Dark web business

Dark web business

Jana unalalamika hela huna...leo unataka uingie dark web ukanunue vitu...boss unataka kununua nini
Tatizo na nyie Huwa mnatka mtu afungue nyuzi Moja tu au .. Sasa ya Jana ipo kivyake na hii ipo kivyake wewe kama huna msaada unapita kimya hakuna shida.
 
Kuwa muazi unataka dark web ya biashara gani, maana zipo nyingi xn
 
Kaandike play store au app store,App inaitwa Tor browser hapo utaacess dark web
 
Copy That
EiCcVAyWoAU9vvD.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom