Dr.phone na wengine Jamani mimi nina flash box imeandikwa ufsx+hwk pia ina main setup cd yake yenye files za bb5 ila tangu niinunue haijaweza ku unlock cm ya bb5 sana inaweza dct3 na kidoogo dct4...
Software ya kupeleleza simu yako hi hapa chini
Researchers Discover Legal Way To
Spy On Any Cell Phone,
Without Leaving Any Trace!
and works Worldwide...
Miaka michache iliyopita watu wengi waliokuwa wanatumia teknohama kwenye shuguli zao za kila siku
walikuwa na tatizo sugu la kuhifadhi taarifa na nyaraka zao mbalimbali
wanazofanyia kazi wakati...
Habari zenu members wote wa JF,nina swali !mtu yoyote anaweza kunisaiidia mawazo,
>>nilikua nataka unlock modem ya vodacom (vodafone k3565z na vodafone k3565)
>>pia modem ya TTCL (Huawei EC121)...
Simika(Install) Windows XP ndani ya dakika 22.Hatua kwa hatua
Samahanini kwa mpangilio uliovurugika,kwa mada ya awali tembelea AfroIT
Kama unasoma makala hii toka online basi ni lazima...
Wana jf
juzi nilimpa mtu lift ktk gari, akanichapa laptop, yaani aliitoa katika begi akachikichia, sasa najua inaweza ikaangukia kwa yeyote, naomba ukiiona in toshiba t2550, serial number...
Habari zenu members wote wa JF,nina maswali machache!mtu yoyote anaweza kunisaiidia mawazo,
1:nahitaji kujua ni ant-virus ipi ni nzuri ambayo naweza kuitumia katika computer yangu,kwasababu mimi...
AFP: Japan's robot suit to bring hope to the disabled
Japan's robot suit to bring hope to the disabled
By Miwa Suzuki (AFP) 5 days ago
TSUKUBA Japan's Cyberdyne may share its name...
A solar filament that had been lurking atop the sun for a week finally exploded this month, the latest in a string of large solar explosions that NASA scientists say will peak in 2013. This...
Scientists are becoming more convinced that there is alien life, and they say there are several possible scenarios that could lead to such a discovery:
Mars. The red planet has water underground...
Jamani mwenye kujua code ya namba hiyo hanisaidie.
mmmiliki ananisumb ua kweli,akipiga nikipokea anauliza jina langu na kukata na baadaye kupiga tena karibu mara 10 kwa siku lakini mimi nikipiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.