangu kwenye smartphone...
2 Reactions
6 Replies
532 Views
Hivi ni simu gani model ya Samsung galaxy nzuri yenye uwezo wa kupiga picha, kuitumia kama cctv na mambo mengine kama hayo? Bei yake ni she ngapi? Naomba kujua kwa anayeelewa please.
1 Reactions
3 Replies
671 Views
So kila siku nimekua nikipata zile “bro unajua sana” nakukubali sana , bro unajua blah blah… Lakini ukweli ni kwamba it takes a lot kuwa consistent kushare #MadiniYaGaby. Na si mimi tu — hii...
2 Reactions
3 Replies
339 Views
Wakuu, naweza kutumia E-office kwa simu au ni mpaka kiwe na PC..? kwa wale wanaotumia Government mailing system..
0 Reactions
4 Replies
358 Views
TikTok inakabiliwa na mgomo mkubwa wa wafanyakazi nchini Ujerumani hasa katika ofisi yake ya Berlin Kufuatia uamuzi wa kampuni hiyo wa kuwafuta kazi takriban wafanyakazi 150 kutoka idara ya "Trust...
1 Reactions
3 Replies
454 Views
Kuna Siri nyingi katika Dunia na ulimwengu wote, zilifichwa muda mrefu sana na mataifa machache, lakini muda mrefu ni mrefu kwetu sisi kutokana na ukomo wetu wa muda wa kuishi duniani ila kwa...
2 Reactions
3 Replies
523 Views
Kama kichwa cha uzi kinavyoeleza... nataka kuunda AI Wrapper itakayoelewa lugha za makabila zaidi ya 125 yanayopatikana Tanzania. Ukweli ni kwamba haitawezekana kwa makabila yote kutokana na aina...
0 Reactions
4 Replies
430 Views
Jinsi Wadukuzi Wanavyoficha Malware Kwenye JPG, PDF na Faili Nyingine Kila siku tunabadilishana mafaili kama JPG, PDF na mengineyo bila hofu yoyote. Hata hivyo, ukweli ni kwamba faili...
3 Reactions
3 Replies
392 Views
Kuna kampuni chache duniani ambazo zimeacha alama ya kudumu kwenye historia ya biashara kama Coca-Cola. Ilichotengeneza siyo tu kinywaji, bali ni urithi wa kibiashara unaoendelea kufundisha...
0 Reactions
1 Replies
362 Views
"Torrents zinafanyaje kazi?" Ni swali ambalo wengi wamekuwa wakiuliza, hasa wale wanaodownload filamu, tamthilia, au programu kama Photoshop bila kulipia. Katika uzi huu, nitakueleza kwa kina...
12 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom