Samahani, lakini itabidi niseme ukweli. Tanzania kwenye swala la teknolojia, tumelemaa. Tumekinai, hatutaki challenges na tunapenda virahisi.
Jee ni kwasababu, au ndo tunavyofundishwa hivyo? au...
Naomba mtu yeyote anisaidie na manual settings za mtandao wa zain/airtel maana nimehangaika kutuma meseji 232 bila mafanikio...simu yangu ni Nokia E72, nitahitaji CONNECTION NAME, ACCESS POINT...
Wakuu,
Tri Labs New Website
I have been working on our new website and today we finally went live. I am looking for constructive feedback so that we can make it even better.
Please...
Wadau,
Naomba kusaidiwa maelezo ya kitaalamu au ya kiuzoefu kuhusu mambo ya ammunitions, hususan bomu.
Kufuatia ajali ya mabomu Mbagala na GongolaMboto, nimesikia kauli kama:
Bomu lilitua...
This shows how the future world is going to be.
Click the link.
æªæ¥ä¸çç强大ãå æ¥äºæ¯ä¸ªè§è½ç触æ¸å±ããäººäººç½ æ ¡å -å享ã
By Joel Evans | February 23, 2011
There have been rumors floating around the internet for weeks now, and yesterday they hit an all-time-high. Now Apple has come forward with an official invite...
Waungwana
Natafuta MODEM ambayo naweza kutumia mitandao yote, yaani naweza badilisha SIM card nikatumia ama VODA, TIGO, AIRTEL au ZANTEL, any idea nitapata wapi?
hey wazeeya,wakubwa nimekua nikijaribu kufungua payapal kwa crdb visa bila mafanikio...card nimeiunganisha na internet banking ila kila nikijaribu ku confirm napata
We were unable to verify this...
Ever asked yourself, what is the role of the IT department in your organization? In our books, the IT department has one role; to enable the organization to deliver products and services, by...
Guys hope mnaenjoy wikend,nimeshawishika kudownload ubuntu na kuitest kama itaeza kuwa 2nd OS yangu,nimedownload,burn to cd. But nikiwa na install ikiwa inaextract files kuna mahal inafikia...
Mambo JF sasa nataka kuinstal ubuntu au linux. Naomba kujua namna ya kuinstal na pc iwe na sifa ipi na je naweza kuinstal ubuntu/linux ktk pc yenye winXP na je ubuntu/linux naweza kuinstal program...
nimekuwa nikijiuliza kwa nini simu za mkononi zinahitaji minara mingi tofauti na ile ya redio.karibu maeneo mengi yana minara ya simu lakini minara ya redio sijawahi kuiona huku mitaani lakini...
Nataka ku-Install Wine Microsoft Compatibility Layer kwenye Ubuntu lakini napata haka kaujumbe ,,,Could not find package'wine' Nimejaribu Ku-google sana na bado sijapata suluhisho,,Plzz kwa...
Nikiwa uwanja wa ndege huwa naona ndege zikitaka kutoka kwenye terminal kwa kurudi nyumza zinasukumwa na vigari vidogo
Je ina maana ndege hazina mechanism ya reverse gear or reverse...