Verizon wireless mobile phones

Verizon wireless mobile phones

Wadau nauliza simu hizi zinaweza kutumika Tanzania?
Verizon ni service provider wa U.S ..Kama hapa kwetu ukitaja Tigo na Voda. Sasa sijui Swali lako lilikuwa linahitaji ufumbuzi wa aina gani? Funguka zaidi.
Hiyo simu uliyonayo ni aina gani?
 
Ni kwamba simu zilikuwa zinatumika US na zikatolewa Zawadi Kwa ajili ya matumizi Hulu tanzania, sasa Swali langu ni kwamba Jeff kuna kampuni ya simu ya Hawa tanzania inaweza kureplace matumizi ya simu ambayo ilisajiliwa na Verizon.... Aina ya simu ni blackberry na Motorola..
 
usa makampuni makubwa ya simu ni verizon, at&t , sprint, na t-mobile

katika hayo makampuni makubwa yanatumia teknlolojia tofauti tofauti ya mawasliano, cdma tu au gsm tu, japo kuna makampuni madogo huwa yanatumia both cdma na gsm

cdma ni teknolojia ya mawasiliano ya simu ambayo haitumii simcard, while gsm use simcard

sasa katika hayo makampuni ya simu; sprint-cdma , verizon -cdma , at&t-gsm , t-mobile-gsm

kwahiyo verizon simu zao huwa hazina sehemu ya kuweka simcard,

japo kuna simu huwa zimetengenezwa kuwa na uwezo wa cdma na gsm, hivyo inakuwa na sehemu ya kuweka simcard

kwahiyo vizuri anayekutumia mwambie akutumie simu ya at&t au t-mobile ni uhakika zaidi, we utabaki kuzi-unlock tu kama hazitakuwa zimekuwa-unlocked

au kama simu ni ya sprint au verzion ahakikishe ni simu yenye uwezo wa gsm na cdma, napo utabaki ku-unlock tu
 
fungua kava ya betri chunguza kama kuna shemeu pa kuweka simcard, kama kuna sehemu ya kuweka simcard basi hiyo simu ni both cdma na gsm,
kwahiyo weka laini yako, hapo itakuomba unlock code au kama ni unlocked unakuwa tayari hewani,

Ni kwamba simu zilikuwa zinatumika US na zikatolewa Zawadi Kwa ajili ya matumizi Hulu tanzania, sasa Swali langu ni kwamba Jeff kuna kampuni ya simu ya Hawa tanzania inaweza kureplace matumizi ya simu ambayo ilisajiliwa na Verizon.... Aina ya simu ni blackberry na Motorola..
 
Kaka nashukuru sana kwa uushauri wako umenitoa sana . Ubarikiwe. Sana.
 
Ok na shukuru. Japo nilijaribu zimekataa
 
verizon zitafanya kazi kawaidalakini USSD system huwa zina fail mfano ukiomba salio kwa *102# yenyewe inapiga na TigoPesa and Mpesa hazifanyi kazi pamoja na hayo hutapata Blackberry Internet Service mkuu kw hizi Verizon
 
verizon zitafanya kazi kawaidalakini USSD system huwa zina fail mfano ukiomba salio kwa *102# yenyewe inapiga na TigoPesa and Mpesa hazifanyi kazi pamoja na hayo hutapata Blackberry Internet Service mkuu kw hizi Verizon
Kupata hizo USSD inakubidi ufanyeje?
 
Back
Top Bottom