jamani naomba mnipe tofauti za kiutendaji na ufanisi wa hizi simu mbili, je ipi ni bora zaidi na kwanini?
Aaah! Dr. umeniangusha sana, yaani unasema nokia ni zaidi kwa kuwa unaipenda? najua unajua madhara ya kupenda, wa weza penda kitu kibovu kwa kutokujua kutokana na kupenda kwako ambako kume kupofusha kuona ubaya au uzuri wake halisi...nokia ni nzuri zaidi kwanini kwa sababu naipenda sana
Nokia C3 imeundwa makusudi kwa ajili ya mambo ya sms lakini kwa mambo ya internate /email BB haina mfano,na hapa bongo ukitaka uifurahie BB,BIS tumia Airtel utafurahi na roho yako usisahau 35,000 kwa mweziHujaweka wazi ni Blackberry Curve ipi unayozungumzia.
Ushauri,km ni mpenzi wa sms na kupiga tu na ubora wa na uimara wa Hardwear ni bora ununue hiyo Nokia C3,Kama ni mpenzi wa Internet ya kiganjani basi nenda kwa Blackberry.Lkn ungetaja specifically ni BB Curve ipi ingekuwa rahisi kukushauri direct.Coz kuna 8300,8310,8320,8520,8900,nk zote hizi ni Curve na zinatofautiana Processors.