Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

🗯️ Leo nakupa taarifa kuhusu simu hii ya Samsung Galaxy s25 Edge ni simu ambayo kama utaniambia ni kwanini usinunue basi nakupa taarifa zake sio kwamba haifai kuitumia hapana ila hii simu ina...
0 Reactions
0 Replies
434 Views
Habari wanajf. Kichwa Cha habari kinajieleza.
1 Reactions
5 Replies
407 Views
Je unahitaji programu ya kompyuta (Windows OS 7,8,10,11) ya kutunza kumbukumbu ya bidhaa, wateja na kazi zingine za kumbukumbu. Gharama ya programu hii ni 250,000 Tsh. Unalipia mara moja tu...
0 Reactions
6 Replies
362 Views
🗯️ Moja kati ya simu nzuri iliyotoka mwaka 2019 ni hii simu ya Iphone 11 Series, ni simu nzuri yenye Muonekano bomba, kamera nzuri, ufanyaji kazi wa kipekee unaopelekea simu bado kuwa na Thamani...
2 Reactions
3 Replies
470 Views
Wazee, heshima zenu. Nina huu mzigo, lakini napata changamoto moja. Nikijaribu kuplay video, iwe youtube au kwenye mashine yenyewe, inajizima. Lakini kazi zingine na audio, haina shida. Tatizo...
0 Reactions
2 Replies
219 Views
Huu hapa na nilimuuliza chatgp swali kulinganisha seapiano kubwa kbs kwasasa sp 912 na huu mziki ni nani zaidi Nimenunua active subwoofer 250,000 boom box Power supply 10 A bei 50,000 Radio ya...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Unapotaka kununua simu mpya, ni muhimu kuzingatia mambo kadhaa ili kuhakikisha unapata kifaa kinachokidhi mahitaji yako. Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia: 1. Bajeti: Amua kiasi unachotaka...
6 Reactions
20 Replies
3K Views
Najua watu wengi mnapenda kutumia app ya VLC kwenye simu pamoja na kompyuta lakini 👋 nakupa jambo moja la Siri kwa mwaka huu 2025 kuhusu Kmplayer achana na VLC unajua kwanini 👇 Kmplayer ni moja...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
🗯️ Watumiaji wa Whatsapp kwenye vifaa vya android na ios wataletewa Feature mpya ambayo itawapa uwezo wa kumtumia mtu picha kwenye mfumo wa Motion. 🗯️ Feature hii inaitwa "Motion Photo" ni picha...
2 Reactions
2 Replies
351 Views
Wadau msaada Je, kati ya IT(Information Technology) na Computer Science je ni kozi ipi Ina fursa zaidi na inaongoza kwa watu wengi waliofanikiwa?
2 Reactions
39 Replies
4K Views
Je, Kuna Drive Inayokosekana Kwenye Windows? Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuitatua Umejaribu kufungua moja ya drive kwenye kompyuta yako lakini ukaona haipo kabisa? Hata ukitafuta kwenye File...
0 Reactions
0 Replies
214 Views
Laptop Gani Inafaa Kwa Kazi Yako? Usinunue Kabla Hujasoma Haya Mambo 7 Muhimu! Kama unavyonunua mashine kwa mgodi au mtambo kwa kiwanda, laptop pia ni zana ya uzalishaji. Si mapambo. Lakini watu...
1 Reactions
2 Replies
545 Views
Wakuu nisaidieni kuelewa kuhusu hili Kuna emergency hela inatakiwa haraka sana, Natuma Halo Pesa kiusahihi kabisa bila kukosea halafu hela haifiki ilikotumwa na kwenye acc hela imetoka Unapiga...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natatengeneza tovuti (website) za makampuni, biashara, watu binafsi na n.k. hii tovuti (website) nilimtengenezea mwanajamii forum anaitwa Meneja wa Kampuni japo kwa Sasa haipo mtandaoni (online)...
1 Reactions
9 Replies
419 Views
Tukiwa tunasubiri ujio wa Toleo jipya la Samsung aina ya A57 5G ambao inaweza kupelekwa sokoni desemba 2024 mpaka January 2025. Hii itakua A series ya kwanza kuleta ushindani dhidi ya "iphone...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini!. Anayefahamu makato ya kuhamisha pesa kutoka paypal kwenda benk iliopo Tanzania anifahamishe please,
1 Reactions
50 Replies
7K Views
PayPal has been the go-to payment solution for personal use for many years, but there are now several alternatives available. These alternatives offer a variety of features, fees, and capabilities...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Huduma gani unahitaji ya IT? website Computer blog social media N.k Napatikana: Dar es salaam, Mbezi Mawasiliano: 0756704145
1 Reactions
10 Replies
370 Views
Habari wataalamu wote. Kuna mfumo unaitwa STUDENTS INFORMATION SYSTEM (SIS) Unaoweza Kuwa na features kama vile; 1. Students admission 2. Staff management 3. Classroom management 4...
0 Reactions
0 Replies
252 Views
Hii simu ilivunjika display kama miezi minne iliyopita. Jana nikaweka kioo kipya. Simu inawaka vizuri ila inadai niweke PIN ambayo naweka ila inaniandikia Pin required after divice restarts. Nikii...
3 Reactions
8 Replies
377 Views
Back
Top Bottom