Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

🗯️ Simu ya Google pixel 9 pro ni moja wapo ya simu Nzuri Toka Google kwa matoleo ya flagship smartphone, Ikiendeshwa na Teknolojia kubwa ya AI, nzuri kwa wale wapenzi wa photography bila kusahau...
0 Reactions
1 Replies
362 Views
Katika dunia ya sasa, Artificial Intelligence (AI) imeleta mapinduzi makubwa kwenye sekta ya teknolojia, hasa kwenye coding na software engineering. Kwa kutumia AI, tunaweza sasa kuandika...
12 Reactions
91 Replies
3K Views
Kiufupi tu gpt5 haiko vizuri kama gpt4o, gpt4o ilikuwa imenyooka sana kwa zile "human-like responses" ila hii gpt5 ni kama overworked secretary 😄 Wasiposhtuka watapoteza umiliki walionao sokoni.
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Mfumo wa GPS (Global Positioning System) ni huduma ya bure kwa watumiaji wa kawaida duniani, lakini uendeshaji na matengenezo yake si bure kabisa. Mfumo huu unamilikiwa na serikali ya Marekani...
6 Reactions
15 Replies
675 Views
Habari wadau Naweza wapi ku sajili domain name ya .co.tz na inagharimu bei gani? Asanteni
1 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuu mambo vip? wataalam wa mambo ya blogging na website naomba msaada kwa hizi issue hapa.
0 Reactions
3 Replies
793 Views
Mkenya aitwaye Mike Luswety mmiliki wa id ya Mediapix hapa JF ameniingiza chakike. Msijaribu huyu kijana ni Hatari sana. 1. Hakutaka nifahamu ukweli wa kilichomo control panel. Yeye amesajili...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
August 13, 2025 by Sylvia Chanak Bringing together the world’s brightest minds and the latest accelerated computing technology leads to powerful breakthroughs that help tackle some of the...
0 Reactions
0 Replies
419 Views
Habari, Me ni mwanafunzi wa DIT ktk fani ya Electrical Engineering, kwa sasa Nipo week ya kwnz ya Field hapa Azam(Tazara/Dsm)... ila changamoto ninayo iona apa hakuna zile kazi nikaongeza...
1 Reactions
1 Replies
525 Views
ANGALIA PICHA CHINI , KABLA YA KUSOMA Jamiiforum mbona ni copy na paste ya forum blackhatworld .com Haya si ndo ya mambo ya kununua source code au ku-download Nulled script? Kama ndiyo wapo wapi...
14 Reactions
130 Replies
7K Views
piga namba *#61# angalia kama imeandikwa neno FORWARDED uje kuna mtu anasikiliza mazungumzo/sms zako. Na kama ikionyesha neno NOT FORWARDED basi uko salama. Kuondoa au kumzuia mtu asiendelee...
12 Reactions
104 Replies
262K Views
Unataka kuanza kuagiza bidhaa kutoka China lakini hujui wapi pa kuanzia? Alibaba.com ni moja ya mitandao mikubwa duniani ya wauzaji wa jumla ambapo unaweza kuagiza bidhaa kwa bei nafuu...
2 Reactions
2 Replies
750 Views
wakuu nilitaka mnifahamishe tofauti ya mtandao wa ndani ni upi? na mtandao wa umma ni upi?
0 Reactions
3 Replies
263 Views
Instagram Inaweza Kushare Mahali Ulipo na Followers Wako Wote Katika zama hizi za mitandao ya kijamii, taarifa binafsi zimekuwa bidhaa yenye thamani kubwa. Hata bila ruhusa ya wazi, programu...
1 Reactions
3 Replies
496 Views
Katika dunia ya sasa ya kidigitali, miundo (designs) bora ni silaha ya kwanza ya ushindi katika biashara, ujasiriamali, elimu, au hata content creation ya mitandaoni. Lakini si kila mtu ana muda...
1 Reactions
4 Replies
530 Views
Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo. Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana. Sasa nimeokota pochi la...
31 Reactions
700 Replies
74K Views
Wi-Fi za Umma Sio Hatari Moja kwa Moja—Lakini Makosa Haya Huifanya Iwe Tishio Kubwa Kwenye viwanja vya ndege, hoteli, au café—Wi-Fi ya bure imekuwa kama msaada wa haraka kwa wanaosafiri au...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
JINA LA KITABU: “Machimbo ya Bidhaa Kwa Bei ya Jumla Kariakoo” UTANGULIZI: Kariakoo ni kama mgodi wa biashara Tanzania — lakini si kila mtu anajua mahali pa kuchimba. Wengi wanapoteza muda, hela...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika dunia ya sasa ya kidijitali, mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yanahitaji mbinu bora za kuwafikia wadau, wafadhili, na jamii kwa ujumla. Moja ya fursa kubwa ambazo mara nyingi...
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Kama Nokia anataka kurudi ajitafakari Sana bado ana nafasi. Simu za Nokia ZOTE smart na viswaswadu ni GHALI kishenzi LAKINI Zina hardware mbovu Sana hasa KWA smart za SASA . Naposema hardware...
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom