Adam Tibaigana
Member
- Jul 10, 2020
- 41
- 18
Samahani kwa wana It naomba msaada namna ya kuifunga simu iliyoibiwa imei ninazo na imail iliyoyokuwa inatumika kwenye ile simu
Ni Samsungsimu ya kampuni gani?
Kama Una email na pass yake, download find device ya Google playstore, kisha login Kisha ilock.Ni Samsung
Una ilock kwa imei mabuda wanakuja jaza izo boxes imeya no mzigo unarudi hewaniKama Una email na pass yake, download find device ya Google playstore, kisha login Kisha ilock.
Kwa android hakuna ujanja akitaka kuitumia ataitumia truz hata Imei zinabadilishika, kulock simu kuna saidia tu asichunguze data zako na kupata siri zako.Una ilock kwa imei mabuda wanakuja jaza izo boxes imeya no mzigo unarudi hewani
Na kama email na pass aliwekewa na mtu na hakumbuki ila imei akawa nazo inaweza ikalokiwa?Kwa android hakuna ujanja akitaka kuitumia ataitumia truz hata Imei zinabadilishika, kulock simu kuna saidia tu asichunguze data zako na kupata siri zako.
Bro tafuta cm nyingine bora ingekua iphone lakini simu yoyote ya android funga pattern n password nafungia dakika moja tu. Unajiita @ Cia mgumu halfu hakuna kitu kichwaniNa kama email na pass aliwekewa na mtu na hakumbuki ila imei akawa nazo inaweza ikalokiwa?
Mpaka mamlaka ndio zina uwezo wa kudeal na imei kufungua, kutrack etc. Ukienda polisi ndio wanaweza fanyia kazi hili.Na kama email na pass aliwekewa na mtu na hakumbuki ila imei akawa nazo inaweza ikalokiwa?
Wewe ulitakiwa ujibu kwa utaalamu wako tu mkuu ila dhihaka si kitu rafiki, unaweza ukawa mjuzi wa kuzima simu ila huwezi kuingia shimoniBro tafuta cm nyingine bora ingekua iphone lakini simu yoyote ya android funga pattern n password nafungia dakika moja tu. Unajiita @ Cia mgumu halfu hakuna kitu kichwani