Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Natanguliza salaam! Naomba msaada wanaJF. Laptop yangu aina ya Dell LATITUDE D630 imepoteza sauti. Inaniambia NO AUDIO DEVICE. Nifanyeje?? tafadhali nisaidieni mwenzenu. Natanguliza shukrani
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Simika(Install) Windows XP ndani ya dakika 22.Hatua kwa hatua Samahanini kwa mpangilio uliovurugika,kwa mada ya awali tembelea AfroIT Kama unasoma makala hii toka online basi ni lazima...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mambo vp wandugu,ninashida hapa kidogo ninawezaje ku-hack e-mail password ya mtu? (how can i hack a mail password of someone?).
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wana jf juzi nilimpa mtu lift ktk gari, akanichapa laptop, yaani aliitoa katika begi akachikichia, sasa najua inaweza ikaangukia kwa yeyote, naomba ukiiona in toshiba t2550, serial number...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu members wote wa JF,nina maswali machache!mtu yoyote anaweza kunisaiidia mawazo, 1:nahitaji kujua ni ant-virus ipi ni nzuri ambayo naweza kuitumia katika computer yangu,kwasababu mimi...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Computer Screen Choice and Placement: Ergonomic Tips to Avoid Neck and Shoulder Pain, Eyestrain and Headaches
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Natanguliza Salaam kwenu, Naomba msaada wa Cracker ya Win7 Pro, au keys. Regards,
0 Reactions
2 Replies
2K Views
WanaJF naomba msaada tafsiri ya maneno ya sayansi below: 1. Solid 2.Liquid 3.Gas 4.Scientific theory 5,Particle model 6.Expand 7.Contract 8.mixture 9.Pure substance 10.Solute 11.Solvent...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
AFP: Japan's robot suit to bring hope to the disabled Japan's robot suit to bring hope to the disabled By Miwa Suzuki (AFP) – 5 days ago TSUKUBA — Japan's Cyberdyne may share its name...
0 Reactions
0 Replies
931 Views
A solar filament that had been lurking atop the sun for a week finally exploded this month, the latest in a string of large solar explosions that NASA scientists say will peak in 2013. This...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Scientists are becoming more convinced that there is alien life, and they say there are several possible scenarios that could lead to such a discovery: • Mars. The red planet has water underground...
0 Reactions
0 Replies
906 Views
Jamani mwenye kujua code ya namba hiyo hanisaidie. mmmiliki ananisumb ua kweli,akipiga nikipokea anauliza jina langu na kukata na baadaye kupiga tena karibu mara 10 kwa siku lakini mimi nikipiga...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Siri na michezo michafu ndani ya ICT Kwa original Post: AfroIT.com Je upo kwenye maandalizi ya kujikita kwenye huu ulimwengu wa ICT? ICT kama fani nyingine inahitaji maandalizi na uchunguzi wa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Please help me in resoving the issues I'm facing with Toad. I'm using Toad ver. 9.0.0.160 for Oracle 10g on Windows 7 Professional. Oracle 10g and Toad both are installed on same machine. My...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Biogas is produced from manure and some biodegradable substances in a special environment. People would not suffer if they could use this source of energy. Biogas can be used direct in cooking...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
This hapened in Germany. However the treatment is very risk and therefore will be expensive. Can poor people afford such treatments if confirmed? Sourse Leukaemia treatment 'cures'...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wazee naombeni msaada mimi nikinunua umeme wa 30000 haumalizi hata mwezi na sina matumizi makubwa nina frig moja tu na inatumika siku moj moja.taa nimefunga energ sever sina jiko wala nini tatizo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Heshima kwenu wakuu, mimi tatizo langu nimedownload OS file la BlackBerry model 9700 ili niweze kuiflash simu yanu mimi mwenyewe, lakini tatizo nikillinstall lile file haliji kwenye desktope...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba ufafanuzi kwa anayejua hili; Kuna utaratibu gani wa kupata huduma ya internet ktk mobile phone aina ya blackberry kwa mtandao wowote (Tigo, Voda, Zain nk)? Unalipia kama unavyolipia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…