daraja la kigamboni
JF-Expert Member
- Apr 28, 2016
- 2,504
- 2,204
Motorola Moto X30 Pro
Camera 200 MPSelfie camera 60 MP
Screen 6.7"
Fast charger 0-100$ 19 minutes
Kwa maoni yangu hii ndiyo simu bora kabisa ya Android. Sioni Samsung yenye sifa hizo
Kamilika mkuu lete mwonekanoMotorola Moto X30 Pro
Camera 200 MP
Selfie camera 60 MP
Screen 6.7"
Fast charger 0-100$ 19 minutes
Kwa maoni yangu hii ndiyo simu bora kabisa ya Android. Sioni Samsung yenye sifa hizo
HKamilika mkuu lete mwonekano
Barikiwa
Motorola ni simu kali sana sielewi kwa nini hapa Bongo zipo chache ilihali bei zake ni nafuu sana. Nimeiona hiyo simu. Kweli hapa Mmarekani kafanya kaziMotorola Moto X30 Pro
Camera 200 MP
Selfie camera 60 MP
Screen 6.7"
Fast charger 0-100$ 19 minutes
Kwa maoni yangu hii ndiyo simu bora kabisa ya Android. Sioni Samsung yenye sifa hizo
HazijafikaInauzwa bei gani Kwa Tz?
Hio sensor ni ya Samsung wanafanyiwa tu kama Panya wa maabara waojaribu. Na Motorola ya sasa ni Mchina aka Lenovo.Motorola ni simu kali sana sielewi kwa nini hapa Bongo zipo chache ilihali bei zake ni nafuu sana. Nimeiona hiyo simu. Kweli hapa Mmarekani kafanya kazi
Samsung ya kwanza kuja na 200MP itakuwa ni Samsung Galaxy S23 Ultra