Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuuu salaam. Simu yangu ni infinix hot 8. Ina mwaka mmoja tu tangu niinunue. Hapo kabla ilikuwa iko vizuri tu Ila Cha ajabu ilianza kugoma ku connect Bluetooth . Mwanzoni nilikuwa nacheza nyimbo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Naomba ushauri juu ya simu yenye Camera nzuri kwa ajili ya kupiga picha za biashara/kazi. Nina Salon ya kike inahusika na make up, kucha na ususi wa nywele. Kama mnavojua...
3 Reactions
48 Replies
16K Views
........
1 Reactions
9 Replies
973 Views
Kama inavyoonekana hapo chini. Hiyo helcopter sioni engine ikizunguka ila inaendelea kuwa hewani. Je hii ikoje?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
1. Friendly Ig ;hii app inakupa uwez wa kuperuzi(surfing) on Ig bila automatic video play na inakupa uwez wa kudownload picha Mnato na tembezi:utasevu Sana 2. Quora:ni app inayokupa insights mbali...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Hiko kifaa ni saparet meter maswali yangu ni haya,, 1/ Nikinunua, kimoja kinatumika, kwa, mpangaji mmoja tu? 2/ Kama ni kwa, mpangaji mmoja tu je ile buku ya kila mwezi nikitaka kununua, umeme...
6 Reactions
70 Replies
7K Views
Wataalamu wa mambo simu yangu Samsung imejiweka kialama cha funguo kwa juu huku upande wa inapoonyesha betri. Siwezi kushusha skrini ili niwashe data, torchi etc. Wataalamu wa mambo msaada wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawasalimu katika jina la Jamhuri ya Tz Wakuu naomben msaada kitu kimoja,Ni hivi mimi napenda niweze kutengeneza game la kwenye simu ila shida ni kuwa sijui coding wala nini, ko naomba mnaojua...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba msaada: Nahisi kuna mtu alijaribu ku-login kwenye account mara kwa mara kwa kutumia wrong password.....! Matokeo yake facebook waka-lock account yangu. Sasa ili niweze ku-unlock...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wana jf wenzangu, Naomba kujulishwa au kufahamishwa ni app gaani ilio boora ambaayo naweza kuitumia kujua mahali alipo mtu anaetumia simu ndoogo ya mkonooni(battani). Nawasilisha asanteeni.
0 Reactions
2 Replies
520 Views
Habar. Naomba MAELEZO Zaidi KUHUSU adstera na Adsense kama Kuna mtu anatumia hii mifumo Naomba anipe somo kamili jonasjovin3@gmail.com
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Je Ni Kweli Mana Nasikia Ukiweka Matangazo Ya Mfumo Wa Pop Ads Unapunguza Wageni Sent from my STH100-2 using JamiiForums mobile app
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Nina tv yangu lg inch 55 smart Ina shida ya kioo,kama kuna mtu anaweza kunisaidia naomba tuwasiliane
0 Reactions
3 Replies
423 Views
Mimi ni fundi simu upande wa hardware na ni mzoefu kwa miaka 10 na 90% ya simu ninazotengeza ni tecno, infinix na itel. ni kweli kila simu inaharibika na kila siku napokea simu zenye matatizo...
40 Reactions
75 Replies
8K Views
  • Question Question
Nina uelewa mpana kidogo juu ya html na CSS ila ni mgeni kweny js na php Kweny practice zangu upande wa forms hua natumia attribute ya required ili kufanya validation lakin naona kama sio unyama...
1 Reactions
4 Replies
794 Views
Wakuu wangu me nimehitimu kidato cha Nne na natarajia kusoma IT napenda sana mambo ya technology. Je nikwavipi naweza kuwafikia watu wengi zaidi kupitia mtandao na technology kwa ujumla???
0 Reactions
0 Replies
319 Views
Nahitaji kutunga uwezo wa Python ambao unachukua msururu wa kamba kama ugomvi wake. Uwezo unapaswa kuchapisha kamba hizo kwenye muhtasari ambao una kama vifungu vidogo vitu vyote vinavyozingatiwa...
1 Reactions
4 Replies
673 Views
Mtaalamu mmoja wa masuala ya Cyber ameichunguza na kugundua kuwa searching engine ya google ina mchezo wa kupuuzia maneno yako unayoandika ili kusearch na kukupa matokeo ya vitu vinavyotrend hata...
2 Reactions
5 Replies
861 Views
TV Ipi ya flat screen imara kati ya singsung, sumsung, na Zec.
1 Reactions
43 Replies
13K Views
Nilinunua chaja aina ya Excellent miezi miwili iliyopita nikiamini itanifaa hasahasa kwenye upande wa fast charging. Na kweli kwa kipindi cha mwezi wa kwanza niliyoitumia ilikua inajaza 100%...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom