Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Tunashukuru kwa sapoti kubwa kutoka kwa wafanyabiashara na wajasiriamali mbalimbali. Leo tumefika hatua kubwa: ✅ 50,000+ Installs kwenye Play Store ✅ 12,000+ watumiaji hai kila siku...
3 Reactions
6 Replies
519 Views
TSH Rates Kila siku TSH Rates inanipa foreign exchange rates za benki za Tanzania. Kama unafanya biashara kimataifa najua unajua umuhimu wa taarifa kama hii—kujua thamani ya fedha kunakupa uwezo...
3 Reactions
3 Replies
470 Views
💭 Naam sio filamu za kuigiza Tena ni maisha Halisi, kwa miaka mingi Teknolojia ya Magari ya kupaa iliweza kugunduliwa toka mwaka 2015 kupitia kwa jamaa mmoja anaitwa Tim Draper. 💭 Kampuni ya Alef...
1 Reactions
7 Replies
474 Views
📍Utangulizi Katika dunia ya biashara ya kisasa, bidhaa pekee hazitoshi. Unaweza kuwa na bidhaa bora kuliko kila mtu — lakini kama hakuna anayejua unaiuza, huna tofauti na mtu asiyeuza kabisa...
0 Reactions
0 Replies
307 Views
Siku ya leo tar 20 August, Google wamezindua simu zao za Google Pixel kupitia event yao ya Made by Google 2025. Baadhi ya simu zilizozinduliwa ni Pixel 10, Pixel 10 Pro, Pixel 10 Pro XL, na...
8 Reactions
53 Replies
2K Views
Hydrogen Atom: Schrödinger ‎Equation and Quantum Numbers ‎Selection Rules state that: ‎“Allowed” transitions between energy levels ‎occur between states whose value of differ by one: ∆L= +1 and...
0 Reactions
4 Replies
290 Views
Kawaida kampuni ya Xiaomi huachia flagship mbili mwisho wa mwaka huko China lakini mwaka huu ni tofauti, wataachia flagship tatu Kutakuwa na Xiaomi 16, 16 Pro na 16 Pro Max, yani kama iPhone...
1 Reactions
7 Replies
556 Views
Gb
Nasikia ety Kuna gb Whatsapp iliyohakiwa, na huwa inakuwaga nzuri kweli, yaani haisumbui kama zingine Naomba ufafanuzi tafadhali wakuu, na kama uko nayo nisaidie plzzz
1 Reactions
4 Replies
342 Views
Wadau hamjambo, je nord vpn inaconnect vizuri ukiwa Tanzania au na yenyewe imeblockiwa?
2 Reactions
2 Replies
460 Views
🗯️ Hivi unajua nchini Tanzania Kampuni ya @infinixmobiletz pia inatoa bidhaa mbalimbali sio simu tu pekee Kuna Kompyuta, Earbuds, Pasi bila kusahau Television. 🗯️ Naam kuna Television nzuri na za...
0 Reactions
5 Replies
544 Views
Habari wana jamii forum, ninayo pc ya hp nyeusi, changamoto yake leo nimejaribu kuweka window 10 2019 imegoma kabisa na sitaki kufuta data zangu zilizopo kwenye pc. Naomba mnisaidie.
1 Reactions
3 Replies
295 Views
kitabu gani unahitaji bei 10,000 tsh kimoja, natafsiri kutoka kiingereza kwenda kiswahili bei 5000 - 10,000 Tsh, inategemea na ukubwa nicheki 0756704145
3 Reactions
17 Replies
919 Views
Unataka kuanzisha biashara lakini huna mtaji mkubwa? Au umekuwa ukitafuta wauzaji wa jumla wenye bei nafuu bila mafanikio? Basi fahamu hili: China ndio mahali pa bidhaa bora kwa bei ya chini...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
How To Install Windows 11 On Unsupported Devices Microsoft’s latest operating system, Windows 11, is now here, and while it comes with a long list of system requirements, it’s feasible to get...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Karibuni. Simu ni android, pixel 5
3 Reactions
9 Replies
750 Views
Wadau mnatumia nn Kwa matumizi ya bando maana bando lote baada ya masaa shwaa eh 🙌🏾 adi kero
7 Reactions
116 Replies
4K Views
Naomba mnisanue kabla sijayakanyaga
1 Reactions
29 Replies
2K Views
Leo tupeane ujuzi kuhusu AC aka viyoyozi je ni kweli huwa zinatumia unit hadi 35 hadi 40 kwa zikiwasha masaa 24? Wenye AC mje mtupe ushuhuda huwa mnatumia vipi na huwa inatumia units ngapi kwa...
9 Reactions
68 Replies
18K Views
Washkaji wawili waliingia KINYOZI kama wateja… wakaondoka kama founders wa IDEA ya Mamilioni ya Dollar. startup kubwa huanza na swali dogo. Kwa hawa wahuni wawili Songe LaRon na Dave Salvant...
2 Reactions
5 Replies
783 Views
Habari ya majukumu wadau. Samahani naomba kufahamu member yeyote ambaye anatumia Waka tv kwenye android tv box anisaidie namna ya kulipia subscription. Kila nikijaribu sipati code ya registration.
1 Reactions
2 Replies
338 Views
Back
Top Bottom