🗯️ Leo nakupa taarifa kuhusu simu hii ya Samsung Galaxy s25 Edge ni simu ambayo kama utaniambia ni kwanini usinunue basi nakupa taarifa zake sio kwamba haifai kuitumia hapana ila hii simu ina...
Je unahitaji programu ya kompyuta (Windows OS 7,8,10,11) ya kutunza kumbukumbu ya bidhaa, wateja na kazi zingine za kumbukumbu. Gharama ya programu hii ni 250,000 Tsh. Unalipia mara moja tu...
🗯️ Moja kati ya simu nzuri iliyotoka mwaka 2019 ni hii simu ya Iphone 11 Series, ni simu nzuri yenye Muonekano bomba, kamera nzuri, ufanyaji kazi wa kipekee unaopelekea simu bado kuwa na Thamani...
Wazee, heshima zenu.
Nina huu mzigo, lakini napata changamoto moja. Nikijaribu kuplay video, iwe youtube au kwenye mashine yenyewe, inajizima. Lakini kazi zingine na audio, haina shida.
Tatizo...
Huu hapa na nilimuuliza chatgp swali kulinganisha seapiano kubwa kbs kwasasa sp 912 na huu mziki ni nani zaidi
Nimenunua active subwoofer 250,000 boom box
Power supply 10 A bei 50,000
Radio ya...
Unapotaka kununua simu mpya, ni muhimu kuzingatia mambo kadhaa ili kuhakikisha unapata kifaa kinachokidhi mahitaji yako. Haya ni mambo muhimu ya kuzingatia:
1. Bajeti: Amua kiasi unachotaka...
Najua watu wengi mnapenda kutumia app ya VLC kwenye simu pamoja na kompyuta lakini 👋 nakupa jambo moja la Siri kwa mwaka huu 2025 kuhusu Kmplayer achana na VLC unajua kwanini 👇
Kmplayer ni moja...
🗯️ Watumiaji wa Whatsapp kwenye vifaa vya android na ios wataletewa Feature mpya ambayo itawapa uwezo wa kumtumia mtu picha kwenye mfumo wa Motion.
🗯️ Feature hii inaitwa "Motion Photo" ni picha...
Je, Kuna Drive Inayokosekana Kwenye Windows? Hivi Ndivyo Unavyoweza Kuitatua
Umejaribu kufungua moja ya drive kwenye kompyuta yako lakini ukaona haipo kabisa? Hata ukitafuta kwenye File...
Laptop Gani Inafaa Kwa Kazi Yako? Usinunue Kabla Hujasoma Haya Mambo 7 Muhimu!
Kama unavyonunua mashine kwa mgodi au mtambo kwa kiwanda, laptop pia ni zana ya uzalishaji. Si mapambo.
Lakini watu...
Wakuu nisaidieni kuelewa kuhusu hili
Kuna emergency hela inatakiwa haraka sana,
Natuma Halo Pesa kiusahihi kabisa bila kukosea halafu hela haifiki ilikotumwa na kwenye acc hela imetoka
Unapiga...
Natatengeneza tovuti (website) za makampuni, biashara, watu binafsi na n.k. hii tovuti (website) nilimtengenezea mwanajamii forum anaitwa Meneja wa Kampuni japo kwa Sasa haipo mtandaoni (online)...
Tukiwa tunasubiri ujio wa Toleo jipya la Samsung aina ya A57 5G ambao inaweza kupelekwa sokoni desemba 2024 mpaka January 2025.
Hii itakua A series ya kwanza kuleta ushindani dhidi ya "iphone...
PayPal has been the go-to payment solution for personal use for many years, but there are now several alternatives available. These alternatives offer a variety of features, fees, and capabilities...
Habari wataalamu wote. Kuna mfumo unaitwa STUDENTS INFORMATION SYSTEM (SIS) Unaoweza Kuwa na features kama vile;
1. Students admission
2. Staff management
3. Classroom management
4...
Hii simu ilivunjika display kama miezi minne iliyopita. Jana nikaweka kioo kipya. Simu inawaka vizuri ila inadai niweke PIN ambayo naweka ila inaniandikia Pin required after divice restarts. Nikii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.