Tupeane mbinu: changamoto ya bei ya data

Tupeane mbinu: changamoto ya bei ya data

i-store

Member
Joined
Mar 10, 2020
Posts
54
Reaction score
63
Hello wakuu.
Ukweli ni kuwa kwa ulimwengu wa sasa bila kuwa na internet ni sawa na kuishi gizani. Na kuna sisi wengi wetu tunatumia sana internet kwa ajili ya shughuli zetu za kila siku.
Changamoto ni bei. Yaani nanunua GB 5.7 kwa 10,000 kwa wiki ila ajabu ni siku moja limekata. Na hata siangalie video online au kudownload muvi.
Sasa kwa mwendo huu nitalipa 300,000 kwa mwezi. Tupeane mbinu mnarukaje kiunzi hapa.
Nafikiria kujiunga supa kasi ya VODA ile postpaid. Swali langu, je zile GB zikiisha nitaweza kudowload simple pdf file au matumizi madogo madogo mtandaoni?
 
Natumia supa kasi ya vodacom..kwa mwezi ni 115k na stream movie,na download updates za game mpaka 100gb per day na bundle lipo imara..kama upo fresh fanya ulipate hutojutiaa
 
Natumia supa kasi ya vodacom..kwa mwezi ni 115k na stream movie,na download updates za game mpaka 100gb per day na bundle lipo imara..kama upo fresh fanya ulipate hutojutiaa

Hii mkuu si lazima iwe fixed i mean nyumbani au ofisini. Sasa mimi nataka iwe kwa simu tu.
 
Back
Top Bottom