Chaja yangu ya simu ilikuwa fasta sana, nini imeikumba?

Chaja yangu ya simu ilikuwa fasta sana, nini imeikumba?

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
658
Nilinunua chaja aina ya Excellent miezi miwili iliyopita nikiamini itanifaa hasahasa kwenye upande wa fast charging.

Na kweli kwa kipindi cha mwezi wa kwanza niliyoitumia ilikua inajaza 100% ndani ya lisaa limoja tu. Ila nina wiki sasa, simu hata niiache kwny chaji usiku mzima haifiki ata asilimia 60.

Wataalam wa izi mambo em nisaidien sababu itakua nn. Au li infinix langu ndo tatizo
 
Screenshot_20220718-073136.png
 
Nadhani IC ya simu yako ndio imekufa. Jaribu kuchaji kwene sim nyingine uone.
 
Nilinunua chaja aina ya Excellent miezi miwili iliyopita nikiamini itanifaa hasahasa kwenye upande wa fast charging...
Tatizo ni Charger yako- Achana nayo nunua nyingine.Kama Upo Dar kuna duka linaitwa Cityphone Kariakoo Uhuru road kidogo hawa wana chaja nzuri na za uhakika.
 
Malipo ya tangazo yako wapi?
Kuna Chaja fake na ata simu TV fake kwenye Soko hapa Tanzania! Wapo Wafanya Biashara wachache wenye weledi na kuhakikisha wanauza vitu durable na vina value for money!

Lengo kubwa Duniani ni kuwa Our Brother Keepers! Sio kila ushauri ni for Business. Sina Duka wala sina Ndugu mwenye duka,Im just helping some one who have asked for help
 
Nilinunua chaja aina ya Excellent miezi miwili iliyopita nikiamini itanifaa hasahasa kwenye upande wa fast charging.

Na kweli kwa kipindi cha mwezi wa kwanza niliyoitumia ilikua inajaza 100% ndani ya lisaa limoja tu. Ila nina wiki sasa, simu hata niiache kwny chaji usiku mzima haifiki ata asilimia 60.

Wataalam wa izi mambo em nisaidien sababu itakua nn. Au li infinix langu ndo tatizo
Chaja nyingi kibongo bongo ni za kichina na zinakuwa loose pale waya na kichwa zinapokutana, ikiwa loose most of time haileti umeme kama inavyotakikana.

Download app ya ampere playstore angalia kama milliamps ni chini ya 1000 basi ina tatizo chaja na sio simu.

Jaribu pia kubadili usb ama kichwa ili kujua exactly kipi kinazingua.
 
Nilinunua chaja aina ya Excellent miezi miwili iliyopita nikiamini itanifaa hasahasa kwenye upande wa fast charging.

Na kweli kwa kipindi cha mwezi wa kwanza niliyoitumia ilikua inajaza 100% ndani ya lisaa limoja tu. Ila nina wiki sasa, simu hata niiache kwny chaji usiku mzima haifiki ata asilimia 60.

Wataalam wa izi mambo em nisaidien sababu itakua nn. Au li infinix langu ndo tatizo
Simu yoyote ina ratings zake za kupitisha umeme, zenye fast charging feature zinakua na rating kubwa i.e zinapitisha current kubwa, unaweza ukatumia charger ta fast charging kwa simu yoyote ila simu yenyewe ita zuia huo umene wa ziada kama haina hio feature ya fast charge

Kwa case yako wewe
1) port yako ya charger ya simu ni chafu
2)charger yako imeharibika
3)port yako ya simu imepanuka na charger haingi vizuri


Nakushauri ujaribu charger yako kwa simu nyingine kama tatizo ni hilo hilo basi charger ndo mbovu kama inakubali kwengine basi simu ndo inatatizo
 
Chaja nyingi kibongo bongo ni za kichina na zinakuwa loose pale waya na kichwa zinapokutana, ikiwa loose most of time haileti umeme kama inavyotakikana.

Download app ya ampere playstore angalia kama milliamps ni chini ya 1000 basi ina tatizo chaja na sio simu.

Jaribu pia kubadili usb ama kichwa ili kujua exactly kipi kinazingua.
Mkuu nataka kuchukua redmi 10c vp hazina changamoto yoyote?
Naomba kuelimishwa hyo simu ikikosa features zipi inakuwa fake?
 
Mkuu nataka kuchukua redmi 10c vp hazina changamoto yoyote?
Naomba kuelimishwa hyo simu ikikosa features zipi inakuwa fake?
Redmi 10C ni simu nzuri sana kwa price point ya chini ya 350,000 changamoto ni display yake tu ya kawaida ila perfomance ipo sawa na Samsung A23 na redmi note 11 ambazo zinauzwa Ghali zaidi.

Na simu fake siku hizi nadra kukutana nazo si kama zamani, we kanunue tu Tigoshop redmi ili kupuka kuuziwa hizo fake, Redmi za Tigo hazina lock unatumia mitandao yote.
 
Redmi 10C ni simu nzuri sana kwa price point ya chini ya 350,000 changamoto ni display yake tu ya kawaida ila perfomance ipo sawa na Samsung A23 na redmi note 11 ambazo zinauzwa Ghali zaidi.

Na simu fake siku hizi nadra kukutana nazo si kama zamani, we kanunue tu Tigoshop redmi ili kupuka kuuziwa hizo fake, Redmi za Tigo hazina lock unatumia mitandao yote.
Asante sana chief
 
Kuna Chaja fake na ata simu TV fake kwenye Soko hapa Tanzania! Wapo Wafanya Biashara wachache wenye weledi na kuhakikisha wanauza vitu durable na vina value for money!

Lengo kubwa Duniani ni kuwa Our Brother Keepers! Sio kila ushauri ni for Business. Sina Duka wala sina Ndugu mwenye duka,Im just helping some one who have asked for help
Pamoja mkuu, umejibu kwa busara kubwa, sorry kama nilikukwaza.
 
Nilinunua chaja aina ya Excellent miezi miwili iliyopita nikiamini itanifaa hasahasa kwenye upande wa fast charging.

Na kweli kwa kipindi cha mwezi wa kwanza niliyoitumia ilikua inajaza 100% ndani ya lisaa limoja tu. Ila nina wiki sasa, simu hata niiache kwny chaji usiku mzima haifiki ata asilimia 60.

Wataalam wa izi mambo em nisaidien sababu itakua nn. Au li infinix langu ndo tatizo

Charger za excellent hazifai
 
Back
Top Bottom