Kwanini SmartKaya ya Isaya Yunge haijaanza

Kwanini SmartKaya ya Isaya Yunge haijaanza

C.T.U

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2011
Posts
5,080
Reaction score
3,769
Sote tunamkumbuka Isaya Yunge ambaye alikuwa ni moja kwati ya promising souls nchini kwenye sekta ya technolojia

Isaya aliweza kutengeneza Soma App app Edtech app lakini haikufanya vizuri sokoni

Ndipo akaja na SmartKaya speaker ambazo ni smart au tunaweza sema Speaker Janja

Lakini mpaka sasa hakuna project yeyote ya SmartKaya, hakuna anayejua lini speaker hizo zitakuwa sokoni, nini kimemsibu

Je ni investor wamemuangusha, manufactures, au nini hasa

Kuna umuhumu wadau tukajua ambapo tunaweza saidia kwa Mawazo

SmarkKaya ingeanzishwa ingekuwa ni moja ya platform nzuri sana kuwahi kutengenezwa na Mwafrika naumia kuona kama hii ndoto inaenda kufa

Nawasilisha
C.T.U
 
Sote tunamkumbuka Isaya Yunge ambaye alikuwa ni moja kwati ya promising souls nchini kwenye sekta ya technolojia

Isaya aliweza kutengeneza Soma App app Edtech app lakini haikufanya vizuri sokoni

Ndipo akaja na SmartKaya speaker ambazo ni smart au tunaweza sema Speaker Janja

Lakini mpaka sasa hakuna project yeyote ya SmartKaya, hakuna anayejua lini speaker hizo zitakuwa sokoni, nini kimemsibu

Je ni investor wamemuangusha, manufactures, au nini hasa

Kuna umuhumu wadau tukajua ambapo tunaweza saidia kwa Mawazo

SmarkKaya ingeanzishwa ingekuwa ni moja ya platform nzuri sana kuwahi kutengenezwa na Mwafrika naumia kuona kama hii ndoto inaenda kufa

Nawasilisha
C.T.U
nimepitia website yao inaonekana ilikuwa ni idea nzuri, naona kutakuwa na vitu kati ya viwili vimemchelewesha 1. kuchelewa kupata market au kaona hakuna soko. 2. investment imeyumba, na hii inawakuta wengi sana mpaka makampuni makubwa (lack of fund)
 
nimepitia website yao inaonekana ilikuwa ni idea nzuri, naona kutakuwa na vitu kati ya viwili vimemchelewesha 1. kuchelewa kupata market au kaona hakuna soko. 2. investment imeyumba, na hii inawakuta wengi sana mpaka makampuni makubwa (lack of fund)

Yeah ni kweli nafikiri angeanza bootstraping with whatever he has then kukionekana kuna traction investor watavutika
 
unazani nini kifanyike ili iwe rafiki?
Startups haswa za tech kupewa Kipaumbele (kuwa na sera rafiki na wezeshi kwenye maswala ya kiteknolojia, kujenga techcities/hubs)
Ambazo zitakuwa na shule za sayansi na teknolojia kuanzia Elimu ya awali, kufanya mashindano ya kiteknolojia kila mwaka kimkoa ,kiwilaya na Kitaifa KWA ujumla.

Kuwekeza kwenye R&D
 
Last time I check Kuna startup ya kenya iliraise 50m us Dollars .

Wana consumer Base imara , wanatech Awareness Kubwa , wanaenda kujaribu vitu vipya .
 
Tañzania bado tunaishi primitively , as if tupo Stone age , hii ni KWA sababu ya UONGOZI mbovu labda siku hii nchi akipewa kijana wa dotcom Tutasonga mbele
 
Ndugu yangu alishawahi jiingiza kwenye biashara kama hizi. Bahati mbaya sana hakufanikiwa. Tatizo kubwa ni soko lako linaishi kizazi kipi? Mpaka sasa soko letu bado linaishi maisha yaliyo nyuma na teknolojia ambayo dunia imelifikia. Ni ngumu sana kumfanya mtu anayeishi kwa teknolojia ya jana, anunue vifaa vya teknolojia ya leo.
 
Startups haswa za tech kupewa Kipaumbele (kuwa na sera rafiki na wezeshi kwenye maswala ya kiteknolojia, kujenga techcities/hubs)
Ambazo zitakuwa na shule za sayansi na teknolojia kuanzia Elimu ya awali, kufanya mashindano ya kiteknolojia kila mwaka kimkoa ,kiwilaya na Kitaifa KWA ujumla.

Kuwekeza kwenye R&D
Ni kweli lakini kama unaona vipaumbele hakuna na wewe kama mdau unachukua jukumu gani?
 
Niliwahi kumuona kavaa Yale mashati ya mboga mboga wakati wa mchakato wa kupata mgombea kule chama Cha wezi tozonia.

Nikajua tu he is finished for sure.
 
Sote tunamkumbuka Isaya Yunge ambaye alikuwa ni moja kwati ya promising souls nchini kwenye sekta ya technolojia

Isaya aliweza kutengeneza Soma App app Edtech app lakini haikufanya vizuri sokoni

Ndipo akaja na SmartKaya speaker ambazo ni smart au tunaweza sema Speaker Janja

Lakini mpaka sasa hakuna project yeyote ya SmartKaya, hakuna anayejua lini speaker hizo zitakuwa sokoni, nini kimemsibu

Je ni investor wamemuangusha, manufactures, au nini hasa

Kuna umuhumu wadau tukajua ambapo tunaweza saidia kwa Mawazo

SmarkKaya ingeanzishwa ingekuwa ni moja ya platform nzuri sana kuwahi kutengenezwa na Mwafrika naumia kuona kama hii ndoto inaenda kufa

Nawasilisha
C.T.U
1)muongo kupitia maelezo
2)mpenda sifa za kijinga
3)hiyo project ni ya uongo
4)mambo mengi kwa wakati mmoja,chochote ilimradi
5)sio mfanyabishara wa kweli
6)smart watch failed,soma app failed,kaya speakers failed,mashamba failed,forex failed,ubunge ccm failed,hana hela,etc
7)wazungu walimshtukia hana lolote alitaka seed money ale na njaa zake
8)idea ni ya kijinga,idea ya kuuza consumer electronics tanzania pekee yake haitoshi,ili hela irudi inatakiwa uuze dunia nzima,na hilo hawezi ever
9)sio innovator,anaenda china anaagiza smart watch anaweka logo anadanganya watu "kadesign" yeye,which is a lie,nobody bought.
10)he entered in the market entitled,thinking coz he is a Tanzanian then Tanzanians are obligated to buy his watches at 100USD while the same shit is being sold at Kariakoo at 20USD,in a free market nobody owe anybody to buy anything if it does not fit his packet....with blah blah,tanzanians should buy my products because they are "made" by a Tanzanian nonsense,market understand value and utility of the product no matter where it comes from.
11)he will never come back from the hole he is in.....ajifunze lies and pretending always catch up with you.
 
Back
Top Bottom