It College...hapa Dar

It College...hapa Dar

General Nguli

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2022
Posts
1,268
Reaction score
2,632
Bila kupepesa macho.
Ninadogo hapa home nataka ni mlipie ada chuo kilicho sajiliwa akasome kozi tajwa hapo.
Amemaliza Form 4 na amepata Dvn 2 ya 19.
Naitaji msaada wenu bila kuchelewa.
 
Pia hana masomo ya Physics na Chemia...
Japo Math ana C.
 
Nimeona fursa hapa kwa upande wa taarifa za elimu ya juu.
 
Kwavile ni private Sponsorship, nenda kwanza DIT kaangalie uwezekano wa kuingia hapo!! Hapo iwe ndo First Hunting
 
Kwavile ni private Sponsorship, nenda kwanza DIT kaangalie uwezekano wa kuingia hapo!! Hapo iwe ndo First Hunting
Pale kwa kozi tajwa hana Phy na Chem kitu ambacho nikaja humu jukwaani
 
Back
Top Bottom