Opportunist
Member
- Mar 19, 2009
- 17
- 12
Naomba ufafanuzi kwa anayejua hili; Kuna utaratibu gani wa kupata huduma ya internet ktk mobile phone aina ya blackberry kwa mtandao wowote (Tigo, Voda, Zain nk)? Unalipia kama unavyolipia maongezi kwa vocha zetu hizi za kawaida au inakuwaje?