wakubwa naomba mnisaidie ninashida na baadhi ya information kwenye website ya NBS
lakini napata red warning about malicious/malware as you can see by clicking hapa...
Wakuu nisaidieni. Je naweza ku2mia cdma line kwenye nokia 6720c ambayo inauwezo wa 3.5g hsdpa 10.2 mbps. Na cdma 10.2 mbps. Simu ni mpya ya mwaka 2009 mwish02ni?
habari, naombeni msaada: wapi naweza pata driver software(vga,audio na ethernet controller) niweke kwenye pc ya ibm thinkcentre mt-m 8212 1su for win xp.
Wana JF, mwenye ka laptop kenye average specs,na moderate speed kwenye internet,used of course BUT NOT DEFECTIVE,nanunua kwa 500,000. Nikiipata kwa bei poa zaidi tofauti nitachangia kwenye JF.
Iwe...
Google has made significant progress in accelerating its web browser through the GPU. The latest versions of Chrome (Chromium) are now fully hardware accelerated and are close in performance to...
Ndugu wapendwa, Je nikweli kunamfumo wa kutumia udongo wa mfinyanzi kwa kuchanganya na cement kidogo ukapata tofari zitakazo saidia kujenga nyumba kwa Gharama nafuu? Ukitembelea web site Brick and...
Wana-JF unganeni na wavumbuzi na waanzilishi wa GOOGLE SEARCH ENGINE katika kusherehekea kuzaliwa kwa Google.
Bonyeza hapa:
Larry Page - Wikipedia, the free encyclopedia
Sergey Brin -...
Open the computer and the loginscreen appears:
It will ask for the password .
click on the password box and press ctrl+alt+del for some time .
then you will get a box with username and password...
:lol:By Datech
Windows 7 is just around the corner; do you know what you are going to do with it? I do! You are going to get rid of XP, Vista, Mint, Snow Leopard, Knoppix, and all the rest and...
:lol:Original Author: Charlie Palmer
Edited and adapted with permission by Charles M. Kozierok
Welcome to the online version of How to Build Your Own PC, adapted from the print book by...
Inasemekana yawezekana Israel imetengeneza kombora kwa kutumia computer/ internet 'cyber-missile' kwa mfano wa computer virus aitwaye "Stuxnet" na kulielekeza Iran ambako limekuwa likiharibu...
The creators of the popular Blackberry phone, Research In Motion (RIM) unveiled the new BlackBerry PlayBook tablet which is said to be the first serious competitor for the iPad and tons of other...
Wakuu naomba kuelimishawa kama nikiwa na blackberry (unlocked) ya GSM/GPRS 1900/850/900/1800mhz au 3G UMTS 2100/1900/850 mhz nitaweza kuitumia ktk mitandao ya Tigo, Voda na Zain Dar.
Msaada tutani tafadhali,kwa muda nimekuwa nikitumia Zantel kwenye Laptop yangu kwa ajili ya huduma ya intanet na nimekuwa nikweka viwango mbalimbali kama vya siku Tsh 6000 na kwa mwezi Tsh 10,000...
Suala la Usajili wa Simu Afrika Mashariki
Mkurugenzi wa tume ya mawasiliano Tanzania kasema wako katika mchakato na tume nyingine za mawasiliano katika nchi za afrika mashariki ili...
nenda kwenye start,click run na andika regedit
baada ya hapo ingia kwenye HKEY_LOCAL_MACHINE\SYSTEM\CurrentControlSet\Servic es\USBSTOR
kwenye usbstor badilisha value data.badala ya 3 andika...
I just wana ask a quesition about the zain unlimited internet service.
I heard about the zain unlimited service in TV adverts in advertises you pay 70000ths for a month unlimited of usage
and...
There is a big power problem in the country, the Government recently announced that the national electricity supplier (TANESCO) is not able to meet the demand of power in the country. Do you think...
habari, nina uncle wangu ameseti hp colorlaserjet printer kwenye stationary yake iwe inaprint black ink documents only. sasa cha kushangaza black toner ikiisha na yale mengine ya rangi yanaisha...