Hivi wana-JF inawezekana ukawa unapiga simu au kutuma SMS kwa mtu halafu inaingia kwenye simu ya mtu mwingine? Nimeshangaa kukuta SMS zangu zimeingia upande wa pili, pamoja na kwamba kule...
wadau nimeinstall win 7, sasa kuna mambo mengi nikitaka kufanya naambiwa nilog as administrator, nimejaribu kugoogle lakini kila njia ninayo tumia inaniambia registry ipo blocked na administrator...
Wadau naomba munisaidie software ambazo kupitia simu yangu ya mkononi ninaweza kutuma na kupokea sms popote duniani bila malipo.yaan wanaoprovide free sms.
You know what really lrks me? The people who feel the need to play music through the speakers on their mobile phone on daladala. These days all mobiles can take headphones, so do everyone a favour...
wakuu pc yangu haina sauti ya kutosha kuweza kuckiliza track/movie hata kama volume imeongezwa kwa 100%.Nmejaribu kuadjust sound setting bila mafanikio.tatizo ni mimi au pc yenyewe ndio style...
vigezo vya thread hii
wachangiaaj wanaonekana week end ni wachache sana
weng inaonyesha wanapata msaada wa internet za makazini
siku za kazi huwa mnapatikana humu jamvin kuazia asubuh mpk muda...
Wadau naombeni msaada wenu maana nina vimeo viwili(Laptop) hapa, moja ni IBM Thinkpad T42P na nyingine ni Tshiba Satelite A135-S2386 zote zawaka ila hazidispaly katka screen, nimejaribu kuconnect...
Lappy inaanza kuwa nzito hasa unapoiwasha inakuwa busy kwa muda mrefu.
Nitajuaje hizo startup program na namna ya kuzipunguza katika hp g5000, OS window 7.
Pia nikiweka vi mb vyangu vinaliwa...
From Yahoo friends
I DO NOT KNOW HOW TRUE THIS IS.
DOCTOR RAY 90210
"Very soon women will pay men to suck their breasts?"
BBC Homepage
Top News Story
Doctors have recommend that...
Mara kadhaa nimekuwa nazungumzia mifumo ya matangazo kwenye mtandao kwa kutaja zaidi Adsense na jinsi watu au makampuni yanavyoweza kufaidika na mfumo huu kwa kuweka nafasi za matangazo kwenye...
Nimejiuliza swali ni nini web desinger wanafanya kuingza ramani ya google ya eneo fulan kwenye tovuti zao?
Baada ya kusoma soma na kutafuta majibu nimegundua na nimejarib kinachowezesha...
Wana JF naombeni msaada wa keys ya software ya Flexi 8.1v au software ya Flexi expert ya V 7 expert kwa walewalionayo plase mambo yangu hayaendi kabisa nimekwama.
Personalized Assaults Exploit Libya Unrest: Symantec
Investigators from Symantec the security company caution that highly-personalized e-mail assaults are being launched which are exploiting the...
Amani kwenu wadau,
naomba msaada kama kuna m2 anaweza kunisaidia Software ya Adobe illustrator CS5, au version yoyote ya Adobe Illustrator!.
Thanks!:wink2:
Kuna jamaa yangu ameinstall pc suit kwenye pc yangu dell d620 kwa sasa ninaweza kucheza tracks kutoka kwenye nokia yangu n72 lkn cwezi kupata access ya internet nnapojaribu handset yangu inanipa...
Space shuttle Discovery has blasted off on its final voyage, taking six astronauts on their way to orbit.
Discovery will spend 11 days in orbit, and will dock with the International Space Station...
Nimekuwa nafuatilia thread mbali mbali ktk jukwaa hili na swala la modem limekuwa likijitokeza sana katika mijadala.
Nimeona nianzishe post hii ili kufanya chaguo zuri la modem maana niliyonayo...
Mozilla announces first release of Web Apps Project
By Jose Vilches, TechSpot.com
Published: March 7, 2011, 9:00 AM EST
Mozilla is taking its first step toward building an ecosystem of web...