BABU KIZEE
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 452
- 72
TV Ipi ya flat screen imara kati ya singsung, sumsung, na Zec.
Wala usihangaike na nyingine Samsung kwa sasa ndo wanaongoza kwa ubora wa TV bora.
Sure Kitu cha Samsung. Tena kama uko njema jipakulie "Smart TV yako Series 8" Ndio Mpango mzima.
Samsung ndio kila kitu kwa ubora na rangi.!!
sumsung
mkuu hyo samsung smart tv series 8 ni shng ngap na ni inch ngap
TV Ipi ya flat screen imara kati ya singsung, sumsung, na Zec.
tv ipi ya flat screen imara kati ya singsung, sumsung, na zec.
kaka wote wanakuingiza chaka hyo tv uliyoona ni sumsung sio samsung wanayokwambia usije ukanunua sumsung ukadhani samsung tv bora, since zote michina maybe mchina wa zec uko na afadhali usidanganyke na jina sumsung mchina huyo sio Samsung
Nilitoa ushauri nikifikiri alifanya typo wakati anaandika nikidhani alimaanisha Samsung, kibaya zaidi hiyo Sumsung sijawahi isikia na Pia google imeshindwa kunitolea product inayoitwa Sumsung, Naomba ufafanuzi hapo kwenye bold.Wengi wamekurupuka kutoa ushauri.
Kuna tofauti kubwa kati ya sUmsung na sAmsung
Nilitoa ushauri nikifikiri alifanya typo wakati anaandika nikidhani alimaanisha Samsung, kibaya zaidi hiyo Sumsung sijawahi isikia na Pia google imeshindwa kunitolea product inayoitwa Sumsung, Naomba ufafanuzi hapo kwenye bold.