Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kama uzi unavyojieleza mimi nipo moro 0785499058
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Leo nmewaletea software inayoweza kubypass password ya windows yoyote ndani ya sekunde chache tu, hii software inaitwa kon boot yenyewe ni kwamba ina itaruhusu tubypass password protected system...
7 Reactions
71 Replies
17K Views
Habari wakuu, Kwa wenye uzoefu wa Smart TV, naombeni kujua toleo zuri(interms of features and durability) la tv aina ya hisense. Je, kabla ya kununua inatakiwa kuzingatia taarifa zipi?
0 Reactions
3 Replies
632 Views
Samahani kwa wana It naomba msaada namna ya kuifunga simu iliyoibiwa imei ninazo na imail iliyoyokuwa inatumika kwenye ile simu
2 Reactions
11 Replies
6K Views
computer science refers to the processes of creating usable computer programs and applications and the theories behind those processes. An employee in this industry will likely be doing a lot of...
0 Reactions
36 Replies
18K Views
Wadau! Nimekaa na ku-observe kwa muda sasa huu upande wa Youtube ukiachana na wasanii na chaneli maarufu za habari na udaku kupata views nyingi Youtube na hata watu hawa kutumika kama mabalozi wa...
0 Reactions
2 Replies
954 Views
Bila kupepesa macho. Ninadogo hapa home nataka ni mlipie ada chuo kilicho sajiliwa akasome kozi tajwa hapo. Amemaliza Form 4 na amepata Dvn 2 ya 19. Naitaji msaada wenu bila kuchelewa.
0 Reactions
5 Replies
708 Views
Habarini wana zengo, je Kwenye iPhone kuna app ya call record ya free kutumia, naombeni msaada wenu ndugu zangu. Mbali na iyo app ni app gani nyingine muhimu na nzuri nashauriwa kuwa nayo Kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani habari nimekua nikitafuta kampuni bora ya matangazo ambayo ingenilipa vizuri kama google adsense hii ni baada ya kukataliwa na google adsense kutokana content language ambayo ni kiswahili...
9 Reactions
315 Replies
23K Views
Hivi naweza badilisha picha zilizoandikwa ambazo zinahitaji kuchapishwa tena na kubadilishwa kuwa faili za pdf kwakutumia simu?
1 Reactions
7 Replies
615 Views
Nimezikuta mjini unguja zinauzwa 90k mpaka 100k nimeingia google nimekuta GSM arena hawajazifanyia review na ni simu ya 2017-2018 na kwenye baadhi ya apps zimeandikwa kichina nimaogopa nisije...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wajuvi, natumaini hamjambo Katika pitapita zangu mitandao mbalimbali ya kijamii kusaka bidhaa used nimekuta bei ya ps4 fat used kati ya 500k - 550k tofauti na ps4 slim na pro ambazo bei ni...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu habari Naomba msaada wa kupata LINK ya kudowload GB whatsapp Natanguliza shukrani
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Whatsupp Nina PC yaina ya Lenovo Thinkcentre ilianza kuleta error ya blue screen siku kama 4 zilizopita. Ilikuwa kwa siku inaweza restart na kunonesha blescreen halafu ikarudi normal na isirudie...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Sote tunamkumbuka Isaya Yunge ambaye alikuwa ni moja kwati ya promising souls nchini kwenye sekta ya technolojia Isaya aliweza kutengeneza Soma App app Edtech app lakini haikufanya vizuri sokoni...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Motorola Moto X30 Pro Camera 200 MP Selfie camera 60 MP Screen 6.7" Fast charger 0-100$ 19 minutes Kwa maoni yangu hii ndiyo simu bora kabisa ya Android. Sioni Samsung yenye sifa hizo
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari , natumia simu aina tecno spark 3 kama mwezi sasa, ila juzi line slot 2 ambayo nimeweka laini ya tigo haisomi mtandao badala yake inaonyesha majina tu na msg zake zilizoingia zamani...
0 Reactions
3 Replies
850 Views
Wadau nauliza simu hizi zinaweza kutumika Tanzania?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Urgent: ninahitaji id copy ya NIDA,nina namba tu,mwenye kujua namna ya kupata Najua humu kuna watu wa aina mbalimbali,na wenye uwezo tofauti Naomba msaada Amina, arusha Tanzania
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…