Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Hello wakuu. Ukweli ni kuwa kwa ulimwengu wa sasa bila kuwa na internet ni sawa na kuishi gizani. Na kuna sisi wengi wetu tunatumia sana internet kwa ajili ya shughuli zetu za kila siku...
0 Reactions
2 Replies
837 Views
Wajuvi wa teknolojia vipi ubora na uimara wa hizi tv aina ya Star x na Evvoli maana bei naona ni kitonga mno kulingana na bajeti yangu Ni mpya inch 32 Star x led tv = Tsh 330,000 Star x smart tv...
1 Reactions
320 Replies
64K Views
Wadau vipi hii inafa? Kwa internet ina speed?
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Habari wadau Ningependa kufahamu kama router ya airtel huawei b68a-24 inapokea network(internet) kutoka kwenye ethernet na kushare kwa Hotspot? Maana niliconnect ethernet (rj45) kutoka kwenye...
0 Reactions
2 Replies
815 Views
asee wanajamvi sina mengi naomba kuuliza open source app nzuri ya kutengeneza logo, ambayo sio nzito sana kwa midrange pc kwenu studio wakuu....
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wakuu Mdogo wenu nshavurugwa huku nina 8086 Trainer kit sijui kuitumia kuandika assembly language program naweza kuzipata online shida ni kuziandika nifanyeje Shukran
1 Reactions
6 Replies
767 Views
Habari wakuu,natumia Tv aina ya Mr Uk juzi jioni nimerudi nyumbani nawasha Tv nakuta nusu ya juu kwenye screen ya Tv mwanga umefifia kidogo(japo mpaka mtu uwe makinj sana ndiyo utaweza...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Je unahisi hii kamouni mya ya Nothing tech waliotengeneza simu mpya inayo itwa nothing phone kwa mantiki ya kuondoa kikwazo kati ya watumuaji na tecknolojia , je unahisi itazipiku giant kampani za...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nataka ninunue Samsung note 9 Ila sijui namna ya kutambua original Na fake specs 8gb ram 512gb rom Na bei 380,000 inapouzwa ( marketplace) Facebook naombeni nisije ingia choo cha kike wakuu
3 Reactions
38 Replies
8K Views
Wakuu juzi nilijichanganya nikaweka call ringtone inaitwa ghuma kwenye hiki kisimu changu cha Azumi. Basi bwana nikawa nimeomba code ya mkeka kwa mshikaji, mida ya jioni jamaa wa code akanipigia...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Umoja wa Falme wa Kiarabu umezidi kuonesha umwamba katika kukuza teknolojia ya kutengeneza mvua ambapo kwa sasa wanapanda mawingu ili kutengeneza mvua. Wataalamu wa UAE wamesema teknolojia hiyo...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Comment The Answer and I'll Tell if You Are Right Or Wrong . bonne chance pal.
0 Reactions
10 Replies
729 Views
Kama inavyojieleza hapo juu mimi ni mhanga wa tukio la wizi wa pesa..kuna mtu kaniibia pesa zangu huku akiacha ushahidi ambao sitautaja na kutokomea kusiko julikana ilihali kwenye simu anapatikana...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Naona kama bado hakuna mtu anafahamu kuhusu ili so nimeona nianzishe uzi kuhusu ili ili kusudi watu wote wafahamu kuhusu mabadiliko mapya yanayokuja kwenye mtandao wa YouTube. Kama wewe ni mmoja...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Naombeni Ushauri Simu Ipi Ipo Affordable Kwa Bajeti tajwa Na Ubora Wake Storage Processor Camera Na Vinginevyo Nitaheshimu Mawazo yenu Wadau
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kumekuwa na ongezo la account youtube kusemekana zimedukuliwa , hii inatokana na kuwa. Wasanii wanashare logins zao na website za boosters, na ndipo Hao jamaa at the end wanapodai wanadeliver...
4 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna hii app ya chapchap ya wabongo unaagiza vitu China kama redio Raba na Vinginevyo Nilitaka kuagiza HIZI JBL Clip 4 Kwa Moja Wanauza 34000 lakini unatakiwa uchukuwa je HIZI Redio ni OG ama ni...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
  • Question Question
Habari wakuu? Nimehamia kwenye nyumba ambayo ina sebule yenye vipimo kama nilivyoainisha hapo juu (Ur 6m kwa Up 4m). Naomba ushauri ninunue flat screen ya nchi ngapi na brand gani ina quality...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Skrini ya laptop yangu imefanya rangi mbili kama hivyo pichani ..nifanyeje iwe sawa??
0 Reactions
2 Replies
568 Views
Naomba msaada wa kufungiwa simu imei namba ninazo ila tu nimesahau email nilioweka maana kuna mtu alichange email na password sina kama unaweza kufanya kazi hii 20000 ipo karibu pm
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…